Uchaguzi 2020 Secretary Pompeo azungumzia kinachoendelea Tanzania kuhusu mambo ya Uchaguzi

Umeandika kipugwani kabisa...kuna Dua gani hapo?
Then mtu akitukana ni kosa kisheria, mlimshitaki?

Wote mmekuwa kama mwenyekiti wenu mwendawazimu
 
Uchaguzi Mkuu Tanzania URUDIWE
 
Hivi kwenye yale mambo yao ya jinsia moja pompeo ni ke au me?
 
Na bado mtatoa matamko sana tu.
 
Ahahaha pole sana mshikaji jamii forum ni tabibu kwa walioumizwa. Toa povu lote liishe humu. Maana ulivyomwepesi barabarani Huezi enda
 
Hana akili,hivi anamsikia huyo rais wake anasemaje kuhusu huo uchaguzi wao?
 
Mbele ya ileee pesa ya ruzuku ya kampeni, wataachaje kujisahaulisha, kwa mfano?
 
Tatu huyu beberu akicharuka, anachukua hatua halafu ana waambia wengine wote usipotuunga mkono basi na wewe tunakushughulikia. Haijalishi kama ana kosa au la-hayo yameikuta Iran na Zimbabwe kwa mfano.
Kila mbabe ana mbabe wake.
 
CCM imeteuliwa na wakurugenziccm NECCCM Tumeccm na Polisiccm kwa njia haramu za kishetani hawakushinda kwenye sanduku la kura
Sera Zilizo wazi, kujirekebisha, kuwajali watu wa kada la chini, elimu bila malipo toka darasa la kwanza mpaka kidato cha nne , hospitali kubwa zaidi ya 300 nchi nzima.
ufufuaji wa safari za treni (zilizo nafuu) upigaji vita rushwa, uondoshwaji wa urasimu serikalini ni baadhi ya vitu vioovyorejesha imani ya wapiga kura (nikiwemo mimi).
Kejeli za wapinzani kuwa Madaraja, Hospitali , umeme vitapiga kura vimechochea zaidi wapiga kura wazalendo.
Mwisho lakini si kwa umuhimu ni kauli chokonozi kuwa mkishindwa uchaguzi mtaleta dhahma inewaogopesha zaidi wapiga kura hawa:

NB: Msisahau matamko na kauli zenu mzitoazo kwa lugha ya kigeni huku wapiga kura wengi hawafahamu lugha hiyo huku mkizitaja zaidi taasisi zenu kama Ubalozi, umoja wa ulaya na kuzisahau kabisa balozi za waafrika wenzenu ama jumuiya za waafrika wenzenu
 
Acha. Ubwege ww marekani ni Nani mbona sisi hatuzungumzii uchaguzi wao
 
Wasituzingue huko kwao Trump anafanya rafu za kufa mtu kwenye uchaguzi wao haongei lolote
 
Kwan Kwa Kim hakuna ukimwi na Kama upo mbona wanaishi?
Wewe unafikri ARVs ndo kigezo Cha Wao kutufanya lolote watakalo?
ARV ni mfano tu katika mengi.Hawa viumbe dawa yao kafa nayo Gadafi(kuunganisha Afrika kuwa nchi moja).Vinginevyo sioni kama tunawamudu.Kitendo cha kuwaita Wahisani mara Mabeberu ni ushahidi kwamba walitupa Uhuru wa bendera tu huku wakiwa wamekusudia kutuletea ukoloni mpya ambao binafsi naamini ni mbaya zaidi kuliko ule wa mijeledi.Labda waamue kupotezea tu.Wakikaza lazima tutafutane!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…