Uchaguzi 2020 Secretary Pompeo azungumzia kinachoendelea Tanzania kuhusu mambo ya Uchaguzi

Wasiokuwa na akili ni wale wanaodai kukamata kura feki na kuzichoma moto badala ya kuzihifadhi kama exhibit. Kura watengeze wao wazipige watoe kilio feki halafu kabla ya watu wenye weledi hawajaziona wanazichoma moto. Watanzania hatudanganyiki
Wacha kelele, kama unataka ushahidi upo wa kila aina, hizo chache zilizochomwa haimaanishi ndio zimechomwa zote.

Mjifunze kufikiria kwa kutumia ubongo.
 
Kama wao hawakukubali wanajua wenyewe sababu zao, leo wote wako upande wa wanyonyaji.

Lissu is a completely different story, taka usitake.

Hiyo case study yako pelekea wajukuu zako.
 
Huko Marekani watu wana hofu juu ya ucjaguzi mkuu wa mwaka huu.
Watu wameanxa kubarrucade boqshara zao utqfikiri kuna tufani ya uppepo mkali!

 
maccm hayana akili kabisa sijui hayajifunzi kwa nchi jirani zinavyohangaika kuilinda amani kwa gharama kubwa kwa kishindwa kuiruhusu demokrasia
 
Kama wao hawakukubali wanajua wenyewe sababu zao, leo wote wako upande wa wanyonyaji.

Lissu is a completely different story, taka usitake.

Hiyo case study yako pelekea wajukuu zako.
Wewe ikifika 2025 utajitoa tena fahamu. Utasahau yote haya ya 2020.
 
Wewe ikifika 2025 utajitoa tena fahamu. Utasahau yote haya ya 2020.
Huyo Lowassa kama hakukubali matokeo alichukua hatua gani?

Again Lissu is a completely different story.
 
Mabeberu wameanza
 
Hawa wanasubiriaga vurugu zikue ndo waje kwa malengo ya kupenyeza mambo yao.
 
Kuna mtu ana jeuri sana. Ila ni mwoga wa kusafiri balaa

USA "taking" another Hugo Chavez soon I think
 
Wewe una tatizo la mahaba yaliyopitiliza yamekutia upofu wa akili, nakuona kama katuni.

Unaokoteza vi article vya kizungu unadhani utamdanganya nani?!

Kumbe kule kupiga mawakala, kuteka, na makura feki nchi nzima sio sababu ya US kuwaambia mchukue hatua kwa ujinga mliofanya kwenye uchaguzi!

Wewe ni super genious wa lumumba.
 
Ndo mmeo au bwana yako,kesho anapigwa chini na mpumbavu mwenzake Trump
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…