Scopolamine Burundanga ni nini?

Scopolamine Burundanga ni nini?

Mkuu Mshana J.R hamna namna ya kujikinga ?, kutokana na ushuhuda wa mjumbe mmoja hapo juu, ni hatari aisee, ongeza darasa kidogo, maana kwa misongomano ilivyo kugusana na mtu mjini ni rahisi sana, tunajilindaje zaidi?
Kinga kuu ni kuepuka kuwa na mgusano wa karibu na watu usowafahamu kwenye mikusanyiko na misongamano ya watu wengi
Ni vema wakati wote kuchukua tahadhari na watu walio karibu yako
 
Scopolamine ni dawa inayotumika hospital kwenye ishu za upasuaji nk... Lakini hii dawa ikifanyiwa kalabo hutengeneza kitu kibaya kabisa
Ninini hicho?
Ni burundanga kwa jina la kihalifu.... Huu hutumika kuondoa utashi wa mtu hasa kwenye kufikiri na kuchukua maamuzi sahihi... Humfanya mtu atekeleze bila kikwazo kila anachoambiwa

Miaka ya nyuma tulikuwa tunashuhudia matukio mengi ya wizi wa hiari.. Yani mwenye mali kutoa mwenyewe bila kulazimishwa japo si kwa utashi wala ridhaa yake
Wezi hutumia kukupulizia usoni ama kupeana mikono.... Huwa wanakuwa wawili ama zaidi... Anayekusemesha ni mwingine na anayekupulizia ni mwingine kabisa, akijifanya mpita njia na kujikwaa karibu yako huku akihakikisha mkono wake umepita karibu na uso wako ama kama mmepeana mikono anahakikisha mkono wako unafika usoni mwako... Sometimes hutumia mbinu ya kutaka kukutoa kitu usoni
Pumzi moja yenye sumu ya Burundanga hukupumbaza na kulemaza hisia za utashi wako kwa muda... Kinachofuatia unakijua?
. Kama una fedha utakabidhi zote
. kama una ATM card utaenda kutoa fedha na kukabidhi
.Kama una gari bila kujitambua unakabidhi funguo na wakati mwingine unapewa na mkataba usaini kama umeuza gari na umelipwa cash
.Kama ni samani za nyumbani utawaongoza wezi na fuso na wapakiaji... Majirani wakikuuliza unasema unahama
. Kama una chochote cha thamani unaweza kukabidhi kwa hiari kabisa

Muda wa kumbukumbu kukurudia hutegemeana na kiwango cha dawasumu uliyopuliziwa... Zamani watu walikuwa hawajui na kudanganywa kuwa ni uchawi ndio unatumika.. Lakini huu si uchawi wala ushirikina bali ni kama dawa ya usingizi ama kaput....
Wauza madawa ya kulevya hutumia sana hii dawasumu kupata habari za wapinzani wao kutoka kwa mateka waliowakamata. CIA waliitumia wakati wa vita kuu ya pili ya dunia.. Na vitengo vingi vya kijasusi yakiwemo magenge ya kihalifu huitumia sana kufanikisha mambo yao....

Cha kushangaza ni mmea wenye kutumika kama malighafi ya kutengeneza hii dawa... Wengi tunaufahamu hasa wale tunaoishi sehemu za baridi....
Wito wangu kwako...
Epuka kupeana mkono na mtu usiyemfahamu barabarani
Epuka kusimama na kuongea na mtu usiyemjua kwenye msongamano wa watu
Makinika na yeyote anayetaka kujifanya msamaria wa kukutoa kitu usoni... Haraka mkamate mkono wake na kuurudisha usoni kwake
Haya mambo huenda na kujirudia kila wakati.. MAKINIKA! View attachment 783252
Scopolamine ni dawa inayotumika hospital kwenye ishu za upasuaji nk... Lakini hii dawa ikifanyiwa kalabo hutengeneza kitu kibaya kabisa
Ninini hicho?
Ni burundanga kwa jina la kihalifu.... Huu hutumika kuondoa utashi wa mtu hasa kwenye kufikiri na kuchukua maamuzi sahihi... Humfanya mtu atekeleze bila kikwazo kila anachoambiwa

Miaka ya nyuma tulikuwa tunashuhudia matukio mengi ya wizi wa hiari.. Yani mwenye mali kutoa mwenyewe bila kulazimishwa japo si kwa utashi wala ridhaa yake
Wezi hutumia kukupulizia usoni ama kupeana mikono.... Huwa wanakuwa wawili ama zaidi... Anayekusemesha ni mwingine na anayekupulizia ni mwingine kabisa, akijifanya mpita njia na kujikwaa karibu yako huku akihakikisha mkono wake umepita karibu na uso wako ama kama mmepeana mikono anahakikisha mkono wako unafika usoni mwako... Sometimes hutumia mbinu ya kutaka kukutoa kitu usoni
Pumzi moja yenye sumu ya Burundanga hukupumbaza na kulemaza hisia za utashi wako kwa muda... Kinachofuatia unakijua?
. Kama una fedha utakabidhi zote
. kama una ATM card utaenda kutoa fedha na kukabidhi
.Kama una gari bila kujitambua unakabidhi funguo na wakati mwingine unapewa na mkataba usaini kama umeuza gari na umelipwa cash
.Kama ni samani za nyumbani utawaongoza wezi na fuso na wapakiaji... Majirani wakikuuliza unasema unahama
. Kama una chochote cha thamani unaweza kukabidhi kwa hiari kabisa

Muda wa kumbukumbu kukurudia hutegemeana na kiwango cha dawasumu uliyopuliziwa... Zamani watu walikuwa hawajui na kudanganywa kuwa ni uchawi ndio unatumika.. Lakini huu si uchawi wala ushirikina bali ni kama dawa ya usingizi ama kaput....
Wauza madawa ya kulevya hutumia sana hii dawasumu kupata habari za wapinzani wao kutoka kwa mateka waliowakamata. CIA waliitumia wakati wa vita kuu ya pili ya dunia.. Na vitengo vingi vya kijasusi yakiwemo magenge ya kihalifu huitumia sana kufanikisha mambo yao....

