Unapotoa maana ya halisi, usirudie kutaja tena halisi, hilo ndilo neno linalokuwa defined.Kwa uelewa wangu "halisia" humaanisha kitu au jambo ambalo ni la kweli, lililopo, au linalojulikana kuwa halisi, tofauti na kitu cha kufikirika au cha kubuni.
Sheria ya uvutano wa Newton na nadharia ya uhusiano wa Einstein zimethibitishwa mara kwa mara kupitia uchunguzi wa kimajaribio na wa asili kwa karne nyingi. Kwa mfano:Gravity umeichunguza kwa miaka mingapi ukagundua haibadiliki?
Umehakikishaje kuwa sheria ya gravity haibadiliki?
Umeipima kwa kipimo gani na kupata matokeo kwa unit gani isiyobadilika kuhakikisha gravity haibadiliki?
Kwa maana hiyo ukisema Mungu yupo ila si halisia unakua umekubali kuwa dhana ya Mungu sio ya kweli. Si ndio?Kwa uelewa wangu "halisia" humaanisha kitu au jambo ambalo ni la kweli, lililopo, au linalojulikana kuwa halisi, tofauti na kitu cha kufikirika au cha kubuni.
Soma vizuri nilichosema ,wewe umekata kakipandeKwa maana hiyo ukisema Mungu yupo ila si halisia unakua umekubali kuwa dhana ya Mungu sio ya kweli. Si ndio?
Unaposema sheria ya uvutano haibadiliki unakusudia kumaanisha nini?Sheria ya uvutano wa Newton na nadharia ya uhusiano wa Einstein zimethibitishwa mara kwa mara kupitia uchunguzi wa kimajaribio na wa asili kwa karne nyingi. Kwa mfano:
Hakuna ushahidi wowote wa kisayansi unaothibitisha kuwa sheria ya uvutano imewahi kubadilika katika historia yote inayoweza kupimika ya ulimwengu,kama upo ushahidi Ulete hapa.
Uchunguzi wa vyanzo vya mwanga wa nyota, mienendo ya sayari, na mionzi ya mabaki ya mlipuko wa Big Bang (cosmic microwave background radiation) unaonyesha uthabiti wa sheria hii kwa mabilioni ya miaka.
Teknolojia za kisasa kama vile satelaiti na vipimo vya upinzani wa atomi (atomic clocks) zimethibitisha uvutano kwa usahihi wa hali ya juu. Sheria hizo zimeendelea kudumu bila mabadiliko.
Sheria za asili, kama sheria ya uvutano, hazitegemei muda wa uchunguzi wa binadamu. Badala yake:
Sheria hizi Zimeundwa Kutokana na Tabia za Ulimwengu Wetu: Gravity haijabadilika kwa mabilioni ya miaka, na hii inaonyeshwa na mienendo ya sayari na galaksi kwa historia yote ya ulimwengu. Ikiwa ingekuwa inabadilika, tungeona athari kubwa kama sayari kuondoka kwenye njia zao au kuharibika kwa miundo ya ulimwengu.
Ni muhimu uelewe kuwa nadharia za kisayansi (kama nadharia ya Einstein kuhusu uvutano) zinaweza kusasishwa, lakini sheria za asili zenyewe (mfano, uvutano unaokuwepo) hazibadiliki. Sheria hizi ni za msingi kwa kuwepo kwa ulimwengu kama tunavyoujua.
Sheria ya uvutano haijathibitishwa kubadilika kupitia majaribio ya kihistoria na ya sasa, lakini hii haimaanishi kuwa 100% hatuwezi kufikiria mabadiliko. Kinachothibitishwa ni kuwa kadri tunavyojua, uvutano umebaki thabiti kwa mabilioni ya miaka kutokana na data nyingi za kisayansi.
Swali jingine
Hakuna Maandiko yanayosema MUNGU anaundwa na sehemu 3Salaam wakuu,
Science inasema, kila kitu kimeundwa na atom, bt maandiko yanasema, kila kitu kimeundwa Mungu.
