Sebuleni kunakaa TV na makochi pekee hivyo vingine vyote ni uchafu

Sebuleni kunakaa TV na makochi pekee hivyo vingine vyote ni uchafu

Usitupangie wengine tukilala tunaona utajiri wetu wote😀😀😀😃
 
Habazi za jumapili ndugu zangu, twende moja kwa moja kwenye mada, sijaandika mada hii kumkejeli mtu.

Sebuleni panapaswa kuwa kama hiyo picha hapo chini, sebule haipaswi kuwa na friji, jiko la gesi, ndoo, kabati la vyombo na vingine kubao hivyo vyote ni uchafu vikikaa hapo sebuleni.

Note: Hiyo picha hapo siyo kwangu ndugu zangu, nimeitoa tu mahali na mimi nina ndoto za kuishi sehemu kama hiyo.


View attachment 2844782
Hata hii picha uliyotupia bado ina makorokoro mengi na haina nafasi. Cha muhimu kila mtu aishi kulingana na kipato chake. Kuna walioiga kupanga nyumba nzima wameishia kuwa watumwa wa wenye nyumba.
 
Habazi za jumapili ndugu zangu, twende moja kwa moja kwenye mada, sijaandika mada hii kumkejeli mtu.

Sebuleni panapaswa kuwa kama hiyo picha hapo chini, sebule haipaswi kuwa na friji, jiko la gesi, ndoo, kabati la vyombo na vingine kubao hivyo vyote ni uchafu vikikaa hapo sebuleni.

Note: Hiyo picha hapo siyo kwangu ndugu zangu, nimeitoa tu mahali na mimi nina ndoto za kuishi sehemu kama hiyo.


View attachment 2844782
Hata hapo kwenye picha mbona kumejaa vitu vingi. Kwa mfano mbali na makochi na Tv ninaona hivi vitu pia kwenye hiyo picha;
1. Maua
2. Makabati
3. Mavyungu ya urembo
4. Mavioo
5. Friji
6. Majagi ya umeme
7. Mataa taa ya urembo
8. Mito ya urembo
9. Mazuria
10. Stendi/meza ya kioo.
 
Pia yawe rafiki kwa mgegedo kuna muda watoto hua likizo kwabibi na bint wa kazi

Wakezetu wanaweza kunjiwa hapohapo na asante ikatolewa tena tokamoyoni sio ya

Kubumba
 
Sawa mkuu ila hayo maisha Kwa sie tunaojitafuta ni ngumu kidgo
Apa na comment huku nimekaa ghetto kwangu juu ya java la maji ya kunywa
 
Habazi za jumapili ndugu zangu, twende moja kwa moja kwenye mada, sijaandika mada hii kumkejeli mtu.

Sebuleni panapaswa kuwa kama hiyo picha hapo chini, sebule haipaswi kuwa na friji, jiko la gesi, ndoo, kabati la vyombo na vingine kubao hivyo vyote ni uchafu vikikaa hapo sebuleni.

Note: Hiyo picha hapo siyo kwangu ndugu zangu, nimeitoa tu mahali na mimi nina ndoto za kuishi sehemu kama hiyo.


View attachment 2844782
Mbona hapo sioni kabati la vyombo, friji, redio home sieta wala visturi?
Sebule gani hiyo?
 
Wengine wanatia aibu, vyumba vyao ni kama karakana, wamejaza vitu mpaka inachukiza
 
pambana yamkini utatimiza ndoto yako mkuu
 
Habazi za jumapili ndugu zangu, twende moja kwa moja kwenye mada, sijaandika mada hii kumkejeli mtu.

Sebuleni panapaswa kuwa kama hiyo picha hapo chini, sebule haipaswi kuwa na friji, jiko la gesi, ndoo, kabati la vyombo na vingine kubao hivyo vyote ni uchafu vikikaa hapo sebuleni.

Note: Hiyo picha hapo siyo kwangu ndugu zangu, nimeitoa tu mahali na mimi nina ndoto za kuishi sehemu kama hiyo.


View attachment 2844782
Duniani tunapita tu, sasa kuna haja Gani hata ya kuwa na hiyo sebule njiani?
 
Kama huna sebule kama hiyo na unatamani kuwa nayo kuna uwezekano hautokaa uwe nayo kama hiyo.

Mpaka sasa hujui kuwa kuna tofauti ya kipato, mtu aliyepanga chumba na sebule unataka friji na jiko aviweke nyumbani kwenu?

Sasa ushindwe kung'amua jambo jepesi kama hili uje uweze kupambana na changamoto ngumu za mtaani kupata kipato.
Basi hakuna namna zaidi ya kuikataa CCM na vyama vyote vya upinzani, Tanzania inahitaji vijana wa 90s kuikomboa kutokaa kwa mkoloni mweusi
 
Usikariri.

Wengine hawana makocha wana mazulia na mito.
Wengine wana kila kitu sehemu moja.

Muhimu kwenye sebule ni mpangilio tuu.
 
Habazi za jumapili ndugu zangu, twende moja kwa moja kwenye mada, sijaandika mada hii kumkejeli mtu.

Sebuleni panapaswa kuwa kama hiyo picha hapo chini, sebule haipaswi kuwa na friji, jiko la gesi, ndoo, kabati la vyombo na vingine kubao hivyo vyote ni uchafu vikikaa hapo sebuleni.

Note: Hiyo picha hapo siyo kwangu ndugu zangu, nimeitoa tu mahali na mimi nina ndoto za kuishi sehemu kama hiyo.


View attachment 2844782
baa191ae2e3ab5ea8f3dabd6ed974bac.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom