spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Alicia kaniniHabari wanajukwaa mnaendeleaje na kujenga taifa?
Kuna uzi mmoja nimesoma asubuhi hii nimecheka mno kuhusu search histories za watu kwenye simu zao. Kuna histories za mambo ya ajabu ambayo mtu mwingine akiona anashangaa kumbe fulani huwa hivi.
Wengi huwa wanasearch vitu mbalimbali kama mpira, masomo, mapishi, elimu, magonjwa nk.
Haya tuje na challenge bila kucheat screenshot search history yako tujuane ni watu wa aina gani. Mimi yangu hii hapo
Bila ku google wewe unaweza kuelezea maana ya fremu kwa usahihi ndugu yangu?Hahah mkuu unataka mpaka gugo wakwambie maana ya frem?
Mkuu google history yangu imejaa mambo ya mpira, betting, movies download na nyimbo tuu, sijawahi search X kabisa.Ninachowapendea Google ukisearch xvideos then ukatoka hapo kwenye google search huwezi kuiona iyo xvideos kwenye list, ni mpaka uende kwenye search history huko ndio utazikuta so mleta mada hapo unatupanga fungua google history.
Hahahaaa bado wanazifungua kwa kutumia VPN. Halafu siku hizi wanaangalizia telegramView attachment 3104101
View attachment 3104108
Ni vile serikali ilifungia zile site fulani fulani kama sivyo hakuna angeweka screenshot hapa bila ku-delete baadhi ya searches.
True kila weekend nazamisha hela ya cadet mbili! Kwa mwezi ni sawa na cadet 8!Wewe ni afisa ubashiri mwenzangu. Lakini pia unaweza kuwa mwajiriwa wa serikali
Misoprostol arbotion😁😁😁😁😁😁
Huwa siitumii kabisa.. mkuuUmeshaclear mkuu au huwa hutumii kabisa??
Turudie naomba darasa la bettingMkuu google history yangu imejaa mambo ya mpira, betting, movies download na nyimbo tuu, sijawahi search X kabisa.
Naomba Mungu niwe na tabia njema kama yako. AMENMkuu google history yangu imejaa mambo ya mpira, betting, movies download na nyimbo tuu, sijawahi search X kabisa.
Mama wa imani