Science ina support uwepo wa Mungu

Science ina support uwepo wa Mungu

Uliwezaje kujua kuna "Deity" bila kuambiwa na kuaminishwa hivyo?

Huyo Mungu anacho taka aaminiwe ni nini?

Huyo Mungu asipo aminiwa atakufa au?

Naona ninyi Theists ndio mnahangaika sana kumpigania huyo Mungu wenu mchovu na mdhaifu ambaye hawezi hata kujidhihirisha mwenyewe.

Na huu ni uthibitisho tosha kwamba huyo Mungu hayupo.

Ni nyie tu mmemtunga vichwani mwenu na mnakazana kufosi aonekane yupo, kumbe hayupo.

Huyo Mungu kama yupo, ajitokeze hadharani mwenyewe ajidhihirishe na kujitetea mwenyewe kwamba yupo.

Anacho jifichia huko alipo kama mwali ni nini?

Afu eti anataka kuaminiwa, inaonekana huyo Mungu wenu ni kilaza kabisa.
Ku-experience deities ni rahisi sana, coz wenye magonjwa ya kiroho, wakipelekwa hospital hawatibiki isipokua hutibiwa huduma za kiroho, na hupona.

Mungu kujitokeza ajili ya kukuridhisha wewe ni kichekesho.
 
Weka ushandi solid kuhusu hiki ulichokiandika. Iweje Mungu aruhusu yaandikwe kimakosa yale yanayomuhusu? Mungu anakubali watu wake wapotee kwa kusoma maandiko yasiyo sahihi?
Kabla sijakujibu, unaamini makosa yaliyopo kwenye maandiko ni ya Mungu?
 
Soma hapa....
"Science inasema atom imeundwa na sehem 3(proton, neuron & electron bt maandiko yanasema Mungu anaundwa na sehem 3(Mungu baba, mwana & roho mtakatifu)."
Maelezo haya, ndo yanasupport uwepo uwepo wa Mungu.
 
Hata huyo Mungu au Allah wako Hawezi akawepo kwa dhati yeye mwenyewe tu, from nowhere.

Ni ninyi mmemtunga vichwani mwenu huyo Mungu/Allah na hata hamuwezi kuthibitisha uwepo wake, yeye kama yeye.

Mnatumia vitu ambavyo tayari vipo kwenye existence vyenyewe kuanza kufosi kwamba ndio viliumbwa na huyo Mungu wenu.

Mkiulizwa huyo Allah kaumbwa na nani? Mnaanza danadana.

Hawezi kuwepo kwa dhati yake vipi wakati ameshakuwepo tayari. Hivi unamjua tunayemjadili au unaandika tu ilimradi.

Uwepo wa Mungu uwepo wa lazima na WA dharura. Yaani hakuna kinyume chake.

Nachotaka Mimi ni wewe uguse hoja yangu kwa kukikosoa na kuonyesha uongo au udhaifu wake.


Thibitisha ya kuwa tumemtunga na onyesha wapi tumeshindwa kuthibitisha uwepo wake ?!
Safi kabisa, tuambie hivyo vitu imekuwaje vikawepo na utuambie ulazima wa kutokuwa na muanzilishi wa vitu hivyo.

Tunakuuliza wewe, chanzo cha kila kitu vipi kiwe kimeumbwa ? Swali lako ni swali la uongo. Unakubali Kuna infinity series ? Au una ufahamu kidogo wa Sayansi yenu, ambayo nayo inathibitisha ulazima wa uwepo chanzo ambacho hakihitaji chanzo ? Una idea kidogo na Entropy au Thermodynamics ? Ili uelewe ulazima wa chanzo kisicho na chanzo ?

Hapa nataka mtu mwenye uwezo wa kufikiri kielimu na kiuhalisia sio kifalsafa.
 
Atheist hana imani ya aina yeyote ile.

Atheist hatuamini kwenye kuamini.

Tunataka kujua kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.

Sihitaji kuamini, Nahitaji kujua.

Andika vitu vyenye uhalisia. Unajua maana ya Imani ?

Kama huamini kwenye kuamini unafanya nini au upo upande gani ?

Nani alikwambia Imani haina hakika ? Imani imegawanyika, na Imani sahihi inatanguliwa kwanza na elimu kujua kuwa na uhakika kisha kusadiki kwa moyo, hii ndio Imani.

Unahitaji kujua kwa misingi gani ? Ya logic au Falsafa ? Una uhakika na ala unazotumia ili ujue jambo ?
 
Kwa hiyo Roho mtakatifu ni ELECTRON?
Make kwanza hapo ncheke 😀
 
Ninyi " Waamini Mungu" ndio hamnaga hoja. Na wala hamuwezagi kujenga hoja zaidi ya kuanza kutushambulia Atheists.

