Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Mjomba pasco siku hizi makala zako azina mvuto ukisoma page mbili tu unachoka uhitaji kuendelea tatizo nini hivi mfano ukikosa wachangiaji ukikosa na wasomaji itajisikiaje kama kitu unakipenda wewe kipende wewe usitushawishi na sisi tukipende ccm wanayumba angalia zanzibar huko wanachotaka kufanya hivi haki kweli
 
Ku
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy
  11. Duh...!., Mkuu Faiza kwanza asante kutuletea hii taarifa, pili kwa ruhusa yako nitaomba kutumia hoja za bandiko lako hili kupandisha bandiko la kutoa angalizo kwa serikali yetu kuhusu haya. Na tatu hiyo conclusion ya Tanzanite TV kuhusu mabeberu hawa Wamarekani wanataka nini Tanzania, hata akina sisi hayo tuliishayasema sana humu
  12. Ila baada ya wewe kusikiliza hiyo taarifa ya Tanzanite TV, umefanya jambo la maana sana kuitafuta source yao na kutuwekea maana hivi vyuma vya Magufuli vilivyokaza kwa baadhi yetu, hata bundle ni issue, hivyo angalau umetusaidia wengi kujua, maana siku hizi hapa Bongo baada ya kushamiri kwa magazeti ya makorokocho, sasa kumeibuka TV nyingi za mitandaoni ambazo ni TV za makorokocho, mimi niliihesabu hata Tanzanite TV pia ni TV ya makorokocho kutokana na yule kichaa mmiliki wake, ila kitendo cha kuleta mada serious kama hii na kuichambua kwa makini vile kwa kuonyesha mchele na pumba, sasa naichukulia hiyo TV ni serious I can watch.
  13. Kwangu the most intresting thing kuhusu hii article the primary source wa article hii, mtu aliyehojiwa akaeleza hayo yote. Japo wenyewe hawajamtaja kwa jina, zaidi ya kumuelezea tuu kuwa ni" Author’s interview with Dar es Salaam-based scholar"
  14. kwa sisi wenye jicho la tatu, kupitia kitu kinachoitwa "graphology" ni sayansi ya maandishi, ukisoma andiko fulani ambalo mwandishi ni anonymous, kupitia andishi hilo, unaweza kumjua mwandishi ni nani.
  15. hivyo kupitia makala hii, huyo Dar es Salaam based scholar aliyehojiwa hivyo hoja kama Mfumo Kristu, na kuidogosha Bakwata, then wanye ufahamu wa hoja tayari tumeisha wajua watu wa aina hii.
  16. baada ya kumchezea sana Jakaya, wakataka kuendelea kumchezea Yohana, walipomgundua kuwa Yohana ni noma, anaweza kuwa fykelea mbali, sasa ndio hawa wenye hoja hizi za urongo wa kidini kwa kufanya mahojiano na vyombo vya mabeberu na kutoa habari za kuitisha, kuifedhehesha na kuibagaza serikali yetu kwa media za kibeberu.
  17. Kwenye bandiko lako mimi nime note oja 33 za mabeberu Wamarekani hawa ambazo ni hoja za msingi sana, japo sio za kuzingatiwa sana kivile lakini sio za kuzipuuzia.
  18. Je, ni kweli "Over the past several years, Tanzania has served as an origin and transit point for radicalized individuals fighting alongside terrorist groups operating in nearby countries, particularly al-Shabaab in Somalia and Ansar al-Sunna in Mozambique?".
  19. Je, ni kweli kuwa Tanzania tuna vikundi vya kigaidi, Jihadist groups, vinazotumika Mozambique, Kenya, and Somalia, bila kufanya ugaidi nchini, lakini baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli kwenye uchaguzi wa 2020 presidential elections, Islamist groups in the country are likely to become more active na kufanya kweli!. Why?!.
  20. Je, ni kweli Tanzania tuna Watanzania ma ma radicas ambao ambao wameondoka nchini na kujiungana vikundi vya kigaidi, "A sizeable number of radicalized Tanzanians have historically left the country to join terrorist groups elsewhere, rather than turning their violence toward the state"
  21. Je, ni kweli Tanzania tuna mitandao wa kigaidi, " networks of radicalized groups in Tanzania have also facilitated the training and transfer of non-Tanzanians through the country to fight alongside terrorist groups outside of Tanzania"?.
  22. Je, ni kweli magaidi wa Kenya "Kenyans radicalized by an al-Shabaab recruitment cell in western Kenya’s Siaya county were using Tanzania as a gateway to Somalia, likely using well-established networks in Tanzania to circumvent Kenya’s more stringent security controls by traveling from Tanzania’s coast"?.
