BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Mida ya kufa hii.Malaika mlinzi awe nanyi.. Watu wengi hufa mida hii... Hivi tunavyoongea hapa kuna watu saa hii wanakufa.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mida ya kufa hii.Malaika mlinzi awe nanyi.. Watu wengi hufa mida hii... Hivi tunavyoongea hapa kuna watu saa hii wanakufa.....
Ohoo kwa hiyo 8 mpaka 9 ndio mida yenyewe?Ishapita muda si mrefu saa hii ni saa kumi kamili... Alfajiri ndio imeanza
nazungumzia tabia ishakuwa mazoea mbona jambo la kawaida kama kuvuta atention ya mtuFrom nowhere? With a stranger? Totally unknown to you? [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Mngh!Naipataje hiyo dawa?
Nataka nijifanyie majaribio.
Umeniwahi, wacha nifanye mpango nimpulizieHii dawa wangempulizia Dkt Magu ingekua poa sana
[emoji16][emoji16]Uwe mwanae wa pili baada ya bashiteUmeniwahi, wacha nifanye mpango nimpulizie
Kuna wakati waliyatumia sana mabus ya Abood na BM haya ya route ya Dar MoroNa hawa matapeli huwa wana tabia ya kujifanya kuuliza njia ,au sehemu fulani kama kiwanda au hospital au kujifanya wamesoma na wewe,,,,ukiingia kingi wamekumaliza.Wamewaibia watu wengi sana hasa wanafunzi wa vyuo vikuu na wapita njia hasa kwenye mkusanyiko wa watu kama bus stand au sokoni