Science inasema atom imeundwa na sehem 3(proton, neuron & electron bt maandiko yanasema Mungu anaundwa na sehem 3(Mungu baba, mwana & roho mtakatifu).
Hapo ndo umethibitisha 🤣🤣🤣Kwa mtiririko huo, nahitimisha kwa kusema, science inasupport uwepo wa Mungu kwa 100%.
Hapana.Nimekujibu labda useme una majibu mengine
Mkuu ndio umeamua kutumia chatgpt kutujibu, chatgpt wame icommand ikubali uwepo wa mungu ili kuondoa sintofahamu kwenye jamii.Soma vizuri nilichosema ,wewe umekata kakipande
Mungu, kama anavyofasiriwa katika falsafa na dini nyingi, ni kiumbe asiye wa kimwili (immaterial), asiye na mipaka ya nafasi (spaceless) au wakati (timeless). Kwa hivyo, hatuwezi kusema Mungu si halisia kwa sababu hafanyi kazi kama vitu vya kimwili.
Halisia haimaanishi lazima kitu kionekane au kishikwe; kwa mfano, hisabati, maadili, au nadharia za kisayansi kama gravity ni halisia hata kama si za kimwili.
Kwa hiyo, dhana ya Mungu inaweza kuwa halisia hata kama haifuati vigezo vya uhalisia wa kimwili.
Unaposema sheria ya uvutano haibadiliki unakusudia kumaanisha nini?
Umeipima kwa accuracy gani kujua haibadiliki?
Unajuaje kuwa haibadiliki na kwamba si kweli kwamba inabadilika ila kwa kiwango kidogo sana ambacho hatujaweza kukitambua kwa vipimo vyetu vya sasa tu na labda katika miaka billion 100 na maendeleo makubwa ya sayansi mabadiliko haya yataweza kuonekana vizuri?
Acha kutumia chatgpt kutujibu hoja zetu wee jamaa,Ninaposema sheria ya uvutano haibadiliki, namaanisha kwamba mpaka sasa, vipimo vyote na majaribio yameonyesha kuwa uvutano (gravity) unafuata muundo fulani uliotabirika, unaoelezewa vizuri na mifumo ya kihisabati kama vile:
Sheria ya Newton ya Uvutano wa Wote (Newton's Law of Universal Gravitation), inayoeleza mvuto kati ya miili miwili kutokana na misa yao na umbali kati yao.
Nadharia ya Einstein ya Uhusiano wa Jumla (General Relativity), ambayo inaonyesha uvutano kama athari ya miili mikubwa kwenye ugani wa nafasi na wakati.
Kwa hivyo, "haibadiliki" haimaanishi kwamba haina nyongeza za uelewa au maboresho, bali inaonyesha uthabiti wa matokeo yetu ya majaribio ndani ya mipaka tuliyo nayo sasa.
Hatujui kwa uhakika wa 100% kwamba uvutano hauwezi kubadilika, lakini kuna sababu kadhaa zinazoimarisha hoja ya uthabiti wa sheria hii,
Sheria ya uvutano imepimwa kwa kiwango cha juu sana cha usahihi kwa zaidi ya karne tatu. Imethibitishwa kuwa inafanya kazi:
Mvutano wa dunia, mabomu hurushwa kwa mwelekeo maalum, na ndege zinadhibitiwa kwa kufuata sheria hizi.
Nje ya Dunia Sheria za uvutano zinatabiri vizuri mienendo ya sayari, mwezi, nyota, na hata matukio ya anga kama mikwaruzo ya nyota (black holes).
Sheria za asili (kama uvutano) zimeonyesha kuwa ni za kimfumo, yaani, haziathiriki na wakati au mahali.
Mfano nakupa Sheria za Relativity za Einstein zimetabiri matukio mengi, kama vile kuenea kwa mawimbi ya uvutano (gravitational waves), ambayo yameonekana baadaye.
Mpaka sasa, hakuna ushahidi wa kubadilika kwa uvutano. Kama uvutano ungebadilika hata kidogo, tungeona athari kubwa kwenye mfumo wa nyota, sayari, na mahesabu ya anga.
