StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Kapange nyumba nzima. Mbona simpo Tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sisi tunaoishi kwenye chumba kimoja sasa tufanyeje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapange nyumba nzima. Mbona simpo Tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sisi tunaoishi kwenye chumba kimoja sasa tufanyeje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Iyo inakuwa haina sifa ya kuitwa sebule tena. Ni pichi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiyo yenyewe ulioweka ni uchochoro sio sebule
sebule watoto wanaweka magoli nakucheza boli kama uwanja wachamazi
Daah 😂Itupe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hyo guest yako umejenga mitaaa gani mwali wa mitaa ya aggrey na ndanda?Hiyo siyo sebule. Hiyo ni TV room ya family pekee.
Kuweka TV sebuleni ambapo wanakuja na wageni wasio familia ni ujinga.
TV ya family inakuwa na chumba cha peke yake, TV ya master bedroom ni kwa ajili ya mwenye nyumba tu.
Usiweke TV bedroom za watoto wala usiwawekee TV ya kutazama peke yao.
TV nyingine inaweza kuwekwa chumba cha wageni na remote na kuiwasha kwake ni akiwepo mgeni tu kwenye hicho chumba. Watoto hawaruhusiwi kabisa kuingia chumba cha wageni.
Upo hapo ulipo?
Ukitupa vyote hivyo akili ya kupata Nyumba nzima itakujia kwa kasi ya mwewe. Hujasikia kwamba ugumu wa maisha ni kipimo cha akili?. Ongeza ugumu,ili ufikiri nje ya box[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daah [emoji23]
Hapo unamaanisha nitupe na kitanda, jiko + majaba yangu ya maji ujue. Nitaishije
Hajamaanisha kwamba lazima viwe kama hivo kwenye picha, bali tu sebuleni kuwe na tv plus makochi....haijalishi gharama zakeMkuu sio wote waliojaaliwa uwezo wa kuwa na vitu hivyo...
Ila siku moja yes...
Angalau mnakua hampo mbali na inavotakiwasasa sisi tunaokalia mazulia vipi
Quadratic equations are clearly solved by using simultaneous and substitution methods (completely balanced)[emoji847]Hata mimi nimeweka TV na makochi kama hayohayo
okayAngalau mnakua hampo mbali na inavotakiwa
Kilaza umeshafika..maustadh walishakuharibu akiliHiyo siyo sebule. Hiyo ni TV room ya family pekee.
Kuweka TV sebuleni ambapo wanakuja na wageni wasio familia ni ujinga.
TV ya family inakuwa na chumba cha peke yake, TV ya master bedroom ni kwa ajili ya mwenye nyumba tu.
Usiweke TV bedroom za watoto wala usiwawekee TV ya kutazama peke yao.
TV nyingine inaweza kuwekwa chumba cha wageni na remote na kuiwasha kwake ni akiwepo mgeni tu kwenye hicho chumba. Watoto hawaruhusiwi kabisa kuingia chumba cha wageni.
Upo hapo ulipo?
Usisahau graphical methodQuadratic equations are clearly solved by using simultaneous and substitution methods (completely balanced)[emoji847]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ninyi si mnajenga heshima bar kila siku kwa kejeli za "laki si pesa"?sisi tunaoishi kwenye chumba kimoja sasa tufanyeje?
Kitu ambacho nimekibaini Kwa wazungu wao wanatutengenezea Vitu halafu wao wala hawajiangaishi navyo.Habazi za jumapili ndugu zangu, twende moja kwa moja kwenye mada, sijaandika mada hii kumkejeli mtu.
Sebuleni panapaswa kuwa kama hiyo picha hapo chini, sebule haipaswi kuwa na friji, jiko la gesi, ndoo, kabati la vyombo na vingine kubao hivyo vyote ni uchafu vikikaa hapo sebuleni.
Note: Hiyo picha hapo siyo kwangu ndugu zangu, nimeitoa tu mahali na mimi nina ndoto za kuishi sehemu kama hiyo.
View attachment 2844782
Hahahhaah na mende wanaopitapita.Mbona hainogi hapo? Ilitakiwa kuwe na malapa machafu kdg, ndoo za maji, vitambaa vya kufunika sofa, jiko la gesi, friji bovu, sabufa inayopiga upande mmoja mwingine mbovu, mende wakukatiza katiza, walau panya wawili wakuamsha amsha. hapo sebule inanoga kidogo!
✔️Mkuu sio wote waliojaaliwa uwezo wa kuwa na vitu hivyo...
Ila siku moja yes...