Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
Sababu ya katiba mbovu ya mkoloniRRRR kazini.
Tunaziishi R 4 za mama Samia
Niliwahi kuandika zamani; Rais wa Tanzania ana nguvu ndani ya Tanzania kuliko Rais wa Marekani ndani ya Marekani.
Mkoloni unafikiri kwanini alikoloni?Sababu ya katiba mbovu ya mkoloni
NaamKwa kweli wewe jamaa hapana. Ni zaidi ya wiki ukituuma sikio, lakini hatukusikia kama walio na masikio wasisikie na macho wasione. Wewe ni moja wa wale vichwa viwili siyo? Nadhani saa hizi unacheeka sababu ulikuwa unawachora tu watoto wa mjini waliokulia mikoani baba zao wakahamishiwa kikazi mjini na mwalimu nyerere
Pale wizara ya afya kuna kikundi cha wezi kimeshindikana kipo tangu enzi katibu mkuu Blandina Nyoni,Mwanadada wa mapingili shingoni Out
Jeni wa kuhusu utaratibu wa muhaga maaaa Out
Ndumba Aroooo out
Wa ma mineral out
February mauzi out
Kwanini mtoto wa millet sioni jina
Tusubiri
Britanicca
OkMwanadada wa mapingili shingoni Out
Jeni wa kuhusu utaratibu wa muhaga maaaa Out
Ndumba Aroooo out
Wa ma mineral out
February mauzi out
Kwanini mtoto wa millet sioni jina
Tusubiri
Britanicca
BumbuliMembe alikua mbunge wa wapi
bri heshima yakoNaam