Scientific babkground to russian robotoids

Linalosemwa hapa ni kwanba kuna maendeleo makubwa sana kiasi kwamba siku hizi inawezekana kumtengeneza binadamu. 1. Mwaka 1947 mfizikia wa Hungary . Dr. Dennis Gabor aligundua jinsi ya kutengeneza picha za 3-dimension,yaani picha inayoonyesha urefu,upana na unene:tofauti na picha ya kawaida ambayo inaonyesha tu urefu na upana. Hii picha aliyoigundua. Dr. Gabor inaitwa hologram. Ulikuwa ni ugunduzi mkubwa na miaka 24 baadaye 1971, . Dr. Gabor alipata tuzo ya. Nobel. 2.. Ugunduzi wa. Dr. Gabor ulianzisha holografi,lakini bado wakati ule haikuwezekana kutengeneza hologram. Kilichohitajika ilikuwa ni kitu kinaitwa mwangaza ambao ni monochromatic,yaani mwangaza ambao upo katika wimbi moja tu. Hakuna aliyejua jinsi ya kutengeneza mwangaza wa namna hiyo 1947. Lakini 1960 mambo yalibadilika ghafla laser zilipogundulika.. Laser ni njia ya kutengeneza mwangaza ambao muonzi wake unakwenda mbele bila kusambaratika.. Laser zinaweza kufanya hivyo kwa sababu zina monochromatic light. Kwa hiyo sasa ilikuwa inawekana kutengeneza picha za hologram,picha za 3-d.
 
3. Hologram ni picha ya ajabu. Ukiiachana picha ya kawaida vipande vipande,unaiharibu. Ukiichana picha ya hologram,picha inatokea karibu yote katika kila kipande. Hili ndilo jambo lililowawezesha scientist wa russia kutengeneza robotoids. Wanasayansi wa majasusi waliokuwa wanasoma uböngo wa binadamu waligundua jambo moja muhimu;sehemu ya uböngo inaweza kuondolewa kwa ajali au kwa surgery lakini bado kumbukumbu ya binadamu inabakia karibu yote. Kwa hiyo ubongo wa binadamu ni kama hologram. Kila robotoid wa kirusi anao ubongo wa holografi. Ubongo wa mtu unapigwa picha. Hii inaweza kufanyika bila hata mtu mwenyewe kufahamu.
 
4. Kwa hiyo uböngo unapigwa picha kwa njia ambayo inaitwa ultra sonic cerebral hologram. Nilisema wabolsheviki wanatumia listi ya nelsön rockeffeller kuwatafuta wagomvi wao. Hii imefanywa kwa kila aliyepo kwenye ile list ambaye amekwenda russia au ulaya mashariki.[. Yaani kama umekwenda ulaya au marekani hao watu tayari wanayo picha ya holografi ya akili yako]
 
Mkuu hivi seriously unaamini haya mambo unayoandika au unachangamsha jukwaa?
 

It seems you have skipped Obama a Kenyan "robotoid".
 
5. Kama inahitajika kutengeneza robotoid wa,kwa mfano,hayati rais wetu. Jimmy. Carter,mambo mawili makubwa yanahusika. Kwanza unahitaji cell chache,mbili au tatu za . Jimmy. Carter ambazo zitakuwezasha kutengeneza umbo lake. Halafu unahitaji picha ya holografi ya ubögo wa. Carter.. Akili ya robotoid inaweza kufanya mambo mengine bila kuelezwa. Lakini kama computer lazima apangiwe kazi zote,programu ya akili.. Carter robotoid anawatambui rafiki zake wa zamani bila kufanyiwa programu yoyote .
 
som1times mtu mzima kuwa obsessed na Sci-fi na fantasy ni dalili za utaahira.

Kuhusu Hologram na 3d si "science fiction" ni technology ambayo ipo tayari, hayo mengine ya white house na "robotoids" inabidi tuyaangalie kwa jicho la 3D. Jisomee:

The Japanese have managed to combine hologram and 3d technologies, they wanted to use the technology during the world cup in Japan and Korea but FIFA refused them. Now they have made another bid for world cup 2022 and they have repeated their plea of using combined Hologram and 3D technology.

