Scientifically, kama wewe ni wa aina hii tambua wewe ni mchawi

Scientifically, kama wewe ni wa aina hii tambua wewe ni mchawi

Hizo ni dalili za roho mbaya tu au tabia ambazo mtu huwa nazo.

Uchawi unauzwa, watu wananunua au kujifunza na wengine wanarithi
 
Five Signs of witchcraft
Here are ways to know if you are involved in witchcraft:

1. You are happy when others fail
2. You secretly wish for others downfall
3. You trivialize the pain of others
4. You wish to use people’s downfall to create social media content
5. You want others to fail to confirm you said it.
Kama wewe ni mwembamba na unaombea waliokuzidi mwili
wapate madhara ya kiafya ambayo wewe hutapata, wewe ni kachawi uchwara. The opposite is also true.
 
Umasikini ni zao la nini?
Sababu zake huwa ni nyingi.

Mfano,
Elimu duni .
Siasa na utawala m bovu .
Ukosefu wa rasilimali .
Mabadiliko ya tabia ya nchi .
Migogoro isiyoisha pamoja na vita .
Ukosefu wa afya bora ya mwili pamoja na akili.
 
Sababu zake huwa ni nyingi.

Mfano,
Elimu duni .
Siasa na utawala m bovu .
Ukosefu wa rasilimali .
Mabadiliko ya tabia ya nchi .
Migogoro isiyoisha pamoja na vita .
Ukosefu wa afya bora ya mwili pamoja na akili.


Hakika je kwanini umasikini waarabu na wahindi wanoishi Africa hasa Tz na jamii za wapemba wamefanikiwa kuufukuza na wao hawana huo umasikini uliokithiri?.
 
Hakika je kwanini umasikini waarabu na wahindi wanoishi Africa hasa Tz na jamii za wapemba wamefanikiwa kuufukuza na wao hawana huo umasikini uliokithiri?.
Hizi jamaii toka mwanzo zilibebwa mno na sera za utawala wa kikoloni, zilipata nafasi kubwa za kiupendeleo kwenye biashara mbalimbali .

Pia ,zilijenga biashara zao katika misingi ya kimtandao katika ngazi ya familia, hii ilichangia biashara zao kupata mrithi aliepikwa kuanzia chini katika mifumo ya kusimamia biashara zao vizuri .


Pia jamii hizi hupata mikopo na kuaminika kirahisi kwenye bank na taasisi mbalimbali kutokana na mifumo yao ya kibiashara walivyo iunda, inakua rahisi kuaminika kwa sababu ni mifumo imara mno .
 
Hizi jamaii toka mwanzo zilibebwa mno na sera za utawala wa kikoloni, zilipata nafasi kubwa za kiupendeleo kwenye biashara mbalimbali .

Pia ,zilijenga biashara zao katika misingi ya kimtandao katika ngazi ya familia, hii ilichangia biashara zao kupata mrithi aliepikwa kuanzia chini katika mifumo ya kusimamia biashara zao vizuri .


Pia jamii hizi hupata mikopo na kuaminika kirahisi kwenye bank na taasisi mbalimbali kutokana na mifumo yao ya kibiashara walivyo iunda, inakua rahisi kuaminika kwa sababu ni mifumo imara mno .

Majibu mazuri Sana mkuu naimani watu watajifunza kitu kupitia maandishi yako.

Nimesoma shule ya wahindi na nimesoma nao hawa jamaa hawatoki katika mifumo yao na tamaduni zao.
 
Majibu mazuri Sana mkuu naimani watu watajifunza kitu kupitia maandishi yako.

Nimesoma shule ya wahindi na nimesoma nao hawa jamaa hawatoki katika mifumo yao na tamaduni zao.
Hizi njia nilishawah kushauri kwenye group la vijana wa ukoo wangu ambao ni uzao wa babu yangu tu ,yani watoto wa baba zangu wakubwa na wadogo pamoja na watoto wa ma shangazi

Tukachanga pesa kila mwezi tukafungua account ya pamoja lengo ni kufungua biashara kubwa kwa mifumo ya kikampuni ili kila mmoja awe na hisa na ndugu zetu na watoto wetu waje kusoma na kupata ajira humo , na kuendeleza mwisho wa siku ulitokea ugomvi mkubwa pale tu watu walipo anza kuingiza tamaa na ubinafsi .

Mwisho wa siku tuliishia kugawana kiasi kilichopo ,kingne waliishia kujengea makaburi ya wana ukoo .

Nikaona bora hilo wazo nilitunze nilipambanie peke yangu tu hata kama nitachelewa miaka 30
 
Ceteris paribus . Watanzania wote ni wachawi elewa Ceteris paribus
 
uchawi wa kizungu ni mzuri,una maendeleo,ungeandika kwa kiswahili labda.
 
Five Signs of witchcraft
Here are ways to know if you are involved in witchcraft:

1. You are happy when others fail
2. You secretly wish for others downfall
3. You trivialize the pain of others
4. You wish to use people’s downfall to create social media content
5. You want others to fail to confirm you said it.
Scientifically na uchawi wapi na wapi? Science is about facts and experimentations while uchawi hauwezi kuwa proved kwa hizo njia ambazo science inatumia kukusanya data zake.

Conclusion
Your post is an oxymoron
 
Hizi njia nilishawah kushauri kwenye group la vijana wa ukoo wangu ambao ni uzao wa babu yangu tu ,yani watoto wa baba zangu wakubwa na wadogo pamoja na watoto wa ma shangazi

Tukachanga pesa kila mwezi tukafungua account ya pamoja lengo ni kufungua biashara kubwa kwa mifumo ya kikampuni ili kila mmoja awe na hisa na ndugu zetu na watoto wetu waje kusoma na kupata ajira humo , na kuendeleza mwisho wa siku ulitokea ugomvi mkubwa pale tu watu walipo anza kuingiza tamaa na ubinafsi .

Mwisho wa siku tuliishia kugawana kiasi kilichopo ,kingne waliishia kujengea makaburi ya wana ukoo .

Nikaona bora hilo wazo nilitunze nilipambanie peke yangu tu hata kama nitachelewa miaka 30



Wazo zuri sana nimependa Sana hii idea , ntajaribu kufanya kitu Kama hiki

Hakika una hazina kubwa kichwani.
 
Wazo zuri sana nimependa Sana hii idea , ntajaribu kufanya kitu Kama hiki

Hakika una hazina kubwa kichwani.
😁😁Wala sina mkuu ila mimi naamni kama watu wanaokuzunguka wa karibu ni maskini hata ukiwa na kitu ni ngumu kukilinda labda uwe mafia .
 
😁😁Wala sina mkuu ila mimi naamni kama watu wanaokuzunguka wa karibu ni maskini hata ukiwa na kitu ni ngumu kukilinda labda uwe mafia .


The same to me , hata Jay Z nimemsikia anaongea kitu Kama hiki kuwa hauwezi kuwa na Uhuru kamili ikiwa waliokuzunguka hawapo huru.


Maisha yetu yameunganishwa na watu waliotuzunguka you can't even enjoy ikiwa walikuzunguka wapo na maisha magumu Sana.


Familia ikiwa na watoto 09 waliofanikiwa na mmoja ambaye hajafanikiwa maana yake yule mmoja umasikini wake utakuwa fixed hautoweza kuonekana.
 
Back
Top Bottom