Science ina support uwepo wa Mungu

Science ina support uwepo wa Mungu

Asilimia kubwa ya ethiests ni wasomi wa masomo ya art hasa history na lugha. Mwana Sayansi anaweza akawa hana uhakika na uwepo wa Mungu lakini hawezi kubisha 100% kwamba hakuna Mungu, atabaki njiapanda cause hana proves; why anabaki njiapanda? Is because any scientist anajua, hakuna kitu.kina exist bila source or maker/creator. Uwepo wa anything duniani, there is/are creator(s) somewhere. Wasomi wa masomo ya art hawana uzoefu wa ku prove anything. Mkwawa alikufa kwa kujiua, una kariri hilo, huna prove. Vita ya majimaji ilianzishwa na Kinjekitile, una kariri hilo, huna proves; hakuna Mungu, utakariri as well cause pia hakuna prove.
 
Ukinambia wewe mungu nitapinga coz wewe si chanzo cha kila kitu.
Sasa ndio uthibitishe uwepo wa huyo Mungu wako wewe, Ambaye unadai ndio chanzo cha kila kitu.

Eleza, Huyo Mungu kabla ya kuwa chanzo cha kila kitu, Alikuwa wapi?

Huko alikokuwa, kulitoka wapi?

Na kuliumbwa na nani?

Au kulifanyikaje?
Ufanano wa muundo na maelezo ya chanzo cha kila kitu(Mungu) ktk maandiko na science ni uthibitisho tosha.
Hizo ni nadharia tu za kidini na kisayansi ambazo ni mawazo ya watu tu, Wala hazina ukweli wala uthibitisho wowote ule.

Unathibitisha vipi kwamba ulimwengu una chanzo?

Je kama hauna chanzo, utajuaje?

Kwa nini unadhani kwamba ulimwengu una chanzo?

Je huyo "Mungu" wako chanzo chake ni nini?

Kwa nini umu exclude huyo Mungu kwenye kuwa na chanzo, Halafu utake kwamba ulimwengu uwe na chanzo?

Huyo Mungu amewezaje kutokuwa na chanzo?
 
ni mpumbavu tu awezaye kusema hakuna Mungu.
Ni Mpumbavu tu awezaye kusema Kuna Mungu.
Mpumbavu: ni yule ambaye hajui, na hajui kuwa hajui.
Mpumbavu ni yule anayeamini kuna kiumbe kiitwacho Mungu wala hajawahi kukiona na wala hawezi kuthibitisha uwepo wake, ila anafosi tu kwamba ndio kiliumba ulimwengu.
“Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema."
— Zaburi 14:1 (Biblia Takatifu)
"Mpumbavu amesema moyoni mwake Kuna Mungu, Maana anaamini vitu vya kusadikika na kufikirika bila uthibitisho wowote ule, Hakuna awezacho kuthibitisha."
_Atheists 24:7 (Fikra Yakinifu)
 
Ni Mpumbavu tu awezaye kusema Kuna Mungu.

Mpumbavu ni yule anayeamini kuna kiumbe kiitwacho Mungu wala hajawahi kukiona na wala hawezi kuthibitisha uwepo wake, ila anafosi tu kwamba ndio kiliumba ulimwengu.

"Mpumbavu amesema moyoni mwake Kuna Mungu, Maana anaamini vitu vya kusadikika na kufikirika bila uthibitisho wowote ule, Hakuna awezacho kuthibitisha."
_Atheists 24:7 (Fikra Yakinifu)
Werevu wenu Kuna siku utawaponza mkuu
 
Asilimia kubwa ya ethiests ni wasomi wa masomo ya art hasa history na lugha.
Bill gates ni Atheist.

Stephen Hawking alikuwa Atheist.

Hata wewe ulikuwa Atheist pindi ulipozaliwa.

Na kila mtu huzaliwa Atheist( Bila kuwa na imani ya aina yeyote ile) mpaka pale wazazi wako au walezi wako wanapo kuridhisha na kukupa dini na imani zao kukuaminisha wewe.
Mwana Sayansi anaweza akawa hana uhakika na uwepo wa Mungu lakini hawezi kubisha 100% kwamba hakuna Mungu, atabaki njiapanda cause hana proves; why anabaki njiapanda? Is because any scientist anajua, hakuna kitu.kina exist bila source or maker/creator. Uwepo wa anything duniani, there is/are creator(s) somewhere. Wasomi wa masomo ya art hawana uzoefu wa ku prove anything. Mkwawa alikufa kwa kujiua, una kariri hilo, huna prove. Vita ya majimaji ilianzishwa na Kinjekitile, una kariri hilo, huna proves; hakuna Mungu, utakariri as well cause pia hakuna prove.
Kama hakuna kitu kinaweza ku exist chenyewe pasipo source/maker au creator, Huyo Mungu wako aliwezaje ku exist mwenyewe pasipo maker au creator?

Kwa nini umu exclude huyo Mungu wako kwenye kuwa na maker/ creator, Halafu unaanza kufosi kwamba kila kitu lazima kiwe na source?
 
Elon musk ni Atheist.

Bill gates ni Atheist.

Stephen Hawking alikuwa Atheist.

Hata wewe ulikuwa Atheist pindi ulipozaliwa.

Na kila mtu huzaliwa Atheist( Bila kuwa na imani ya aina yeyote ile) mpaka pale wazazi wako au walezi wako wanapo kuridhisha na kukupa dini na imani zao kukuaminisha wewe.

Kama hakuna kitu kinaweza ku exist chenyewe pasipo source/maker au creator, Huyo Mungu wako aliwezaje ku exist mwenyewe pasipo maker au creator?

