Seduce kupigwa kwenye gwaride la heshima kama siyo habari hivi?

Nani anayetakiwa kuipa kipaumbele?

Kama yeye mwenyewe hajitangazi, usitegemee mtu baki atakutangaza.

Huu siyo ulimwengu wa kizuri chajiuza, siku hizi vyote vizuri na vibaya vinajitembeza.
Kizur chajiuza bro na ndo maana best naso hasikiki anasikika marioo,pokea ukweli mchubnu huo seduce imepenyaaaaa
 
Wabongo tunapenda kuonewa huruma,mpaka pasipo hitaji huruma,watu wakikukaushia lawama zinaanza,wakati kitu ulikuwa na uwezo kukipush ww mwenyewe.
Shida kuna makenge wanajifanya hii industry inashikwa na mtu au kundi moja tu bongo hapa, na lengo la huu Uzi ni kuwajulisha kwamba heshima ya bongofleva inaletwa na wengi pamoja na KING ambaye wamekuwa wakimdhihaki Kila siku OVA.
 
Ifike hatua tuwe waelewa hakuna cha ajabu hapo.. hicho ni kitengo cha burudani tu hakuna la kushtukiza Wala msiwe kivile mnamind mnataka kila siku wawe wanapiga nyimbo za huzuni let them support na kutoa burudani inapowezekana..
Ulielewa vizuri?..bt sawa
 
SIWEZI SOMA HUU "MGAZETI"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…