Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Inaonekana hujui hata unachokijadiliUnapaswa kujibu, nilichouliza kabla hujauliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana hujui hata unachokijadiliUnapaswa kujibu, nilichouliza kabla hujauliza.
Mkuu,Naheshimu maoni yako mkuu, bt kwa mujibu wa bible Mungu ni mmoja, aliejifunua kwetu ktk nafsi 3.
Soma mwanzo 1:1-3, kisha yohana 1:14.
Mkuu, ulipaswa jibu swali kabla hujauliza.Inaonekana hujui hata unachokijadili
Mkuu, tangu mwanzo wa mjadala, hakuna pahala nimekanusha uwepo wa space.Unasema ulimwengu umeumbwa na atom.
Lakini je, bila space unaweza kuwa na atom?
Hoja yako imejikita kwenye uongo (fallacy)Mkuu, ulipaswa jibu swali kabla hujauliza.
Nimeuliza, alieisambaza imani ya deities, ktk jamii tofauti duniani, ambazo hazikuwahi fahamiana, wala kuchangamana ni nani?
Nilijua, hutokua na majibu ya kueleweka.Hoja yako imejikita kwenye uongo (fallacy)
Logical fallacy of Bandwagon approach (argumentum ad populum)
Kama umekubali uwepo wa space, space imeumbwa na atom?Mkuu, tangu mwanzo wa mjadala, hakuna pahala nimekanusha uwepo wa space.
Tulifunge hili, turudi upande wa pili, kuhusu uwepo wa Mungu.
Mbona Ninachoona Ni weww Kutaja Kuwa Yesu amejidhihirisha Kwenye Nafsi tatu ila Kimaandiko Haisemi hivyo..mkuu DR Mambo Jambo, kuheshimu maoni yako wala hakunizuii kuyakosoa.
Mwanzo 1:1-3 na yohana 1:14, vinaeleza jinsi Mungu mmoja alivyojifunua kwetu ktk nafsi zake 3.
Kutajwa kwa roho, ktk andiko hilo, hakumaanishi Mungu mwingine, bali amejidhihirisha ktk nafsi yake nyingine.
Ukisoma yohana 1:1-3, Mungu anajidhihirisha tena ktk nafsi yake nyingine ya neno ambayo baadae ilifanyika mwili ktk yohana 1:14.
Hawa watu hata hayo maandiko hawajui yanasemaje.Mbona Ninachoona Ni weww Kutaja Kuwa Yesu amejidhihirisha Kwenye Nafsi tatu ila Kimaandiko Haisemi hivyo..
Hebu sasa Acha Kuongea Wewe kama wewe Nionyeshe Maandiko yanayo.dhihirisha Usemacho..
Na hakuna amahali.nimeouambia kuhusu Mungu Mwingine..
Nilichokuambia Kinafahamika Na akinaonyesha Vizuri kabisa...
Hebu toka Nje ya Box Ndugu yangu Usinipe Mahubiri ambayo umeambiwa Nionyeshe maandiko yakisema Hivyo na Kingine Nionyeshe Bhasinhata Science ikithibitisha
Na mimi napenda Sana Kudeal nao kwenye maandiko yao wenyewe 😅😅Hawa watu hata hayo maandiko hawajui yanasemaje.
Wanabumbabumba tu.
Huyu Jamaa Nimefurah anapresent Idea ya Uwepo wa Mungu ComedywiseHawa watu hata hayo maandiko hawajui yanasemaje.
Wanabumbabumba tu.
That's the legend George Carlin himself.Huyu Jamaa Nimefurah anapresent Idea ya Uwepo wa Mungu Comedywise
View attachment 3161567
Hawa Wengine wanabishana Race ya Mungu 😅😅😅🤣🤣
View attachment 3161563
Kwa hiyo atom nalo ni jina la munguMungu ni mmoja, japo huitwa ktk majina tofauti.
Sayansi inapima kipi kipo kweli na kipi ni hadithi tupu za uongo tu.Sayansi ni njia ya kuelewa na kuchunguza ulimwengu kupitia majaribio, uchambuzi, na utafiti wa kisayansi.
Sayansi inahusiana na maswali kuhusu "jinsi" kitu kinavyotokea.
Imani ya Kidini inahusiana na maswali kuhusu "kwa nini" ulimwengu na maisha yako hivi au vile.
Hivyo, sayansi haina lengo la kuthibitisha au kukanusha uwepo wa Mungu, bali inatoa uelewa wa kimwili wa asili ya vitu.
Ova
Namjua Vizuri sana 🤣🤣That's the legend George Carlin himself.
Acha mbaa mbaaGet more confused by this :
An electron has no internal configuration that we know of and is considered as one of the fundamental particles. Protons and neutrons, on the other hand are made up of smaller fundamental particles called quarks. There are 6 different types or"flavours" of quarks: up, down, charm, strange, bottom and top. Neutrons and protons are made up of only up and down quarks. Unlike neutrons, protons and electrons quarks may have fraction charge.The principle of quantization of charge is still followed because quarks are the only particles which have fractional charges and they always occur in combination. A neutron is made up of 1 up quark(charge = +2/3) and 2 down quarks(charge = -1/3). Similarly, a proton is made up of 2 up and 1 down quark.
Sasa hebu integrate mambo ya Mungu hapo., kama hujaanza kuongea kikwenu.