Sehemu ambayo ukipata mke hutokaa ujutie

Vipi Singida
 
Ahsante
 
Wanawake poa sana wako pwani.

Tatizo dini yao tu. Uwe muislam mwenzao.

Hawa wavumilivu sana kwa mume na wana utu sana. Tatizo lao uswahili na mdomo tu
Mmh bila kusahau hutakua peke yako
Wanafundishwa lzm uwe na kidumu pembeni
 
Hao ukiishiwa hela wanakimbia na ukipata hela wanakuuwa
Nadhani story za kitaa hizo. Nawafahamu wanawake kadhaa wa Kichagga waliolewa na makabila mengine, wenye fedha na wasio na fesha na wana dunda tu. Kuna mmoja Mmachame katolewa na jamaa mmoja, hana pesa kiviile na ana ndugu zake walikua na UKOMA na mtoto wa kike kadumisha ndoa tu, nimemfahamu over 20 years ago na still wanaishi to-date
 
Hata wao hujizungumzia kwamba wapo after money....sasa sijui maelezo yako......labda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…