Scientifically, kama wewe ni wa aina hii tambua wewe ni mchawi

Na wengi hujiona wamefanikiwa mno na hawana cha kupambania tena kutokana na kuona ameshawashinda waliomzunguka .
 
Na wengi hujiona wamefanikiwa mno na hawana cha kupambania tena kutokana na kuona ameshawashinda waliomzunguka .

Mafanikio ya MTU mweusi huwa yanashangaza Sana akipata pesa anajitenga na ndugu zake anaoa au kuolewa na hataki ukaribu na ndugu zake.

Hii noana ni sababu ya MTU mweusi kuwa masikini kutopenda kuinua wengine
 
Is this a whitch dog?,it is happy about all said statement.🫠
 
Mama yangu mdogo na wanawe wako hivi, yaani mtaani kwao kila mtu anawashangaa kuwa na roho mbaya kihivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…