Sebuleni kunakaa TV na makochi pekee hivyo vingine vyote ni uchafu

Sebuleni kunakaa TV na makochi pekee hivyo vingine vyote ni uchafu

Habazi za jumapili ndugu zangu, twende moja kwa moja kwenye mada, sijaandika mada hii kumkejeli mtu.

Sebuleni panapaswa kuwa kama hiyo picha hapo chini, sebule haipaswi kuwa na friji, jiko la gesi, ndoo, kabati la vyombo na vingine kubao hivyo vyote ni uchafu vikikaa hapo sebuleni.

Note: Hiyo picha hapo siyo kwangu ndugu zangu, nimeitoa tu mahali na mimi nina ndoto za kuishi sehemu kama hiyo.


View attachment 2844782
Lete picha ya sebuleni kwako tuone palivyo pachafu.
 
Hiyo siyo sebule. Hiyo ni TV room ya family pekee.

Kuweka TV sebuleni ambapo wanakuja na wageni wasio familia ni ujinga.

TV ya family inakuwa na chumba cha peke yake, TV ya master bedroom ni kwa ajili ya mwenye nyumba tu.

Usiweke TV bedroom za watoto wala usiwawekee TV ya kutazama peke yao.

TV nyingine inaweza kuwekwa chumba cha wageni na remote na kuiwasha kwake ni akiwepo mgeni tu kwenye hicho chumba. Watoto hawaruhusiwi kabisa kuingia chumba cha wageni.

Upo hapo ulipo?
Nipo
 
Back
Top Bottom