Hatuwezi kukataa kabisa uwezekano wa kwamba uvutano unaweza kubadilika kwa kiwango kidogo au kwa muda mrefu sana, lakini:
Kiwango cha Mabadiliko Ikiwa uvutano hubadilika, kiwango chake ni kidogo mno hadi kufikia kuwa hakionekani katika vipimo vya sasa. Mabadiliko yoyote yangeathiri matukio makubwa kama mwendo wa sayari au mienendo ya nyota, lakini hatujaona dalili zozote.
Sayansi inajenga maarifa kila mara. Ikiwa miaka bilioni 100 baadaye tutaweza kupima mabadiliko ya uvutano, basi hiyo itakuwa hatua mpya ya maarifa. Lakini kwa sasa, msingi wetu wa uelewa upo sahihi ndani ya mipaka yetu.
Ikiwa sheria inabadilika kwa muda, basi ni sheria yenyewe inayokuwa si thabiti au inawezekana kuwa hatujafikia kiwango cha uelewa wa kugundua mambo kama hayo.
Kwa sasa, ushahidi wote unaonyesha kuwa uvutano haufanyi kazi kwa njia tofauti mahali popote au wakati wowote. Ikiwa hali itabadilika katika siku zijazo, basi tutachukulia hilo kama sehemu ya utafiti wa kisayansi unaoendelea.
Ukisema "sheria ya uvutano imepimwa kwa kiwango cha juu sana" halafu ukashindwa ku quantify kiwango hicho na kuonesha hakibadiliki, umeshindwa kuonesha sheria ya uvutano haibadiliki.Ninaposema sheria ya uvutano haibadiliki, namaanisha kwamba mpaka sasa, vipimo vyote na majaribio yameonyesha kuwa uvutano (gravity) unafuata muundo fulani uliotabirika, unaoelezewa vizuri na mifumo ya kihisabati kama vile:
Sheria ya Newton ya Uvutano wa Wote (Newton's Law of Universal Gravitation), inayoeleza mvuto kati ya miili miwili kutokana na misa yao na umbali kati yao.
Nadharia ya Einstein ya Uhusiano wa Jumla (General Relativity), ambayo inaonyesha uvutano kama athari ya miili mikubwa kwenye ugani wa nafasi na wakati.
Kwa hivyo, "haibadiliki" haimaanishi kwamba haina nyongeza za uelewa au maboresho, bali inaonyesha uthabiti wa matokeo yetu ya majaribio ndani ya mipaka tuliyo nayo sasa.
Hatujui kwa uhakika wa 100% kwamba uvutano hauwezi kubadilika, lakini kuna sababu kadhaa zinazoimarisha hoja ya uthabiti wa sheria hii,
Sheria ya uvutano imepimwa kwa kiwango cha juu sana cha usahihi kwa zaidi ya karne tatu. Imethibitishwa kuwa inafanya kazi:
Mvutano wa dunia, mabomu hurushwa kwa mwelekeo maalum, na ndege zinadhibitiwa kwa kufuata sheria hizi.
Nje ya Dunia Sheria za uvutano zinatabiri vizuri mienendo ya sayari, mwezi, nyota, na hata matukio ya anga kama mikwaruzo ya nyota (black holes).
Sheria za asili (kama uvutano) zimeonyesha kuwa ni za kimfumo, yaani, haziathiriki na wakati au mahali.
Mfano nakupa Sheria za Relativity za Einstein zimetabiri matukio mengi, kama vile kuenea kwa mawimbi ya uvutano (gravitational waves), ambayo yameonekana baadaye.
Mpaka sasa, hakuna ushahidi wa kubadilika kwa uvutano. Kama uvutano ungebadilika hata kidogo, tungeona athari kubwa kwenye mfumo wa nyota, sayari, na mahesabu ya anga.
Hatuwezi kukataa kabisa uwezekano wa kwamba uvutano unaweza kubadilika kwa kiwango kidogo au kwa muda mrefu sana, lakini:
Kiwango cha Mabadiliko Ikiwa uvutano hubadilika, kiwango chake ni kidogo mno hadi kufikia kuwa hakionekani katika vipimo vya sasa. Mabadiliko yoyote yangeathiri matukio makubwa kama mwendo wa sayari au mienendo ya nyota, lakini hatujaona dalili zozote.
