Screenshot search history yako tujue ni mtu wa aina gani

Screenshot search history yako tujue ni mtu wa aina gani

Looks like ubuyu una faida lwa mwanamke, ngoja nikajisomee na mimi pia. Ndio uzuri wa JF huwezi kuondoka bure hata ukianzisha mada yoyote.
Sana mpenz....pitia somo hilo
 
Hahahahaaaaah imeniumbua😅

Kuna siku nikataka kujua hivi dstv wana mambo yasiyofaa watoto? Nikakuta kumbe wapo vizuri sana. Kila kipindi chao utakuta ni Family au PG13 au PG16 ila hautakaa uone eti PG18🤯. Nishajitetea sasa naposti.
Screenshot_20240926-120721_Chrome.jpg


Zaidi zaidi kumbe bhana mi bonge la researcher google haidanganyi🤝👏👏
 
Back
Top Bottom