Kwa nini umu exclude huyo Mungu wako kwenye kuwa na maker/ creator, Halafu unaanza kufosi kwamba kila kitu lazima kiwe na source?
Sijasema kama wana sayansi wote wana amini Mungu, I didn't say so, kasome tena nilicho kiandika mkuu. Nimesema, "mwana sayansi atabaki njiapanda kuhusu uwepo wa Mungu" hakuna mahali niliposema, scientists wana amini katika Mungu.
Nimesahau hiyo link, but ipo interview moja alifanyiwa bwana Elon Musk, aliulizwa kuhusu uwepo wa allies ambao hata humu watu wameandika sana na akaulizwa kuhusu uwepo wa Mungu; majibu yake yalikua kama ifuatavyo:-
Kama hao aliens wapo na huaga wanakuja duniani nadhani ningewaona, idadi ya satellites nilizo funga mimi pekee yangu tu huko ju, lazima zingewanasa; so sina hakika kama wapo; hapo again aliogopa sana kufanya HITIMISHO lake though bado alipata mashaka. Kuhusu Mungu, alisema, "he may exist or not, again not sure"
 
Hujaeleza kila kitu ni nini, unarudia tu tautology.

Wewe unajuaje unachofikiri kila kitu ni kila kitu kweli na hakuna zaidi ambacho hukijui ambacho kiko tofauti na hicho unachofikiri ni kila kitu?
Kama nafanya tautology, kwa nini usieleze wewe "kila kitu" ni nini ili turahishe mambo.

Nimejibu vile science inasema, kikitokea kitu tofauti pia science itatujuza.
 
Hata wewe ulikuwa Atheist pindi ulipozaliwa.

Na kila mtu huzaliwa Atheist( Bila kuwa na imani ya aina yeyote ile) mpaka pale wazazi wako au walezi wako wanapo kuridhisha na kukupa dini
Acha kupotosha watu, watu huzaliwa wakiwa hawana ufaham na si atheist kama unavodai.
 
Sijasema kama wana sayansi wote wana amini Mungu, I did say so, kasome tena nilicho kiandika mkuu. Nimesema, "mwana sayansi atabaki njiapanda kuhusu uwepo wa Mungu" hakuna mahali niliposema, scientists wana amini katika Mungu.
Nimesahau hiyo link, but ipo interview moja alifanyiwa bwana Elon Musk, aliulizwa kuhusu uwepo wa allies ambao hata humu watu wameandika sana na akaulizwa kuhusu uwepo wa Mungu; majibu yake yalikua kama ifuatavyo:-
Kama hao aliens wapo na huaga wanakuja duniani nadhani ningewaona, idadi ya satellites nilizo funga mimi pekee yangu tu huko ju, lazima zingewanasa; so sina hakika kama wapo; hapo again aliogopa sana kufanya HITIMISHO lake those bado alipata mashaka. Kuhusu Mungu, alisema, "he may exist or not, again not sure"
Sasa wewe uko sure kiasi gani na una uthibitisho upi kwamba Mungu yupo?
 
Mkuu mbona hata wewe unatumia nadharia na mawazo ya watu kukanusha uwepo wa mungu?
Madai ya uwepo wa Mungu, yametoka kwenu nyie waamini Mungu.

Ninyi ndio mnadai kuna Mungu.
Na mimi napinga madai yenu ya kusema kuna Mungu.

Sasa, Ninyi waamini Mungu, Mnaodai kuna Mungu, Mnatakiwa na ndio mnapaswa kuthibitisha madai yenu ya uwepo wa huyo Mungu.

Mkishindwa kuthibitisha madai yenu, Ni kwamba madai yenu ya kusema kuna Mungu ni madai ya UONGO.

Na huyo Mungu mnayedai yupo, HAYUPO.
 
Acha kupotosha watu, watu huzaliwa wakiwa hawana ufaham na si atheist kama unavodai.
Sahihi umesema, Watu huzaliwa bila ufahamu. Na kama huna ufahamu pia huwezi kuwa na imani au dini

Atheist ni mtu asiye na imani ya aina yeyote ile.

Mtoto anapozaliwa anakuwa hana ufahamu wala imani ya aina yeyote ile. Mpaka pale atakapo aminishwa na kupewa imani/dini kutoka kwa wazazi au walezi wake.

Una elewa hilo?
 
Kama nafanya tautology, kwa nini usieleze wewe "kila kitu" ni nini ili turahishe mambo.

Nimejibu vile science inasema, kikitokea kitu tofauti pia science itatujuza.
Mimi sijaleta habari za "kila kitu kinatokana na atom", sijaweka statement yoyote ya "kila kitu".

Kwa nini unanipa mzigo wa kuelezea kila kitu ni nini wakati sijasema lolote kuhusu kila kitu?
 
Werevu wenu Kuna siku utawaponza mkuu

Unawapa sifa wasiyo kuwa nayo, hawa sio werevu sababu mtu mwerevu hufikiria kwa usahihi.

Hawa wanafirikiria kitoto na kifalsafa. Hawajawahi kuwa na hoja wala hawatokuja kuwa na hoja.

Kwanza ni waoga wa kujibu maswali hakuna mfano.

Wanazo dai kuwa ni hoja hazigusi hoja za aliye dhidi yake.

Ukimuuliza akwambie alijuaje ya kuwa Mungu hayupo au akueleze ya kuwa ilikuwaje Ulimwengu ukawepo ? Hawana jibu la hayo maswali, halafu muda huo huo wanakana ya kuwa hskuna Mungu.
 
Back
Top Bottom