The realy Ngosha
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 340
- 529
mtoto wa nyerere but hajui kiswahil huyo🙂🙂
Duh! Kwani hajawai kuishi tz? Vp alizaliwa na kukulia ughaibuni????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtoto wa nyerere but hajui kiswahil huyo🙂🙂
Andrew Nyerere hivi wewe ni mtoto wa hayati baba wa taifa? Mungu akubarikiNgosha anauliza huyu andrew ni yule yule aliyeandika kuhusu. Buddha wa buddhasutra.com, Lobsang Rampa na Mahabharata na. Commander Hatonn wa Phoenix Journals,na Urantia Book?
FaizaFoxy;Kuhusu Hologram na 3d si "science fiction" ni technology ambayo ipo tayari, hayo mengine ya white house na "robotoids" inabidi tuyaangalie kwa jicho la 3D. Jisomee:
The Japanese have managed to combine hologram and 3d technologies, they wanted to use the technology during the world cup in Japan and Korea but FIFA refused them. Now they have made another bid for world cup 2022 and they have repeated their plea of using combined Hologram and 3D technology.
The said technology would enable us to view pictures and videos without screens. Its simply amazing.
You could go to The National Stadium in Dar and watch the soccer match played in Wimbledon as if it is played in Dar.:
"I have to admit that the idea of this blows my mind away," Japan 2022 bid committee chief executive Kohzo Tashima said.
"Three hundred and sixty million people could have a full stadium experience of matches; that's over 100 times the number of spectators at the 1994 World Cup in the United States," he told FIFA's executive committee.
Chanzo: Japan pitches 3D hologram World Cup - ABC News (Australian Broadcasting Corporation)
kuna siku huwa unakuwa very brilliant mama,..lakini ukiamka umegombana na mume wako it simply becomes a bad for the rest of us.
😛ainkiller:😛ainkiller:😛ainkiller:
Linalosemwa hapa ni kwanba kuna maendeleo makubwa sana kiasi kwamba siku hizi inawezekana kumtengeneza binadamu. 1. Mwaka 1947 mfizikia wa Hungary . Dr. Dennis Gabor aligundua jinsi ya kutengeneza picha za 3-dimension,yaani picha inayoonyesha urefu,upana na unene:tofauti na picha ya kawaida ambayo inaonyesha tu urefu na upana. Hii picha aliyoigundua. Dr. Gabor inaitwa hologram. Ulikuwa ni ugunduzi mkubwa na miaka 24 baadaye 1971, . Dr. Gabor alipata tuzo ya. Nobel. 2.. Ugunduzi wa. Dr. Gabor ulianzisha holografi,lakini bado wakati ule haikuwezekana kutengeneza hologram. Kilichohitajika ilikuwa ni kitu kinaitwa mwangaza ambao ni monochromatic,yaani mwangaza ambao upo katika wimbi moja tu. Hakuna aliyejua jinsi ya kutengeneza mwangaza wa namna hiyo 1947. Lakini 1960 mambo yalibadilika ghafla laser zilipogundulika.. Laser ni njia ya kutengeneza mwangaza ambao muonzi wake unakwenda mbele bila kusambaratika.. Laser zinaweza kufanya hivyo kwa sababu zina monochromatic light. Kwa hiyo sasa ilikuwa inawekana kutengeneza picha za hologram,picha za 3-d.
Linalosemwa hapa ni kwanba kuna maendeleo makubwa sana kiasi kwamba siku hizi inawezekana kumtengeneza binadamu. 1. Mwaka 1947 mfizikia wa Hungary . Dr. Dennis Gabor aligundua jinsi ya kutengeneza picha za 3-dimension,yaani picha inayoonyesha urefu,upana na unene:tofauti na picha ya kawaida ambayo inaonyesha tu urefu na upana. Hii picha aliyoigundua. Dr. Gabor inaitwa hologram. Ulikuwa ni ugunduzi mkubwa na miaka 24 baadaye 1971, . Dr. Gabor alipata tuzo ya. Nobel. 2.. Ugunduzi wa. Dr. Gabor ulianzisha holografi,lakini bado wakati ule haikuwezekana kutengeneza hologram. Kilichohitajika ilikuwa ni kitu kinaitwa mwangaza ambao ni monochromatic,yaani mwangaza ambao upo katika wimbi moja tu. Hakuna aliyejua jinsi ya kutengeneza mwangaza wa namna hiyo 1947. Lakini 1960 mambo yalibadilika ghafla laser zilipogundulika.. Laser ni njia ya kutengeneza mwangaza ambao muonzi wake unakwenda mbele bila kusambaratika.. Laser zinaweza kufanya hivyo kwa sababu zina monochromatic light. Kwa hiyo sasa ilikuwa inawekana kutengeneza picha za hologram,picha za 3-d.
