Scopolamine Burundanga ni nini?

Scopolamine Burundanga ni nini?

Scopolamine ni dawa inayotumika hospital kwenye ishu za upasuaji nk... Lakini hii dawa ikifanyiwa kalabo hutengeneza kitu kibaya kabisa
Ninini hicho?
Ni burundanga kwa jina la kihalifu.... Huu hutumika kuondoa utashi wa mtu hasa kwenye kufikiri na kuchukua maamuzi sahihi... Humfanya mtu atekeleze bila kikwazo kila anachoambiwa

Miaka ya nyuma tulikuwa tunashuhudia matukio mengi ya wizi wa hiari.. Yani mwenye mali kutoa mwenyewe bila kulazimishwa japo si kwa utashi wala ridhaa yake
Wezi hutumia kukupulizia usoni ama kupeana mikono.... Huwa wanakuwa wawili ama zaidi... Anayekusemesha ni mwingine na anayekupulizia ni mwingine kabisa, akijifanya mpita njia na kujikwaa karibu yako huku akihakikisha mkono wake umepita karibu na uso wako ama kama mmepeana mikono anahakikisha mkono wako unafika usoni mwako... Sometimes hutumia mbinu ya kutaka kukutoa kitu usoni
Pumzi moja yenye sumu ya Burundanga hukupumbaza na kulemaza hisia za utashi wako kwa muda... Kinachofuatia unakijua?
. Kama una fedha utakabidhi zote
. kama una ATM card utaenda kutoa fedha na kukabidhi
.Kama una gari bila kujitambua unakabidhi funguo na wakati mwingine unapewa na mkataba usaini kama umeuza gari na umelipwa cash
.Kama ni samani za nyumbani utawaongoza wezi na fuso na wapakiaji... Majirani wakikuuliza unasema unahama
. Kama una chochote cha thamani unaweza kukabidhi kwa hiari kabisa

Muda wa kumbukumbu kukurudia hutegemeana na kiwango cha dawasumu uliyopuliziwa... Zamani watu walikuwa hawajui na kudanganywa kuwa ni uchawi ndio unatumika.. Lakini huu si uchawi wala ushirikina bali ni kama dawa ya usingizi ama kaput....
Wauza madawa ya kulevya hutumia sana hii dawasumu kupata habari za wapinzani wao kutoka kwa mateka waliowakamata. CIA waliitumia wakati wa vita kuu ya pili ya dunia.. Na vitengo vingi vya kijasusi yakiwemo magenge ya kihalifu huitumia sana kufanikisha mambo yao....

Cha kushangaza ni mmea wenye kutumika kama malighafi ya kutengeneza hii dawa... Wengi tunaufahamu hasa wale tunaoishi sehemu za baridi....
Wito wangu kwako...
Epuka kupeana mkono na mtu usiyemfahamu barabarani
Epuka kusimama na kuongea na mtu usiyemjua kwenye msongamano wa watu
Makinika na yeyote anayetaka kujifanya msamaria wa kukutoa kitu usoni... Haraka mkamate mkono wake na kuurudisha usoni kwake
Haya mambo huenda na kujirudia kila wakati.. MAKINIKA! View attachment 783252
Scopolamine ni dawa inayotumika hospital kwenye ishu za upasuaji nk... Lakini hii dawa ikifanyiwa kalabo hutengeneza kitu kibaya kabisa
Ninini hicho?
Ni burundanga kwa jina la kihalifu.... Huu hutumika kuondoa utashi wa mtu hasa kwenye kufikiri na kuchukua maamuzi sahihi... Humfanya mtu atekeleze bila kikwazo kila anachoambiwa

Miaka ya nyuma tulikuwa tunashuhudia matukio mengi ya wizi wa hiari.. Yani mwenye mali kutoa mwenyewe bila kulazimishwa japo si kwa utashi wala ridhaa yake
Wezi hutumia kukupulizia usoni ama kupeana mikono.... Huwa wanakuwa wawili ama zaidi... Anayekusemesha ni mwingine na anayekupulizia ni mwingine kabisa, akijifanya mpita njia na kujikwaa karibu yako huku akihakikisha mkono wake umepita karibu na uso wako ama kama mmepeana mikono anahakikisha mkono wako unafika usoni mwako... Sometimes hutumia mbinu ya kutaka kukutoa kitu usoni
Pumzi moja yenye sumu ya Burundanga hukupumbaza na kulemaza hisia za utashi wako kwa muda... Kinachofuatia unakijua?
. Kama una fedha utakabidhi zote
. kama una ATM card utaenda kutoa fedha na kukabidhi
.Kama una gari bila kujitambua unakabidhi funguo na wakati mwingine unapewa na mkataba usaini kama umeuza gari na umelipwa cash
.Kama ni samani za nyumbani utawaongoza wezi na fuso na wapakiaji... Majirani wakikuuliza unasema unahama
. Kama una chochote cha thamani unaweza kukabidhi kwa hiari kabisa

