Hivi ana matatizo Dr. Beter?.Kuna moja sasa hivi inaitwa The Battle of Harvest Moon. Waosvieti walilipua satelaiti zote za Marekani wakatuma balozi aende White House kutoa Ultimatum. Hahahaha David Beter ukimsikiliza unaweza ukaugua kichaaa.
ππ±π±π±
hahaaaa aliniagiza "cha arushA " huyoππππPalantir leo umekula nini asee!
Hahahaha....
aiseee"" hahaaaKuna moja sasa hivi inaitwa The Battle of Harvest Moon. Waosvieti walilipua satelaiti zote za Marekani wakatuma balozi aende White House kutoa Ultimatum. Hahahaha David Beter ukimsikiliza unaweza ukaugua kichaaa.
ππ±π±π±
Ukistaajabu ya Mussa.....aiseee"" hahaaa
utakuwa mbioni " kuyaona ya farao"..Ukistaajabu ya Mussa.....
Unafikiri haya mambo ni uongo?Mkuu hivi seriously unaamini haya mambo unayoandika au unachangamsha jukwaa?