3D sasa imepiywa na wakati kuna 4D na niya muda mrefu kuwa public. Unavaa ile miwani ya 3d unapotazama na kama ni mvua inakunyeshea na kama kunakuyumba unayumba na kiti chako. Unakuwa part of the event na wala siyo mtazamaji ni mshiriki
Let us skip the introduction and say what happenned afterwards. As of now, the white house and cabinet are under complete control by russia. According to my latest intelligence report only one member of the carter cabinet is still alive. All the rest,including the ad hoc gang of four have been replaced by russian robotoids. Likewise,the us has a supreme court made up of 9 russian robotoids. Jimmy carter was a robotoid. After carter reagan was president,and then bush,then clinton,and then again bush and then clinton. Now all these several presidents,reagan,bush,clinton,bush,all were robotized. You ask how can such important people be robotized? It is because it is the big. Bad Boy himself Satan who is doing this. Hillary. Clinton is a robotoid and yet tunasikia she is a front runner. But you ask why would anyone want to robotize leaders? Kuna ubishi jinsi ya kuleta maendeleo duniani. Kuna kazi nyingi za kufanya. Unachohitaji ni kiongozi afanye kazi kama mashine,au mashine ifanye kazi kama kiongozi. ?
Mkuu kwa dimensions kwa sasa mwisho ni 3D yaani x,y na z. Kwa ufafanuzi kidogo 2D ni picha kama inayoiona kitabuni. Ile ina dimension x na y. 3D ni picha ambayo inaweza kukionyesha kitu pande zake zote tatu yaani dimension x,y na z. Ndio pale unapoiona katuni ikitembea na kuongea kama binadamu halisi.
Sasa nikija kwa unachoita 4D,mpaka sasa hakujawa na 4D bali ni 3D picture au film ambayo inatengenezewa physical effects ambazo huwa zinaendeshwa sawasawa na miondoko ya 3D film. Hivyo kama upo kwenye kinachoitwa 4D Theatle huwa unaangalia 3D Movie ambapo viti na mazongira uliyokaa huwa vinawekewa physical mechanism ili kwa mfano kama kuna meli inapita kwenye mawimbi makubwa,nawe utajiona upo kwenye mawimbi hayo ukipanda na kushuka huku pia ukiyaona kabisa hata matone ya maji yakikuangukia mwilini mwako!
Ni somo refu ila nimeweka kifupi ili wengine pia waje mjadala uendelee.
Mkuu ni kweli usemacho. Unaweza kuiangalia picha ya 3D ukiwa umevaa miwani au hata kama haujavaa miwani. Ikivaa miwani unaongezewa some few special effects. Lakini ukiangalia movie wanayoita 4D lazima uvae miwani na ukae kwenye ukumbi ambao viti na mazingira yamesetiwa yaende na picha ya 3D utakayoangalia.Asante sana mkuu. Nilipoingia kwenye 3D kino miaka ya tisini mwanzoni nilishangaa sana. Nilipoenda miaka hii ya 2000 nilikuta wanasema 4D. Nikweli kuwa kiuhalisia ni 3D kwa sababu iliuweze kuwa kwenye 3D unavaa miwani, na hivyo hiyo waliyoita 4D waliongeza hayo makolembwezo
Asante sana mkuu. Nilipoingia kwenye 3D kino miaka ya tisini mwanzoni nilishangaa sana. Nilipoenda miaka hii ya 2000 nilikuta wanasema 4D. Nikweli kuwa kiuhalisia ni 3D kwa sababu iliuweze kuwa kwenye 3D unavaa miwani, na hivyo hiyo waliyoita 4D waliongeza hayo makolembwezo
Naam, huyo ni mtoto wa Mzee Nyerere.
Kuna moja sasa hivi inaitwa The Battle of Harvest Moon. Waosvieti walilipua satelaiti zote za Marekani wakatuma balozi aende White House kutoa Ultimatum. Hahahaha David Beter ukimsikiliza unaweza ukaugua kichaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hearly alitaka ona mada za mwananzengo wake!..