  23. Je, ni kweli TISS wetu walifanikiwa kuwakamata baadhi na kuwarejesha ila wengine wakawatoroka "Tanzanian security forces confirmed they had captured and returned several individuals but others remained on the loose"?.
  24. Je, ni kweli "The structures that facilitate radicalization and recruitment are clearly present"?, ziko wapi?.
  25. Je, ni kweli chanzo cha radicalism ni kuupinga "udikiteta? "resentment toward the government’s progressively authoritarian rule is growing?. Ni kweli Tanzania tuna udikiteta?.
  26. Je, ni kweli Tanzania tuna Mfumo Kristu? na kuwa rais Magufuli anatumia Mfumo Kristu, hivyo nchi itaingia kwenye machafuko! "As such, it is easy to conceive that the country could see a rise in violent extremism if the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and President John Magufuli continue their reign, hardening the narrative of mfumo Kristo (Christian dominance)?.
  27. Je, ni kweli ugaidi Tanzania unaanzia Zanzibar? "The threat of radicalization on Tanzania’s predominantly Muslim Zanzibar archipelago has been well-documented, but the rising threat on the country’s more homogenous mainland has flown more under the radar".
  28. Je, ni kweli "Understanding the nature of violent extremism in Tanzania’s mainland is challenging"?.
  29. Je, ni kweli jeshi letu la polisi linavipuuza matukio ya kigaidi na kuyahesabu ni uhalifu tuu wa kawaida?. "Tanzanian police have chronically downplayed the threat and characterized numerous attacks over the past several years as being linked to criminal groups rather than radicalized armed groups"?.
  30. Je, Tanzania tuna "galvanized Muslims communities", "Thus far, the government’s increasingly authoritarian tendencies have not explicitly targeted or galvanized Muslim communities, but they have riled other groups".
  31. Japo ni kweli Tanzania tuna "restrictions on political" jee ni kweli kuna anye restrictions on "religious organizations"?.
  32. Je, Tanzania kweli tuna "alleged extrajudicial killings and detentions"?, kuna watu wowote wameshikwa wakauliwa bila kufikishwa mahakamani?., au kuna mahabusu wowote wako kizuizini bila kufikishwa mahakamani?.
  33. Je, ni kweli Tanzania, tuna "unequal economic policies, particularly relating to land management"?.
  34. Je, ni kweli Bakwata imepoteza legitimacy "have only contributed to a further loss of legitimacy for the state’s National Muslim Council of Tanzania (Baraza Kuu la Waislamu Tanzania—BAKWATA)"?.
  35. Je, Tanzania tuna makundi mawili kinzani ya Waislamu?, yaani kuna Wahhabbi ns wa Sufi? "These factors have helped facilitate the advent of fundamentalist challengers who are particularly adept at recruiting vulnerable Muslim youth by playing into the generational conflict between the younger generation of Wahhabi-leaning Muslims and their Sufi-oriented elders, whom they view as complicit in the government, and by association".
  36. Je, ni kweli "BAKWATA’s marginalization of certain Muslim communities"?.
  37. Je, ni kweli Tanzania tuna Muslim extremist mikoa ya Tanga, Pwani na Mtwara?, "The threat of violent extremism is most prevalent in the coastal regions of Tanga, Pwani, and Mtwara, all of which have seen a rise in militant attacks and activity over the past five years and are uniquely vulnerable to such activity due to a variety of political, economic, and geographic factors".
  38. Je, ni kweli "The current political climate and the likelihood of President Magufuli winning the presidential election will exacerbate the factors that contribute to radicalization as he continues to clamp down on alleged Islamists and closes political space for any meaningful opposition or dissent through actions such as banning political rallies, which will increasingly force individuals toward actions outside of the political system?.
  39. Je, ni kweli hili kuhusu Tanga? "Tanga, which shares a border with Kenya and has a large coastline, has served as an epicenter of more radical interpretations of Islam since the 1970s with networks of mosques linked to Ansar Youth Centre cropping up across the region. Tanga has also been a hub for radicalized individuals fleeing crackdowns in Kenya as well as militants seeking to join al-Shabaab in Somalia".