Sayansi inajenga maarifa kila mara. Ikiwa miaka bilioni 100 baadaye tutaweza kupima mabadiliko ya uvutano, basi hiyo itakuwa hatua mpya ya maarifa. Lakini kwa sasa, msingi wetu wa uelewa upo sahihi ndani ya mipaka yetu.
Ikiwa sheria inabadilika kwa muda, basi ni sheria yenyewe inayokuwa si thabiti au inawezekana kuwa hatujafikia kiwango cha uelewa wa kugundua mambo kama hayo.
Kwa sasa, ushahidi wote unaonyesha kuwa uvutano haufanyi kazi kwa njia tofauti mahali popote au wakati wowote. Ikiwa hali itabadilika katika siku zijazo, basi tutachukulia hilo kama sehemu ya utafiti wa kisayansi unaoendelea.
Bado huelewi tu,Ukisema "sheria ya uvutano imepimwa kwa kiwango cha juu sana" halafu ukashindwa ku quantify kiwango hicho na kuonesha hakibadiliki, umeshindwa kuonesha sheria ya uvutano haibadiliki.
Pia, sio tu umeonesha kushindwa kuonesha sheria ya uvutano haibadiliki, lakini zaidi, umeonesha kuwa huwezi hata kuiweka sheria ya uvutano kinambari.
Unapiga hadithi za maneno kwenye mambo ambayo yanaweza kuwa quantified kwa namba na kupimwa kwa namba.
Unalazimisha ?Acha kutumia chatgpt kutujibu hoja zetu wee jamaa,
Chatgpt inakubali uwepo wa mungu.
Musk sio Atheist ni mkristo na anaamini uwepo wa Creator. Fatilia vizuri interview zake mkuu.Elon musk ni Atheist.
Bill gates ni Atheist.
Stephen Hawking alikuwa Atheist.
Hata wewe ulikuwa Atheist pindi ulipozaliwa.
Na kila mtu huzaliwa Atheist( Bila kuwa na imani ya aina yeyote ile) mpaka pale wazazi wako au walezi wako wanapo kuridhisha na kukupa dini na imani zao kukuaminisha wewe.
Kama hakuna kitu kinaweza ku exist chenyewe pasipo source/maker au creator, Huyo Mungu wako aliwezaje ku exist mwenyewe pasipo maker au creator?
Kwa nini umu exclude huyo Mungu wako kwenye kuwa na maker/ creator, Halafu unaanza kufosi kwamba kila kitu lazima kiwe na source?
Kwa bahati mbaya cosmological argument sio hoja za uthibitisho.Sababu ya Uwepo Wake: Kwa hoja ya kifalsafa kama ile ya uncaused cause au necessary being, Mungu ni lazima awepo kama chanzo kisicho na chanzo kingine. Kwa kuwa kila kitu chenye mwanzo kina sababu, lazima kuwe na kitu kisicho na mwanzo wala sababu, ambacho ndicho chanzo cha kila kitu kingine. Mungu anaelezwa kuwa hicho chanzo kisicho na mwanzo.
Vyanzo vyako vya taarifa sio sahihi, ss unatumika bible na chatgpt kama reference, huoni kuwa unafanya vichekeshoUnalazimisha ?
Badala ujibu hoja unalalamika natumia sijui nini ,
Nimetumia biblia mmekataa ,wewe jibu hoja acha kulialia ,kama huwezi kaa pembeni
Hapana, wewe ndiye huelewi.Bado huelewi tu,
Tukutane kesho
Mental fitness or psychological well-being doesn't inherently depend on one's religious beliefs or lack thereof. An atheist, like anyone else, can be mentally fit if they maintain healthy coping mechanisms, emotional stability, and resilience in facing life's challenges.Wala hayachanganyi mkuu, atheist ni wagonjwa wa akili, haiwezekani 3\4 ya watu duniani wana-experience ya deities alafu wao pekee wanaopinga deities ndo wajione wapo sahihi, huo ni ugonjwa wa akili.