The said technology would enable us to view pictures and videos without screens. Its simply amazing.

You could go to The National Stadium in Dar and watch the soccer match played in Wimbledon as if it is played in Dar.:

"I have to admit that the idea of this blows my mind away," Japan 2022 bid committee chief executive Kohzo Tashima said.


"Three hundred and sixty million people could have a full stadium experience of matches; that's over 100 times the number of spectators at the 1994 World Cup in the United States," he told FIFA's executive committee.

Chanzo: Japan pitches 3D hologram World Cup - ABC News (Australian Broadcasting Corporation)
 

Inawezekana hiyo kweli kuona picha bila kutumia screen? Mh nahisi harufu ya NGUVU YA GIZA hapa!Or maybe the man himself SATAN is behind the idea!
 
Inawezekana hiyo kweli kuona picha bila kutumia screen? Mh nahisi harufu ya NGUVU YA GIZA hapa!Or maybe the man himself SATAN is behind the idea!

Inawezekana sana tena, niliiona Dubai Mall wakifanya maonesho ya Hollogram na 3D, its simply amazing.

Hapa Tanzania wakati wa miaka 50 ya Uhuru waliionesha angani lakini ilikuwa ni hologram pekee si mchanganyiko na 3D.

Kutokana na ID yako inapaswa uyaelewe haya mambo. Jisomee: https://www.google.com/search?q=hologram+and+3d+combined+in+Japan&ie=utf-8&oe=utf-8
 
Robotoids wanaweza kufanyiwa programu wajilinde,lakini pia wanaweza kufanya kazi za kujitolea mhanga... Kama misheni ya anga za juu ni hatari sana,robotoid wa cosmömaut anaweza kupelekwa.. Mpango wa Warusi ni kuanza na viögozi wa juu kwenda chini. Sasa hivi . White. House na cabinet yote ya. Carter iko mikononi mwao. Mawaziri wote wa cabinet wameuawa,isipokuwa mmoja. Badala yao wapo robotoids wa russia. Katika Supreme Court pia wapo robotoids.9. Wapo pia robotoids katika Senate. Wale maseneta waliokuwa wanapinga. S. A. L. T 2 wamebadilishwa na robotoids. Warusi wamebadili wachache tu. Lakini wanao uwezo wa kuibadili. Senate yote kuwa robotoids.
 
Ngosha anauliza huyu andrew ni yule yule aliyeandika kuhusu. Buddha wa buddhasutra.com, Lobsang Rampa na Mahabharata na. Commander Hatonn wa Phoenix Journals,na Urantia Book?
 

Nilisoma kitabu cha riwaya za kufikirika cha Nick Carter kinaitwa SLAVE MASTER! maudhui yake yanafanana mno na hizi habari za robotoids!
Wachina wana kitu kama hiki lakini wanafanya kwa siri kubwa sana
 
Hiyo ndiyo habari yenyewe kuhusu robotoids. Nimesema nitaandika. Watu waamue kama wanataka kuamini. Mimi nadhani sasa mambo yanakuwa very static kwa vile watu hawashirikishwi,they are not able to participate.
 
Hiyo ndiyo habari yenyewe kuhusu robotoids. Nimesema nitaandika. Watu waamue kama wanataka kuamini. Mimi nadhani sasa mambo yanakuwa very static kwa vile watu hawashirikishwi,they are not able to participate.

Andrew hivi wewe ni yule mtoto wa nyerere. ..no offence
 

Kuwa na ID ya namna hiyo haimaanishi ninajua au ni lazima nijue kila kitu bibiye, ina maana kwavile unatumia ID ya Foxy basi na wewe ni lazima uwe na tabia kama za mnyama huyo hasa ya kuzaa watoto wengi au kuwa na tabia zinazoendana na maana nyingine ya neno ya hilo (bitching around)?

Anyway,thanks for the information my lovely mama.
 
so interesting kwel wabongo tupo updated
mi nasubiri nondo zaidi ili niondoe ukungu kuhusu hii mikitu.
 
Mkuun Andew,

Hii kali umemkuna pale pale bi mkubwa FF, utadhani umedonoa donoa G - point ha ha ha ha
FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:

Unaona sasa!

Unachanganya fox na Foxy.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…