  40. Je, huu ni ukweli kuhusu lile tukio la mapango ya Handeni?. "Between 2015 and 2017, a series of violent incidents linked to a well-armed organization police tracked to the Amboni Caves renewed concerns of radicalized youths from nearby mosques joining shadowy armed groups in the area"
  41. Je, ni kweli Tanga kuna prominence of political opposition?, "It is also worth noting the prominence of political opposition in Tanga, which was one of three regions that did not hold polling in the 2019 local elections due to the opposition boycott".
  42. Je, ni kweli mauaji ya Kibiti ni ya kigaidi? "In Pwani Region, the district of Kibiti has particularly experienced a similar rise in radicalization as well as targeted attacks against ruling CCM party members and police officials reportedly connected to youths from mosques erected after Islamists clashed with worshippers at preexisting mosques, with dozens being killed since 2017".
  43. Je, ni kweli Kibiti ndio chungu cha kuwapika Al Shabaab na kuwa export? " Kibiti has also historically exported a significant number of fighters to al-Shabaab and Ansar al-Sunna".
  44. Je, ni kweli kuna wakazi 380 wa Kibiti wamepotea na ni vyombo vyetu vya usalama ndio vimewapoteza?, "Security forces responded to the spate of violence in Kibiti by launching a significant crackdown on alleged Islamists in the broader Pwani region, with locals and members of parliament accusing the government of being responsible for the disappearance of 380 people, among other alleged abuses". NB. Mwandishi wa Habari wa Citizen Mwananchi, Azory Gwanda alipotea katika kuufuatilia ukweli wa tuhuma hii na hakuna mwandishi au chombo kingine cha habari kimefuatilia!.
  45. Je, ni kweli kuna mamia ya Watanzania wameshikili na polisi huko kwa kuanzisha kambi ya ugaidi?. "Mtwara is particularly vulnerable given those militants’ connections to Tanzanians. Multiple cross border attacks have already taken place and Tanzanian authorities have arrested upwards of a hundred Tanzanians for attempting to cross the border to fight in Mozambique or for attempting to establish training camps"
  46. Je, ni kweli magaidi wa Kibiti wamekimbilia Mtwara?, "Tanzanian authorities have also stated that they believe individuals who fled security operations in Kibiti had relocated to Mtwara".
  47. Je, ni kweli mkoa wa Mtwara umetengwa na unabaguliwa?, "Mtwara has long been a peripheral region far removed from the government and has suffered significantly due to fluctuations in cashew yields. The region has increasingly become an opposition stronghold, particularly following harsh crackdowns in response to protests against a planned oil pipeline".
  48. Je, ni kweli Mtwara ni neglected? "The neglected region of Mtwara, is also facing a similar issue in that the discovery of natural gas reserves threatens to further the economic disparity between residents and those who will benefit from the boom".
  49. Kuna hoja kuwa Magufuli akishashinda awamu ya pili, Mtwara watalianzisha!. Huu ni uchochezi "The prevalence of radicalized networks in Tanzania and the connections to other militant groups in the region has created an outlet through which marginalized Muslim youth are likely to channel their resentment toward the government and mfumo Kristo, should Magufuli win.
  50. The generational religious conflict between younger Islamists and the Sufi community will continue to be amplified by the government’s restrictions on religious and political groups, police crackdowns, matters of land management, and the coming oil boom. Tanzania could be primed to experience an increase in violence directed inward as opposed to exporting its radicalized individuals elsewhere in the region.
    Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
Kuna mtu alikutabiria ukurugenzi mawasiliano ikulu nadhan ungemweleza boss
 
Mjomba pasco siku hizi makala zako azina mvuto ukisoma page mbili tu unachoka uhitaji kuendelea tatizo nini hivi mfano ukikosa wachangiaji ukikosa na wasomaji itajisikiaje kama kitu unakipenda wewe kipende wewe usitushawishi na sisi tukipende ccm wanayumba angalia zanzibar huko wanachotaka kufanya hivi haki kweli
Sasa ulitaka akaungane na Kabendera halafu familia yake aitunze nani
 
Asante kwa bandiko la kizalendo, ni jukumu la serikali jinsi ya kula na hawa mabeberu, jamaa hawashindwi kitu.

Tushishangae Marekani ikatangaza Tanzania ndio mfadhili wa magaidi hivyo wanatuma kikosi kuja kuwasaka kumbe ndio wanakuja kuwafundisha mbinu za kivita..

Serikali ijifunze lugha ya kidiplomasia, sio kuropoka ropoka majukwaani bila kutafakari.

Ukiangalia sababu nyingi zimechangiwa na kauli za viongozi wetu na sio vitedo vyao..

Samaki ambaye haachamiachimi mdomo hanaswi na ndoano.
Mimi nitakuwa wa kwanza kuambatana nao msituni kwa mafunzo zaidi...
 
Chakula kikikosekana tumboni Asidi au tindikali humeng'enya utumbo!ndio mana jpm amewafanya amewafanya watz wanaomkosoa magaidi ya kuuawa kwa risasi na kuyatupa baharini kwasasabu alikosa wa kuwafanyia ufedhuli!!sasa ngoja magaidi halisi waingie nchini ili risasi zipate wa kumpiga ili wamalize usongo wao!!!
 
Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
Paskali
Mkuu Pascal, kuna mambo ya jinsi raisi Magufuli anavyoendesha nchi, Watanzania hawapendi.

Na umejiuliza Watanzania wasiopenda Magufuli anavyoendesha nchi wakasema hivyo hadharani wanaishia wapi? Wewe ulihojiwa na Kamati ya Bunge, na nitasema wazi kwako kwamba kama sio kufahamiana kwa ukaribu na wat fulani fulani (na mara nyingine kuwasifia) wala hata huko Kamati ya Bunge usingefika. Tungekuwa tunakuongelea katika past tense, kama ilivyowatokea wengine, kwa kuwa wakati huo eidha hawakukuelewa ulisimamia wapi, au kwa kuwa baada ya kufikishwa Kamati ya Bunge ulikuwa "converted".

Sasa tusidhani au kupotosha umma kwamba tatizo la Marekani kwa Magufuli ni suala la demokrasia yetu tu. Na wala sio suala la ushoga. Kuna nchi zina demokrasia mbaya kuliko hii yetu, na kuna nchi zina msimamo mkali dhidi ya ushoga kuliko Tanzania, lakini Marekani hawajasema neno hata moja juu yao. Tusiandike kama vile Wamarekani wame declare kuwa interested na demokrasia ya Tanzania au kupenda makalio ya Watanzania kuliko nchi nyingine.

Kwa leo acha niishie hapa.
 
1,3,4 na 5 siyo tu Marekani hawafurahishwi mkuu. Watanzania wengi hawavutiwi na jinsi hii nchi inavyoedeshwa hayo mengine sina uhakika nayo.
Kama ni kweli watanzania hawavutiwi na mfumo wa uendeshaji wa serikali yetu mbona katika uchaguzi wa serikali za mitaa CCM imepata ushindi wa 99%??

Tanzania tuna akiba ya dola bilioni 4 zinazoweza kuendesha nchi kwa miezi minne.Marekani hatuwezi.Sisi ni donor country.
 
Mkuu hawa majamaa wametupima na kujua kuwa udhaifu wetu upo kwenye dini.

Hiyo itakua njia rahisi ya kutuvuruga.

Huko kwenye sekta ya madini wameona wanapoteza.

Fahamu kuwa, Sekta ya madini mabeberu wamejaza majasusi wastaafu ndio wanaofanya hizo shughuli. ( Inabidi pia na sisi tuweke assests wetu huko, tena wale wazalendo haswa)

Kwakua sekta ya madini ni muhimu mno, na kuwabana huko ni kuwanyima ulaji hawana namna zaidi ya kuretaliate.

Serikali inapaswa kuwa makini mno, kwenye maswala ya Udini na hasa Uhaguzi wa 2020.

Kila la heri mama Tanzania.
 
Back
Top Bottom