FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Nahisi kuna mkono wa kama si Musk basi Bakhresa.Mamilet kajipiga pin mwenyewe
Hivi vitu huwa vinarundikana vinasubiri trigger tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi kuna mkono wa kama si Musk basi Bakhresa.Mamilet kajipiga pin mwenyewe
NepiHii code mbona ngumu hivi!
Bashe kajishikilia vizuri ili asianguke na BBTKwanini mtoto wa millet sioni jina
Mnazungumzia Mtama km Mtama au kilimo cha Mtama? Mboni mnatumix wakulungwaNahisi kuna mkono wa kama si Musk basi Bakhresa.
Hivi vitu huwa vinarundikana vinasubiri trigger tu.
Millet.Mnazungumzia Mtama km Mtama au kilimo cha Mtama? Mboni mnatumix wakulungwa
Bashe kajishikilia vizuri ili asianguke na BBT
Ndumbaro
Jeniwista Muhagama
Ummy Mwalimu
Hawa itakua Mkeka wao unachemka
Hapo kwenye maminero unazungumzia Naibu au?
Kilimo ipo tena inafanya vizuri sana.View attachment 3053266
Hapo BBT 👆😂 ilihamishiwa wizara ya kilimo kwenda kwenye mifugo na uvuvu.
Pesa za BBT zilitafunwa kitambo sana
Mchinga!Membe alikua mbunge wa wapi
BBT ipo kilimo?Kilimo ipo tena inafanya vizuri sana.
Huo ni Mtama na Mtama =Nupe NuuyeMillet.
Bakhresa aligombana na Nape kuhusu nini?Musk ni nani?Nahisi kuna mkono wa kama si Musk basi Bakhresa.
Hivi vitu huwa vinarundikana vinasubiri trigger tu.
Bakhresa kahangaishwa sana na Nape vibali vya minara nchi nzima na satellite> Nape alishaonywa awache huo ujinga, hakuelewa.Bakhresa aligombana na Nape kuhusu nini?Musk ni nani?
Huyu dada haelewi kama pesa za BBT zilichotwa mapema Sana,BBT ipo kilimo?
Duh!... Kaharibu nini tena?Siku Ndumbaro akipigwa chini na Naibu wake itakuwa nafuu Sana
IPo sana tu. Unafikiri scheme zote za umwahiliaji na magari ya kuchimba visima kama si BBT ni nini?BBT ipo kilimo?