Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
lakini siyo kila mwenye roho mbaya ni mchawiSifa kuu ya kwanza ya mchawi ni roho mbaya, so mleta maada still yuko sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lakini siyo kila mwenye roho mbaya ni mchawiSifa kuu ya kwanza ya mchawi ni roho mbaya, so mleta maada still yuko sahihi
Sio chadema mkuu, wakisikia jambo limeharibika kwao ni vigele gele!, na shutuma kibao, line 5.Wanaccm
Mkuu tunguri ni mbwembwe tu, kitokacho nafsini ndicho chenye mkuu, katika uchawi, sympathic witches haizidi 10%.lakini siyo kila mwenye roho mbaya ni mchawi
Roho mbaya ni sifa za mchawiunaujua uchawi kweli
hizo ni sifa za mtu mwenye roho mbaya
Yes ni brach ya sayansiKwahyo UCHAWI is a branch of science which deal with making other people suffering.
Roho mbaya means shetani unakuwaje na roho mbaya sasa kama we si mchawilakini siyo kila mwenye roho mbaya ni mchawi
Bila roho mbaya utamrogaje mtu?Roho mbaya ni sifa za mchawi
-unapiga dili gani unipasie ili nami nipate tusenti mkuu nipo vibaya sana!Aisee, sina hata sifa 1 hapo, yani hata kwa mbalii
Mimi ni software developer pia ni sales and marketing person mkuu.-unapiga dili gani unipasie ili nami nipate tusenti mkuu nipo vibaya sana!
Unaona wanakupita tu, wewe upo palepale 😁😁😁Mbona mimi naangakia namba 1 najiona kama mnafiki hivi natamani nijitenge kabisa nisiwe na rafiki kabisa
Uko safi, Mambo ya elimu elimu zenu siziwezi! Unanichanganya tu, upo safi mungu akupe moyo huo zaidi na zaidi, Sali Sala niliyoiweka hapo juu, endapo kama wewe ni Mkristo, utafanikiwa zaidi na zaidi.Mimi ni software developer pia ni sales and marketing person mkuu.
Hizo ndio dili zangu kamanda
Aameeni.Uko safi, Mambo ya elimu elimu zenu siziwezi! Unanichanganya tu, upo safi mungu akupe moyo huo zaidi na zaidi, Sali Sala niliyoiweka hapo juu, endapo kama wewe ni Mkristo, utafanikiwa zaidi na zaidi.
Niko up bana sio rafiki 2 hadi wanyama ,mimea na wadudu wakishindwa nafurahiUnaona wanakupita tu, wewe upo palepale 😁😁😁
Be openly kwa yule umwonaye ana kautu fulani mueleze nafanyaje niweze kupata daily bread, makubwa zaidi ni majaliwa!
Eti nini wewee 80% are you serious? It is 99.9%.80% ya wa tz wanaangukia humo!
Asante,mtumishiHata kule roma, ipo Sala maalumu wanayosali mapapa na watu wa high rank za kiimani,
""BELILIN BELILIN BELILIN,
THE AMPHORA OF SALVATION,
THE SHADOW OF JESUS CRISTUM,
MAKE ME SAFE FROM NEGATIVITY,
BE WITH ME,
BELILIN BELILIN BELILIN. ""
DR HAYA LAND, nimetoa siri nzito mno, Mungu anisamehe ni kwa upendo tu, mara usalipo Sala hii, hasa usiku, mara 7,you are free!
mkuuu uchawi ni ibada-Mkuu uchawi, kwanza ni emotion ya mtu, tunguri mbwembwe tu.
Huo ndio uchawiKuna wakati nilikuwa na fulululiza kula nyama kila siku wakaniroga asee. Yani kichwa kilikuwa kina expand kama puto unavyolipuliza halafu inasinyaa. Kakobe ndo alisaidia maamaee.
mchawi haishii tu kwenye roho mbayaSifa kuu ya kwanza ya mchawi ni roho mbaya, so mleta maada still yuko sahihi