Nakuuliza hivi na ujenge hoja sio kuleta hadithi zako uchwara za kwenye Quran zisizo na uthibitisho wowote ule.

Moja, Huyo Mungu kabla ya kuumba kitu chochote kile, Alikuwa wapi?

Mbili, Huko alikokuwa, kulitoka wapi na kuliumbwa na nani?

Eleza na thibitisha. Usianze hadithi za kwenye Quran mara oh! kilipanda kikashuka.

Mimi siandiki tu kwamba ili nijifurahishe, nyinyi nawajua ni dhaifu sana kwa hoja kushinda nyumba ya bui bui.

Twende kazi ila usikimbie mjadala na ukiulizwa maswali jibu, tuone nani anayeshambuliwa na nani muongo.

Tuanzia katika uongo wako juu ya Qur'an. Unajua Qur'an walau hata kuisoma au inafanana vipi ? Kingine naomba uthibitishe ya kuwa Qur'an ni Hadithi na kwanini unaandika uongo juu ya Qur'an. Hili ni swali la msingi kwanza ili kujua ufahamu wako na uwezo wako wa kujenga hoja. Sababu kuandika uongo juu ya jambo usilo lijua ni upunguani wa akili.


Mola wetu hakuwahi kutokuwepo, yeye yupo.

Jibu la swali lako hili hapa :

It was narrated that Abu Razeen said: O Messenger of Allah, where was our Lord before He created His creation? He said: “Nothing existed but Him, with nothing beneath Him and nothing above Him. Then He created His Throne above the water.”

Narrated by at-Tirmidhi (3109), Ibn Maajah (182) and Ahmad (15755).

Swali la pili la uongo na halina maana, sababu halina uhalisia. Huu utoto ndio huwa hatuutaki mnaandika andika tu vitu pasi na kujua mnachokojadili ni kipi. Mfano ukikaa ukatumia akili na kufikiria. Swali lako linaishia wapi. Yaani ukomo wake ni upi ?

Kingine nataka uniambie uthibitisho kwako wewe ni upi na una sifa gani ? Ili tupime unachokiandika ni sahihi au la.

Kingine nataka uje ututhibitishie ya kuwa Qur'an au Hadithi ni uongo na haufai kuwa uthibitisho.

Usikimbie hoja Wala maswali.
 
Isaac Newton ni binadamu kama wengine, Na yeye anaweza kuwa na imani yake isiyokuwa na uthibitisho wowote ule.

Kwa hivyo Isaac Newton kusema kwamba "There must be a supernatural power beyond the universe" Hakuthibitishi na wala Hakudhihirishi uwepo wa hiyo supernatural power.

Ni imani zake tu zisizo na uthibitisho wowote ule.
Stephen Hawking ulimtumia kwenye hoja zako , Naye ni binadamu kama wengine
 
Binadamu na dunia havina mwanzo.

Watu wanazaliwa hawazuki.

Hata mtu wa kwanza katika kizazi chetu, Hakuzuka.

Alizaliwa kutoka kwenye kizazi chake.

Watu walikuwepo, wapo na wataendelea kuwepo milele.

Dunia na vyote vilivyomo except man-made things, Vilikuwepo, vipo na vitaendelea kuwepo milele.

Havijaumbwa na yeyote wala kuzuka kutoka popote.

Watu huzaliwa, hawazuki.

Una elewa hilo wewe kichwa maji?
Binadamu wa kwanza alizaliwa na nani ?
 
Binadamu tunazaliwa kwenye ulimwengu ambao tayari upo. Lakini hatujui ulimwengu ulikuwepo vipi, Au ulifanyika vipi.

Na kama hatujui, Huwezi kuhitimisha moja kwa moja kwamba kuna creator wa ulimwengu.

Maana tunazaliwa kwenye ulimwengu ambao tayari upo, ila hatujui kwamba uliumbwa, Au ulikuwepo tu.

Kwa hivyo huwezi kuhitimisha moja kwa moja kwamba, Ulimwengu uliumbwa na creator.

Maana bado huna uthibitisho huo, inawezekana vilevile ulimwengu haujaumbwa na creator, ulikuwepo tu wenyewe.
Sema "Mimi sijui"
sio "Hatujui"
 
Kuna " matter" ambayo imeundwa na hizo protons n.k lkn kumbuka Kuna "antimatter" ambayo ni kinyume Cha matter
 
Ungemalozia tu Kwa ufupi ni kwamba wewe na roboti hamna tofauti
Roboti yupo programmed and controlled.

Mimi sipo programmed na hakuna kinacho ni control.

Tayari nipo tofauti na roboti.

Na hoja yako uliyotoa ni uongo.
 
Back
Top Bottom