Secretariat ya CCM ni kubwa kimamlaka kuliko kiongozi yeyote kasoro Rais tu. Acheni kelele Makonda alikuwa sahihi

Secretariat ya CCM ni kubwa kimamlaka kuliko kiongozi yeyote kasoro Rais tu. Acheni kelele Makonda alikuwa sahihi

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Makonda hajafanya kosa lolote kumpa maagizo Waziri Mkuu kutatua changamoto za ardhi, Serikali ipo kwa niaba ya CCM na hao mawaziri wote ni wanachama wa CCM na boss wao ni hio secretariat ya CCM.

Mazombi mnapanic kama vibwengo acheni hizo. Tanzania mmezidi kuwa vichwa vya panzi mnasahau mamlaka ya kiti enzi za Nape akiwa mwenezi.

Acheni wivu Makonda bado yupo sana.

Ni hayo tu tukutane kwenye comments

Wadiz
 
@pail makonda a.k a BASHITE aache kutumia wavuta unga kumsafisha na kumtetea. Idiot
 
CCM ni kubwa kama bahari sio kama Chadema
 
Back
Top Bottom