Mungu hayupo.
Ninyi ndio mnadai yupo na wala hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.
Mungu hajawahi kuwepo na hayupo.
Sikusema Mungu yupo.
Mungu hajawahi kuwepo na hayupo.
Una elewa?
Mungu sio chanzo cha kila kitu, Ni wewe tu ndio unalazimisha Kwamba Mungu ni chanzo cha kila kitu.
Hakuna Mungu, Mungu hajawahi kuwepo na hayupo.
Mungu sio chanzo.
Ni wewe tu, unafosi na kulazimisha Mungu ni chanzo.
Nadharia ya "Big- Bang" pamoja na Nadharia ya " Mungu" Zote hazijitoshelezi kutoa majibu yenye uhakika na uthibitisho.
Kwa hivyo "Big- Bang" pamoja na "Mungu" ni nadharia zisizo na ukweli wowote ule.
Mungu hayupo.
Mungu mmemtunga vichwani mwenu ndio maana hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.
Mungu ni mawazo yenu ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.
View attachment 3158253
Ulijuaje Mungu yupo kabla ya kujua ni wa kiroho?
Usirukie kusema Mungu ni wa kiroho, kabla hujathibitisha uwepo wake.
Thibitisha kwanza, Ulijuaje Mungu yupo?
Kisha ndio uthibitishe, Ulijuaje ni wa kiroho?
Hata huyo Mungu hawezi kuwepo tu mwenyewe bila sababu ya kwanza iliyo mfanya awepo.
Unathibitisha vipi kwamba ulimwengu ulisababishwa na huyo Mungu?
Kama Energy(nishati) imeweza kuwepo bila kuwa created, Kwa nini ulazimishe tena kuna Mungu?
Kwa nini unafosi Mungu awepo?
Energy ipo, Haijawa created na wala Haimuhitaji huyo Mungu wako unaye jaribu kufosi awepo.
Una thibitisha vipi hiyo hoja ya
"ontolojia" ina ukweli?
Hiyo dhana ya " Mungu" inatoka wapi?
Bado huu si uthibitisho wa uwepo wa huyo Mungu.
Huo "uzoefu wa kiroho" hauna tofauti na Hallucinations.
Unathibitisha vipi kwamba Mungu angejidhihirisha waziwazi, Kila mtu angeamini bila hiari?
Kwa nini huyo Mungu anataka kuaminiwa badala ya kujulikana na kuonekana waziwazi kwamba yupo?
Kama ni "dalili" tu za muumba,
Kwa nini sasa unahitimisha moja kwa moja kusema kwamba ulimwengu uliumbwa, ilihali hujui kama ulimwengu uliumbwa au hauku umbwa.
Kwa nini unahitimisha moja kwa moja kusema kuna muumba?
Huoni kwamba unafosi ulimwengu uwe umeumbwa kwa kuhitimisha moja kwa moja kuna muumba, Wakati Hujui kama ulimwengu haukuumbwa?
Hizo dhana za Mungu/ Miungu ni dhana za uongo ambazo zimerithishwa vizazi kwa vizazi.
Ndio maana huyo Mungu hajawahi kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.
Ni watu tu, kama wewe unahangaika kumwelezea huyo Mungu na kuridhisha watu wengine dhana hii hii.
Na kwa kufanya hivyo, Mna endeleza kizazi cha kurithishana Mungu ambaye hata hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.
Mna ng'ang'ana tu, yupo! yupo!, Wala hata hamjui yuko wapi?
Einstein na Newton kukiri uwepo wa Mungu,
Hakuthibitishi na wala Hakudhihirishi uwepo wa huyo Mungu.
Hizo zitabaki imani na mitazamo yao tu isiyokuwa na uthibitisho wowote ule.
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
Ni ninyi tu mnahangaika kumwelezea na kumtetea huyo Mungu ambaye hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.