Sead Ramovic kutua Yanga akichukua nafasi ya Gamondi

Sead Ramovic kutua Yanga akichukua nafasi ya Gamondi

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Sead Ramovic ni kocha wa Kijerumani ambaye anatajwa kwa nafasi kubwa kama mrithi wa Miguel Gamondi aliyefurushwa mapema leo.

Ramovic alikuwa anakinoa kikosi cha TS Galaxy kinachoshiriki Ligi Kuu ya Betway pale Afrika Kusini kuanzia mwaka 2021 -2024.

TS Galaxy inashika mkia katika msimamo wa ligi kuu ya South Afrika wakiwa na alama 2 baada ya michezo 6.

Wana Yanga mnategemea nini kutoka kwa kocha Ramovic?
IMG_4273.jpeg
 
Chini ya hersi nilijua yanga tumeshaachana na kuendesha club kiswahili Swahili nikajua tumepata mtu makini, aisee mswahili haachi asili
Tusilaumu mtu kabla ya kutafuta undani wa hili sakata.
 
Chini ya hersi nilijua yanga tumeshaachana na kuendesha club kiswahili Swahili nikajua tumepata mtu makini, aisee mswahili haachi asili
Pia kumbuka Nabi, na Gamondi hatukuweza kuwajua hapo kabla ila tumewajua hao makocha kupitia huyo huyo Hersi na tumeona timu ikifanikiwa kupitia hao makocha. Tuupe muda useme kama ni maamuzi sahihi au ya hovyo. Tuwe wavumilivu na hukumu ya muda.
 
Pia kumbuka Nabi, na Gamondi hatukuweza kuwajua hapo kabla ila tumewajua hao makocha kupitia huyo huyo Hersi na tumeona timu ikifanikiwa kupitia hao makocha. Tuupe muda useme kama ni maamuzi sahihi au ya hovyo. Tuwe wavumilivu na hukumu ya muda.
Umepotea jamvini

Huonekani ka miguu ya nyoka
 
Sead Ramovic ni kocha wa Kijerumani ambaye anatajwa kwa nafasi kubwa kama mrithi wa Miguel Gamondi aliyefurushwa mapema leo.

Ramovic alikuwa anakinoa kikosi cha TS Galaxy kinachoshiriki Ligi Kuu ya Betway pale Afrika Kusini kuanzia mwaka 2021 -2024.

TS Galaxy inashika mkia katika msimamo wa ligi kuu ya South Afrika wakiwa na alama 2 baada ya michezo 6.

Wana Yanga mnategemea nini kutoka kwa kocha Ramovic?View attachment 3152879
Anakuja kuwashusha daraja
 
Chini ya hersi nilijua yanga tumeshaachana na kuendesha club kiswahili Swahili nikajua tumepata mtu makini, aisee mswahili haachi asili
Wakati mwingine tuacheni uongozi ufanye kazi yake kuna jopo la watu wengi tu wameona ndio muda sahihi huu! Mbinu za Gamond zilishakua exposed kuondoka ilikua lazima.
Kinachofwata ni kupata kocha wa maana zaidi hio kamari ikitiki mbona tutasonga mbele! Mambo mengine tuwe na subira! Tubakishe maneno ya akiba mkuu
 
Huyu mzungu nimeshawahi kumuona sinza akiuza viwanja. Ni dalali wa muda mrefu pale sinza kwa remmy.
 
Back
Top Bottom