Scientifically, kama wewe ni wa aina hii tambua wewe ni mchawi

Scientifically, kama wewe ni wa aina hii tambua wewe ni mchawi

Mbona mimi naangakia namba 1 najiona kama mnafiki hivi natamani nijitenge kabisa nisiwe na rafiki kabisa
Unaona wanakupita tu, wewe upo palepale 😁😁😁
Be openly kwa yule umwonaye ana kautu fulani mueleze nafanyaje niweze kupata daily bread, makubwa zaidi ni majaliwa!
 
Mimi ni software developer pia ni sales and marketing person mkuu.
Hizo ndio dili zangu kamanda
Uko safi, Mambo ya elimu elimu zenu siziwezi! Unanichanganya tu, upo safi mungu akupe moyo huo zaidi na zaidi, Sali Sala niliyoiweka hapo juu, endapo kama wewe ni Mkristo, utafanikiwa zaidi na zaidi.
 
Unaona wanakupita tu, wewe upo palepale 😁😁😁
Be openly kwa yule umwonaye ana kautu fulani mueleze nafanyaje niweze kupata daily bread, makubwa zaidi ni majaliwa!
Niko up bana sio rafiki 2 hadi wanyama ,mimea na wadudu wakishindwa nafurahi
 
Kuna wakati nilikuwa na fulululiza kula nyama kila siku wakaniroga asee. Yani kichwa kilikuwa kina expand kama puto unavyolipuliza halafu inasinyaa. Kakobe ndo alisaidia maamaee.
 
Hata kule roma, ipo Sala maalumu wanayosali mapapa na watu wa high rank za kiimani,
""BELILIN BELILIN BELILIN,
THE AMPHORA OF SALVATION,
THE SHADOW OF JESUS CRISTUM,
MAKE ME SAFE FROM NEGATIVITY,
BE WITH ME,
BELILIN BELILIN BELILIN. ""
DR HAYA LAND, nimetoa siri nzito mno, Mungu anisamehe ni kwa upendo tu, mara usalipo Sala hii, hasa usiku, mara 7,you are free!
Asante,mtumishi
 
Back
Top Bottom