Cha kushangaza ni mmea wenye kutumika kama malighafi ya kutengeneza hii dawa... Wengi tunaufahamu hasa wale tunaoishi sehemu za baridi....
Wito wangu kwako...
Epuka kupeana mkono na mtu usiyemfahamu barabarani
Epuka kusimama na kuongea na mtu usiyemjua kwenye msongamano wa watu
Makinika na yeyote anayetaka kujifanya msamaria wa kukutoa kitu usoni... Haraka mkamate mkono wake na kuurudisha usoni kwake
Haya mambo huenda na kujirudia kila wakati.. MAKINIKA! View attachment 783252
Mkuu; Hebu tumegee kidogo kuhusu matunda yake na mbegu zake.Je, zina matumizi gani?
IMG_20180524_144906.jpg
IMG_20180524_144900.jpg
IMG_20180524_144906.jpg
 
Kuna wimbo wa Celia Cruz na La Sonora unaitwa Burudanga, sijui maana yake, ilitokea kuupenda tu na hata unachoongelea hapa sikielewi.
 
Kuna wimbo wa Celia Cruz na La Sonora unaitwa Burudanga, sijui maana yake, ilitokea kuupenda tu na hata unachoongelea hapa sikielewi.
Maana yake ndio hii sasa hapa
 
Naomba msada wako kaka mshana

Unawezaje kuzikwepa rana Na mikosi iliyo kwenye family

Mama mzazi kuna mambo kafanya yanaitafuna family

Katufunga wanae tusifanimiwe Wala kupata wake

Nifanyeje kujitoa kwenye hi mikosi

Naitaji msada wako
 
Naomba msada wako kaka mshana

Unawezaje kuzikwepa rana Na mikosi iliyo kwenye family

Mama mzazi kuna mambo kafanya yanaitafuna family

Katufunga wanae tusifanimiwe Wala kupata wake

Nifanyeje kujitoa kwenye hi mikosi

Naitaji msada wako
Mmmh mama mzazi kabisa kafanya haya? Umejuaje? Hakuna namna zaidi ya yeye kutengua... Nahitaji maelezo ya kina kuweza kuweza kuona tunaanzia wapi!
 
Mmmh mama mzazi kabisa kafanya haya? Umejuaje? Hakuna namna zaidi ya yeye kutengua... Nahitaji maelezo ya kina kuweza kuweza kuona tunaanzia wapi!
Kunakipindi baba mzazi aliwai kutueleza mambo aliyotendwa Na mama .kulingana Na sisi kujazwa chuki Na mama ju ya baba yetu nilipuzia .

Baba alidai kuwa kafungwa Na mama Kwa mambo matatu

Akuna kuoa tena .akuna kupata pesa Wala kupata mwanamke mwingine

Nilipuza sababu nililishwa maneno kuwa baba Ni Mbaya

Nilipo maliza 4m 4 nikaja dar.lakini maisha yangu akunadalili za kufanikiwa

Ndipo nilipo kumbuka mambo aliyo ongea Mzee .

Nilimwambia baba .mama amekufunga ww lakini amekifunga Adi uzao wako ambao Ni ss

Baba akanijibu kuwa nashukuru umejua mwanangu

Amefunguka mengi mazito ambayo siwezi kuyandika apa
 
Kunakipindi baba mzazi aliwai kutueleza mambo aliyotendwa Na mama .kulingana Na sisi kujazwa chuki Na mama ju ya baba yetu nilipuzia .

Baba alidai kuwa kafungwa Na mama Kwa mambo matatu

Akuna kuoa tena .akuna kupata pesa Wala kupata mwanamke mwingine

Nilipuza sababu nililishwa maneno kuwa baba Ni Mbaya

Nilipo maliza 4m 4 nikaja dar.lakini maisha yangu akunadalili za kufanikiwa

Ndipo nilipo kumbuka mambo aliyo ongea Mzee .

Nilimwambia baba .mama amekufunga ww lakini amekifunga Adi uzao wako ambao Ni ss

Baba akanijibu kuwa nashukuru umejua mwanangu

Amefunguka mengi mazito ambayo siwezi kuyandika apa
Njoo PM kama hutajali
 
Kunakipindi baba mzazi aliwai kutueleza mambo aliyotendwa Na mama .kulingana Na sisi kujazwa chuki Na mama ju ya baba yetu nilipuzia .

Baba alidai kuwa kafungwa Na mama Kwa mambo matatu

Akuna kuoa tena .akuna kupata pesa Wala kupata mwanamke mwingine

Nilipuza sababu nililishwa maneno kuwa baba Ni Mbaya

Nilipo maliza 4m 4 nikaja dar.lakini maisha yangu akunadalili za kufanikiwa

Ndipo nilipo kumbuka mambo aliyo ongea Mzee .

Nilimwambia baba .mama amekufunga ww lakini amekifunga Adi uzao wako ambao Ni ss

Baba akanijibu kuwa nashukuru umejua mwanangu

Amefunguka mengi mazito ambayo siwezi kuyandika apa
Aiseee...kama ushuhuda huu una kweli " basi pole sana..... watu wengine bwana
 
Back
Top Bottom