playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
- Thread starter
- #41
Na ni sababu ya harmo ingekuwa "MAIN ACT" hadi makanisani mngetangazaYote majibu.
Nime mwonyeshea hiyo ilikuwa 2019 lkn habari hazikuvuma vilevile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ni sababu ya harmo ingekuwa "MAIN ACT" hadi makanisani mngetangazaYote majibu.
Nime mwonyeshea hiyo ilikuwa 2019 lkn habari hazikuvuma vilevile.
Kizur chajiuza bro na ndo maana best naso hasikiki anasikika marioo,pokea ukweli mchubnu huo seduce imepenyaaaaaNani anayetakiwa kuipa kipaumbele?
Kama yeye mwenyewe hajitangazi, usitegemee mtu baki atakutangaza.
Huu siyo ulimwengu wa kizuri chajiuza, siku hizi vyote vizuri na vibaya vinajitembeza.
Shida kuna makenge wanajifanya hii industry inashikwa na mtu au kundi moja tu bongo hapa, na lengo la huu Uzi ni kuwajulisha kwamba heshima ya bongofleva inaletwa na wengi pamoja na KING ambaye wamekuwa wakimdhihaki Kila siku OVA.Wabongo tunapenda kuonewa huruma,mpaka pasipo hitaji huruma,watu wakikukaushia lawama zinaanza,wakati kitu ulikuwa na uwezo kukipush ww mwenyewe.
Ulielewa vizuri?..bt sawaIfike hatua tuwe waelewa hakuna cha ajabu hapo.. hicho ni kitengo cha burudani tu hakuna la kushtukiza Wala msiwe kivile mnamind mnataka kila siku wawe wanapiga nyimbo za huzuni let them support na kutoa burudani inapowezekana..
SIWEZI SOMA HUU "MGAZETI"Habari zake zipi ? juzi Mondi alipost album ya Konde kama kuipromoti mkaponda humu "mnafiki ,anajipendekeza.." ww ukiwa mmoja wapo,kijana wa watu kakaa kimya mnasema "ana roho mbaya" (sasa sijui afanyeje) ,pili mbona hata airtime anapata Wasafi fm na tv,tena naona kwa Tz ndio msanii anayepewa airtime ya kutosha kwenye radio zote kubwa,kuliko wasanii wote including wasanii wa WCB.
Kwanza hiyo show ilikuwa kabla ya Harmo hajatoka WCB ,ila sasa ametoka manake amemalizana na WCB na anajitegemea mwenyewe na ana timu yake,kazi inabaki kwao kumpush mtu wao,kwa hiyo hata akitetereka WCB hawana lawama wao wana deal na projects zao (wasanii wao).
Mbona mondi anajipost sana yy mwenyewe kwenye accounts zake,endapo akisifiwa na ikulu tena mara nyingi na mnaponda "lijamaa linapenda sifa" ,ila mwenzenu kishaji promote.
Sawa sawa sasa hivi umlaumu Don Jazz kwa nini hapost habari za Tiwa Savage,wakati sasa hivi Tiwa hayupo chini yake huu ulimwengu wa biashara nipe ni kupe,kama huwezi push mwenyewe kazi zako na watu wako platforms zipo kibao.
Limepita kwenye gazeti hili ni "GALAZETI" hahahahaaaaHili gazeti lote langu aiseee. Halfu juzi si tumefiwa mkuu sikumbuki kuwa na malumbano kabisaaa
Numbisa unatumia kinywaji gani??Hii sio insta mkuu.JF hatuna DM
Anyway nimefunga PM
Tunayapapasa tunavyotakaKwahiyo mnavimbaaa wenyewe..maisha mmeyapatia au siyo..!!![emoji41][emoji41]
Safi.Sijui.
Ndo ishatrend bro.Kwakuwa siyo mpenda showoff hivyo haiwez trend
Which time boss?..Huyo king, but DIAMOND IS THE GOAT(GREATEST OF ALL THE TIME).
Pole boss wangu inaumaaaaaaaaaAlafu wewe kibakuli sio poa kuwa na I'd feki.
Omba moderator wakubadili jina uwe unajitangaza
Numbisa unatumia kinywaji gani??
Hahahahahaaaaa naomba bill iwe juu yanguWanzuki ukikosa hata ulanzi natumia
like youHatutaki wadangaji JF.
Mimi niliuliza tu wala sikutaka kuprove facts zingineTufanye ya kisabato haya tuonesheni wimbo wa huyo bwana mnaetaka kummilikisha bongofleva
I'm black definitely.Ok safi jichetue
Tatizo hutembelei page za Wasafi siku laumu.Na ni sababu ya harmo ingekuwa "MAIN ACT" hadi makanisani mngetangaza
Sishangai uwezo wako umeishia hapo kwani hata maelezo yako yana akisi ulichokiandika.SIWEZI SOMA HUU "MGAZETI"
Kizur chajiuza bro na ndo maana best naso hasikiki anasikika marioo,pokea ukweli mchubnu huo seduce imepenyaaaaa