Sefue: Marufuku kutengeneza kadi za Christmas/Mwaka Mpya kwa gharama ya Serikali

Mwana JF, siyo kila unaloliwaza ni lazima ulianzishie uzi. Mengine unabaki nayo moyoni itasaidia.
 
insha'Allah
 

Attachments

  • michambocity_1666727867554506.mp4
    1.3 MB
Nashauri serikali idesign za digital na itumwe kwa email...hata iseme mama anaupiga mwingi na anawatakia siku kuuz njemaa
 
Imesemwa 'kila mtu na ale kwa urefu wa kamba yake'.Tafuta chaka lako nawewe mleta mada,ule.
Hayo mapambo watu watanunua magari na kumalizia majumba yao.Yule bwana alibana sana.
ANAUPIGA MWINGI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…