Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Wewe endelea kusubiri hao wajomba zako wa nje waje wakusaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe endelea kusubiri hao wajomba zako wa nje waje wakusaidie.
Wacha kelele, kama unataka ushahidi upo wa kila aina, hizo chache zilizochomwa haimaanishi ndio zimechomwa zote.Wasiokuwa na akili ni wale wanaodai kukamata kura feki na kuzichoma moto badala ya kuzihifadhi kama exhibit. Kura watengeze wao wazipige watoe kilio feki halafu kabla ya watu wenye weledi hawajaziona wanazichoma moto. Watanzania hatudanganyiki
Kama wao hawakukubali wanajua wenyewe sababu zao, leo wote wako upande wa wanyonyaji.Hakuna jipya.
Uozo umekuwepo siku zote.
Tatizo lenu mko wepesi wa kusahau.
Na mpaka kufika 2025, haya ya 2020 mtakuwa mshayasahau na mtashiriki tena uchaguzi chini ya mazingira haya haya ya leo, jana, juzi, na majuzi.
2015 Lowassa hakukubaliana na matokeo. Unabisha?
2010 Slaa hakukubaliana na matokeo. Unabisha?
Huko Marekani watu wana hofu juu ya ucjaguzi mkuu wa mwaka huu.
Watu wameanxa kubarrucade boqshara zao utqfikiri kuna tufani ya uppepo mkali!
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.
View attachment 1618006
NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.
Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.
Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Wewe ikifika 2025 utajitoa tena fahamu. Utasahau yote haya ya 2020.Kama wao hawakukubali wanajua wenyewe sababu zao, leo wote wako upande wa wanyonyaji.
Lissu is a completely different story, taka usitake.
Hiyo case study yako pelekea wajukuu zako.
Huyo Lowassa kama hakukubali matokeo alichukua hatua gani?Wewe ikifika 2025 utajitoa tena fahamu. Utasahau yote haya ya 2020.
Mabeberu wameanzaWe are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.
View attachment 1618006
NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.
Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.
Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Lissu kafanya nini mpaka sasa?Huyo Lowassa kama hakukubali matokeo alichukua hatua gani?
Again Lissu is a completely different story.
Hawa wanasubiriaga vurugu zikue ndo waje kwa malengo ya kupenyeza mambo yao.We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.
View attachment 1618006
NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.
Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.
Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
na wakati simba na twiga wamehamishiwa kwa kiasi kikubwa kule chatoMabeberu wakisusia utalii Tanzania itakuaje?
Hata ass kissers wa Mugabe nao walikuwa wakisema hivi hivi nakumbuka.It won’t make an iota of difference!
Wewe una tatizo la mahaba yaliyopitiliza yamekutia upofu wa akili, nakuona kama katuni.Uchaguzi 2020 - Maandamano ya tarehe 2 Nov: Je, Ni Demokrasia au waliokosa wanapigania Maslahi Binafsi?
Tarehe 31 Oktoba tumeshuhudia kuitishwa kikao cha waliokosa nafasi mbalimbali za ubunge na urais ili kutangaza kufanya maandamano siku ya tarehe 2/11/2020. Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi mwaka 1995, vyama vya upinzani havijawahi kukubaliana na matokeo katika kila sehemu...www.jamiiforums.com
Ndo mmeo au bwana yako,kesho anapigwa chini na mpumbavu mwenzake TrumpWe are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.
View attachment 1618006
NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.
Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.
Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Imechafuka wapi?You must be kidding!.
Image ya nchi inazidi kuchafuka halafu wewe unasemaje?!
Halafu kesho muende kuwaomba misaada.
Kwanini wamewakamata kina Mbowe na wenzao?Lissu kafanya nini mpaka sasa?
Tafuta wa level yako u-argue nae please, utakuwa jiwe.Imechafuka wapi?