PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Tanzania ina safari ndefu sana ya mafanikio kama vijana wenyewe ndiyo hawa ni majanga Tu.
Umeishia darasa la ngapi mtoa mada
Umeishia darasa la ngapi mtoa mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi gharama Nani analipia?Tanzania ina safari ndefu sana ya mafanikio kama vijana wenyewe ndiyo hawa ni majanga Tu.
Umeishia darasa la ngapi mtoa mada
Mumuwekee mfano wa nyota na mwezi atachekekea!😂😂😂😂Tanzania ina safari ndefu sana ya mafanikio kama vijana wenyewe ndiyo hawa ni majanga Tu.
Umeishia darasa la ngapi mtoa mada
Weye unadhani ni shilingi ngapi hadi upate headache?Hizi gharama Nani analipia?
Nina BSc. Civil EngineeringTanzania ina safari ndefu sana ya mafanikio kama vijana wenyewe ndiyo hawa ni majanga Tu.
Umeishia darasa la ngapi mtoa mada
Kodi za wananchi hizoWeye unadhani ni shilingi ngapi hadi upate headache?
Hebu tengeneza kachumbari kwa kutumia hiyo BSc.Civil Engeneering bila kutumia nyanya,vitunguu wala limao tukuamini.Nina BSc. Civil Engineering
Weye umelipa shilingi ngapi jumla kwa mwaka huu?Kodi za wananchi hizo
Hahahaha 😆😆😆😆Nina BSc. Civil Engineering
Wazo maridadi sana hilo.Ewaaaaaaa twende tukalewe
Wazeee wa kubong'oa hapo anatamani kujitoa mhanga kisa Pambo la Chrismas. Hizi dini tumeletewa tu kuwa mpole mkuuuImekaaje hii?. CAG angalia na hilo
Naam, naona wanajipa stress tu za bureWazo maridadi sana hilo.
Rubbish.Imekaaje hii?. CAG angalia na hilo
Mtoa mada ana hoja ila kwa watu mlokufa kifikra na mshakuwa brainwashed na hizo dini mtamuona kama mdini Cha ajabu utakuta na yeye ni mkristuWazeee wa kubong'oa hapo anatamani kujitoa mhanga kisa Pambo la Chrismas. Hizi dini tumeletewa tu kuwa mpole mkuuu
Halafu ni mkristu ujue?Nimeangalia mwandiko wake.Wazeee wa kubong'oa hapo anatamani kujitoa mhanga kisa Pambo la Chrismas. Hizi dini tumeletewa tu kuwa mpole mkuuu
Saudia!Hizi gharama Nani analipia?
Kwa hiyo unaona ni sawa kijadili kijambo kidogo kama hicho?Utaeleza tujadili mafaili,mafagio,moppers,dustbins,rims,computers,office-chairs etc kwa kutojiamini!Kila kitu mnawaza kuibiwa ndiyo maana mnakufa mapema.Ninyi ni watu wabaya lazima mfe mapema!Mtoa mada ana hoja ila kwa watu mlokufa kifikra na mshakuwa brainwashed na hizo dini mtamuona kama mdini Cha ajabu utakuta na yeye ni mkristu
Sent using Jamii Forums mobile app
PweintiTulia tu mbona unasherehekea mwaka mpya au hujui pia mwaka mpya ni sherehe ya kukristo