Muda wa kumbukumbu kukurudia hutegemeana na kiwango cha dawasumu uliyopuliziwa... Zamani watu walikuwa hawajui na kudanganywa kuwa ni uchawi ndio unatumika.. Lakini huu si uchawi wala ushirikina bali ni kama dawa ya usingizi ama kaput....
Wauza madawa ya kulevya hutumia sana hii dawasumu kupata habari za wapinzani wao kutoka kwa mateka waliowakamata. CIA waliitumia wakati wa vita kuu ya pili ya dunia.. Na vitengo vingi vya kijasusi yakiwemo magenge ya kihalifu huitumia sana kufanikisha mambo yao....

Cha kushangaza ni mmea wenye kutumika kama malighafi ya kutengeneza hii dawa... Wengi tunaufahamu hasa wale tunaoishi sehemu za baridi....
Wito wangu kwako...
Epuka kupeana mkono na mtu usiyemfahamu barabarani
Epuka kusimama na kuongea na mtu usiyemjua kwenye msongamano wa watu
Makinika na yeyote anayetaka kujifanya msamaria wa kukutoa kitu usoni... Haraka mkamate mkono wake na kuurudisha usoni kwake
Haya mambo huenda na kujirudia kila wakati.. MAKINIKA! View attachment 783252
Mkuu, Nimeuona huku kwetu Umasaini. Ngoja niuoteshe. Angalia tunda lake, je linaliwa?
C:\Users\KISAKA\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.jpg


C:\Users\KISAKA\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image004.jpg
 
Usihofu, wacha mlango wazi nakuja kulala na wewe leo hii. Nahapa, sitokugusa ila sitokuwa na nguo ya ndani, just in case.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
aina hii ya uwizi ni hatari. nilikumbana na kasheshe kama mwezi mmoja ulioisha niliteremka kwenye basi ubungo stendi ya mkoa natokea mkoani kama saa mbili hivi usiku. Aisee jamaa hata simjui akanipita kwa mbele tunaelekea uelekeo mmoja akanimbia ahsante bwana nikabaki namshangaa sikumjibu kwa kuwa kwanza simjui halafu sijui aninishukuru kwa lipi nililomfanyia. kuanzia hapo macho na ubongo vikawa havina ushirikiano vikabaki vinabishana. ni hali ambayo ni ngumu kuielezea. nilitoka nje ya stendi ya ubungo ili nitafute usafiri lakini nikakuta barabara zote zimepinduka hujui kaskazini wapi, kusini wapi, mashariki wapi. badala ya kuelekea mataa ya ubungo ndio direction yangu nikashtuka naiona blue pearl mbele yangu. nikageuza kurudi ikabidi niwe mbabe sana kila aliyenisogelea kujaribu kuniuliza kitu namjibu kwa ukali anaondoka lakini baadaye nikaja kugundua watu wanaofanya hivyo wanakuwa wengi na wanakuwa wanakufutilia kuangalia iwapo dawa yao imefanya kazi vizuri wakuibie. nahisi watakuwa walimlaumu sana huyo mwenzao aliyenipulizia dawa kwani dose haikuniingia vizuri kwani bado nilikuwa naweza kusoma vibao na ndiyo vilinisaidia kuokoka kwenye hili sakata.Baada ya kugeuza direction kuanza kurudi mataa ya ubungo nikaamua kuwa sasa mimi siangali tena hizi barabara zilizopinduka nikaanza kusoma vibao na kufuata direction ya vibao mpaka nikafika ninapopandia daladala nikaelekea nyumbani. nikisema barabara zilizopinduka maana yake kwa mfano ukiwa mataa ya ubungo unataka kwenda buguruni wewe unaanza kwenda mwenge na unaona ni sahihi kabisa au unataka kwenda kimara wewe unajukuta unaanza kwenda shekilango na hauna wasiwasi kabisa. Namshukuru Mungu kwa kuniokoa na hao vibaka wa ubungo stendi lakini najiuliza vipi kwa mgeni ambaye anafika dar kwa mara ya kwanza halafu basi linaingia usiku halafu akutane na hao vibaka?
 
Mkuu Mshana J.R hamna namna ya kujikinga ?, kutokana na ushuhuda wa mjumbe mmoja hapo juu, ni hatari aisee, ongeza darasa kidogo, maana kwa misongomano ilivyo kugusana na mtu mjini ni rahisi sana, tunajilindaje zaidi?
 
Mkuu huu mmea kuna sehem fulani nimeuona nisadie jinsi ya kuumix ili niwaharibie wabaya wangu
 
Back
Top Bottom