Kwa tabu sanaMiguu ya nyoka haionekani kabisa, ila mimi nimeonekana.
🤣🤣🤣Club inaendeshwa kama kikundi cha ngoma
Ndio huyo huyo mkuu mpira ni hobi tu kazi yake ni uigizaji vyura msimu huu wanalo.Huyu jamaa ni yeye au namfananisha?
Mbona kama nilimuona kwenye movie ya Yesu?
Umenena vyema kabisaaa.Pia kumbuka Nabi, na Gamondi hatukuweza kuwajua hapo kabla ila tumewajua hao makocha kupitia huyo huyo Hersi na tumeona timu ikifanikiwa kupitia hao makocha. Tuupe muda useme kama ni maamuzi sahihi au ya hovyo. Tuwe wavumilivu na hukumu ya muda.