mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Niko Tabora- weekend nilikuwa viwanja vya oxygen pale na vijana live band[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umemiss kiasali?
Mzima ww?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko Tabora- weekend nilikuwa viwanja vya oxygen pale na vijana live band[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umemiss kiasali?
Haya mbona kama ni maua kengele au yamefanana?Hapana uache.. Unapendezesha mazingira... Niliwahi kufika Patandi chuo cha ualimu mwaka 1991, zile garden zake zilikuwa next level.. Hayo nayo yalikuwepo View attachment 783272
Niko Tabora- weekend nilikuwa viwanja vya oxygen pale na vijana live band[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mzima ww?
Ndio haya maua niliyaona sana maeneo ya Lushoto wakati flani sista wangu anasoma Kifungilo ni maua yanayovutia mno kimuonekano kumbe ndo hayo yanatufanya tuwe MAZOBA loh.Hilo jina ni geni kwangu ila ni maua yanayopatikana sehemu za baridi... I mean mimea yake
Bro. Mshana Jr. Asante sana kwa ufahamisho maridhawa. Huku kwetu limeibuka wimbi la wezi wa mtindo huo wanaowaibia watu maeneo ya Benk au wenye maduka makubwa kwa kusalimiana au kuomba umwoneshe njia au mtu anauliza-uliza maswali e.g. soko liko wapi, Stendi ya mgari iko wapi au kituo cha polisi n.k. Waathirika katika mchezo huu ni wale walio wasikiliza(Intertain) watu hao kwa dhana ya kuwa Msamaria mwemaLushoto ndio home town na hata nyumbani yalikuwepo
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Bro. Mshana Jr. Asante sana kwa ufahamisho maridhawa. Huku kwetu limeibuka wimbi la wezi wa mtindo huo wanaowaibia watu maeneo ya Benk au wenye maduka makubwa kwa kusalimiana au kuomba umwoneshe njia au mtu anauliza-uliza maswali e.g. soko liko wapi, Stendi ya mgari iko wapi au kituo cha polisi n.k. Waathirika katika mchezo huu ni wale walio wasikiliza(Intertain) watu hao kwa dhana ya kuwa Msamaria mwema
Ubarikiwe sana Mkuu.
Mti huo kule Nyanda za juu kusini unatumika sana kwenye vyanzo vya maji na wanauita Mtarumbeta
Utajifuck mwenyewe....Naipataje hiyo dawa?
Nataka nijifanyie majaribio.