Scientific babkground to russian robotoids

Ngosha anauliza huyu andrew ni yule yule aliyeandika kuhusu. Buddha wa buddhasutra.com, Lobsang Rampa na Mahabharata na. Commander Hatonn wa Phoenix Journals,na Urantia Book?
Andrew Nyerere hivi wewe ni mtoto wa hayati baba wa taifa? Mungu akubariki
 
Last edited by a moderator:
FaizaFoxy;Kuhusu Hologram na 3d si "science fiction" ni technology ambayo ipo tayari, hayo mengine ya white house na "robotoids" inabidi tuyaangalie kwa jicho la 3D. Jisomee:

The Japanese have managed to combine hologram and 3d technologies, they wanted to use the technology during the world cup in Japan and Korea but FIFA refused them. Now they have made another bid for world cup 2022 and they have repeated their plea of using combined Hologram and 3D technology.

The said technology would enable us to view pictures and videos without screens. Its simply amazing.

You could go to The National Stadium in Dar and watch the soccer match played in Wimbledon as if it is played in Dar.:

"I have to admit that the idea of this blows my mind away," Japan 2022 bid committee chief executive Kohzo Tashima said.


"Three hundred and sixty million people could have a full stadium experience of matches; that's over 100 times the number of spectators at the 1994 World Cup in the United States," he told FIFA's executive committee.

Chanzo: Japan pitches 3D hologram World Cup - ABC News (Australian Broadcasting Corporation)

kuna siku huwa unakuwa very brilliant mama,..lakini ukiamka umegombana na mume wako it simply becomes a bad day for the rest of us.
πŸ˜›ainkiller:πŸ˜›ainkiller:πŸ˜›ainkiller:
 

View attachment 237829
 
Hii kama conspiracy theory.Iweje President Reagan alitumika kwa Soviet lakini yeye ndie kinara aliesambaratisha Easten Block ukawa mwanzo wa kumeguka himaya hiyo Iron Curtain?Mbona Russia uchumi wake ni mafuta na silaa tu hana jipya?Smart blame need smart people.
 

MKUU HUWA SIKUKUBALI na mambo yako ya Chadema ila Leo umeandika kitu kizuri sana!!Why don't you compile ur work(may be I should call it an article)and put it all together since it will be easy for a reader to enjoy reading.Haya mambo ya Robotods yapo na kwa Siri kubwa sana na Russia wako mbali sana na hayo mambo,few are with the knowledge.So Iam not surprised na wanaopinga ulichoandika since it needs dedication and commitment to learn these stuffs.

For example I remember during Reagan administration when Gorbacheck was Russian President, he never agreed to join the US in fighting the space aliens when Reagan proposed it.The Russians are very secretive and they benefit alot of technology from the space exploration remember they were the First Nation to get into space and the moon.
That's why there are shocking stuffs coming from Washington that Putin may be planning to bring in Martian troops from the Red Planet and launch a massive soviet era invasion of this entire planet.
 

3D sasa imepiywa na wakati kuna 4D na niya muda mrefu kuwa public. Unavaa ile miwani ya 3d unapotazama na kama ni mvua inakunyeshea na kama kunakuyumba unayumba na kiti chako. Unakuwa part of the event na wala siyo mtazamaji ni mshiriki
 
Science fiction + conspiracy theories are futuristic ideas
 
3D sasa imepiywa na wakati kuna 4D na niya muda mrefu kuwa public. Unavaa ile miwani ya 3d unapotazama na kama ni mvua inakunyeshea na kama kunakuyumba unayumba na kiti chako. Unakuwa part of the event na wala siyo mtazamaji ni mshiriki

Mkuu kwa dimensions kwa sasa mwisho ni 3D yaani x,y na z. Kwa ufafanuzi kidogo 2D ni picha kama inayoiona kitabuni. Ile ina dimension x na y. 3D ni picha ambayo inaweza kukionyesha kitu pande zake zote tatu yaani dimension x,y na z. Ndio pale unapoiona katuni ikitembea na kuongea kama binadamu halisi.
Sasa nikija kwa unachoita 4D,mpaka sasa hakujawa na 4D bali ni 3D picture au film ambayo inatengenezewa physical effects ambazo huwa zinaendeshwa sawasawa na miondoko ya 3D film. Hivyo kama upo kwenye kinachoitwa 4D Theatle huwa unaangalia 3D Movie ambapo viti na mazongira uliyokaa huwa vinawekewa physical mechanism ili kwa mfano kama kuna meli inapita kwenye mawimbi makubwa,nawe utajiona upo kwenye mawimbi hayo ukipanda na kushuka huku pia ukiyaona kabisa hata matone ya maji yakikuangukia mwilini mwako!
Ni somo refu ila nimeweka kifupi ili wengine pia waje mjadala uendelee.
 

Je u mkatoliki? Je unajua siri ya tatu ya fatima? Bikira maria alipowatokea wale watoto watatu?
Ni ukweli hawa viongozi wamepagawa na pepo wabaya, na ni sheteni mwenyewe anamiliki nafsi yao. Angalia wanavyotetea ushoga na aboshen
 

Asante sana mkuu. Nilipoingia kwenye 3D kino miaka ya tisini mwanzoni nilishangaa sana. Nilipoenda miaka hii ya 2000 nilikuta wanasema 4D. Nikweli kuwa kiuhalisia ni 3D kwa sababu iliuweze kuwa kwenye 3D unavaa miwani, na hivyo hiyo waliyoita 4D waliongeza hayo makolembwezo
 
Mkuu ni kweli usemacho. Unaweza kuiangalia picha ya 3D ukiwa umevaa miwani au hata kama haujavaa miwani. Ikivaa miwani unaongezewa some few special effects. Lakini ukiangalia movie wanayoita 4D lazima uvae miwani na ukae kwenye ukumbi ambao viti na mazingira yamesetiwa yaende na picha ya 3D utakayoangalia.
Mfano wa 3D ni wakati kombe la coca cola lililotutembelea pale uwanja wa Taifa ,pale huwa wanaweka 3D film. Huwa wanakupa miwani maalum. Kuna wakati mpira huwa unaona unakuja kukugonga usoni pale unapotoka nje ua uwanja. Sasa pale 4D bado haijawekwa kabisa. Experience ya 4D ni balaa zaidi.
 

Ila kwa uzoefu wangu miaka ya 90 3D tech bado ilikua haijaingia Tanzania,sijui lakini.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hearly alitaka ona mada za mwananzengo wake!..
Kuna moja sasa hivi inaitwa The Battle of Harvest Moon. Waosvieti walilipua satelaiti zote za Marekani wakatuma balozi aende White House kutoa Ultimatum. Hahahaha David Beter ukimsikiliza unaweza ukaugua kichaaa.
πŸ˜€πŸ˜±πŸ˜±πŸ˜±
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…