kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,760
- 11,343
Kabla ya kuuliza swali unatakiwa japo utumie kichwa mara moja kufikiri.Hivi mtume na wafuasi wake walikuwa wanajilipua au kuua wapita njia?
Miaka 1500 iliopita ktk ulimwengu huu wachilia mbali Kulipua mtu. Hata kiitwacho mlipuko ilikuwa Bado hakija gunduliwa. Hata hio baskeli mnayotumia hapo nyumbani kupelekea dada zenu kwenye michiriku hazikuwepo!
Hapa ni sawa na kumuuliza "eti baba wakati wa vita vya kagera mlikuwa mnapata wapi Vocha za Tigo?
Ukitegemea Umeuliza la maana.
Mitoto ikishakosa malezi ni shida tu.