Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Ndiyo mkuu hotel pendwa..... Em tuambie maake mwana anavyo haha menu zao coz humu ujuaji mwingiEneo langu sana hilo happy hours friday!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mkuu hotel pendwa..... Em tuambie maake mwana anavyo haha menu zao coz humu ujuaji mwingiEneo langu sana hilo happy hours friday!!!
Hakika humu wewe ndo umemjibu vyema.....Ngoja nijaribu kukuwekea maeneo ambayo yatakuwa ndani ya budget yako na pia nimezingatia utulivu..
1. Terrace Lounge Rooftop (Msasani Mall, karibu na Oysterbay Police)
2. G’eez Hangout - Restaurant & Pizza (Mbezi Beach karibu na kona ya kwenda Shoppers)
3. Trust The Kitchen Restaurant (Noble Center Victoria mataa ya kona ya kwenda Mwananyamala Hospitali, zamani Istana)
4. KingJada Hotels (Morocco mataa,hii bado ni mpya, upande wa restaurant pana upepo mzuri ukikaa outdoors ingawa wana indoor pia)
5. Jacques Salad and restaurant (Mikocheni mtaa wa Chato, barabara mpya ya zege inayounganisha ilipokuwepo AAR zamani na kijiwe maarufu cha msosi Container)
6. Salt Restaurant (Masaki jengo walipo Tembo Nickel )
LIst ni ndefu lakini jaribu hizi kwanza...
Tafta hela acha makasiriko na kusumbua watu. Unaambiwa sehemu za kwenda huko Tandale hutaki... hiyo laki hata nauli tu haitoshi. Au una bodaboda wako?Kwhy unaamini kabisa mtu hawezi kutoka na mpenzi wake kwa bajeti ya 100K.
Hivi unahisi dunia hii inajzungusha kwenye kichwa chako?
Kwamba maisha fulani ndio standard.
We na we bana.. hii nayo ni sehemu ya kumpeleka mpenzi kweli😃😃.. labda mpenzi jini... hiyo ni sehemu yetu sisi wapagazi wa kwa wazungu hapa Masaki... Ndio maana beiHapana, masaki hapo hapo atapata affordable price. Aende kwa hawa niliomwambia kuna wide range selection ya around 30k View attachment 3181042View attachment 3181043unapata msosi wako poa kabisa. Ningeweza kuweka menu zaidi ila huo ni mfano
Una shida ya uelewa ama? Mtu ana laki moja unataka nimshauri juu ya uwezo wake? Tuliza akili usome kwa umakini bajeti yake na matakwa yakeWe na we bana.. hii nayo ni sehemu ya kumpeleka mpenzi kweli😃😃.. labda mpenzi jini... hiyo ni sehemu yetu sisi wapagazi wa kwa wazungu hapa Masaki... Ndio maana bei
yake ni ya chama kwa ajili yetu...
Sawa tutaenda.Njoo twende nikupele ukale calamari na prowns popcorn
Mbona hata wewe unazo
Labda mtoke nje mrudi ndaniHabari za jioni.
Mwisho wa wiki hii nataka kutoka na Mpenzi wangu.
Sehemu iwe imetulia(kusiwe na vurugu nyingi)
Chakula kizuri, Mziki kwa mbalii, Gharama isiwe kubwa sana( bajeti iwe <100K). Pia isiwe nje ya jiji sana.
Nilitaka kumpeleka kwa wahindi, skweez( tatizo hakuna mziki).
M.
Thread isindikizwe na wimbo wa Sea
Mad Max,
Hapa hatoweza gharamathe ambiance.
Huu ndio ushauri wa maana mtoa mada auzingatie sanaMtumie Mama hiyo hela, hawa wanawake hawana maana,
Wanajikuta wazee wa masihara kumbe low budget. 😀Humu wengi ni wala kimasihara bila any arrangement vichakani ktk daladala ndo maana majibu mengi ya ubabaifu.
Restaurant ya Kingjada hotel si ndiyo inaitwa Hawakitchen, au ni biashara tofauti kwenye eneo moja?.Ngoja nijaribu kukuwekea maeneo ambayo yatakuwa ndani ya budget yako na pia nimezingatia utulivu..
1. Terrace Lounge Rooftop (Msasani Mall, karibu na Oysterbay Police)
2. G’eez Hangout - Restaurant & Pizza (Mbezi Beach karibu na kona ya kwenda Shoppers)
3. Trust The Kitchen Restaurant (Noble Center Victoria mataa ya kona ya kwenda Mwananyamala Hospitali, zamani Istana)
4. KingJada Hotels (Morocco mataa,hii bado ni mpya, upande wa restaurant pana upepo mzuri ukikaa outdoors ingawa wana indoor pia)
5. Jacques Salad and restaurant (Mikocheni mtaa wa Chato, barabara mpya ya zege inayounganisha ilipokuwepo AAR zamani na kijiwe maarufu cha msosi Container)
6. Salt Restaurant (Masaki jengo walipo Tembo Nickel )
LIst ni ndefu lakini jaribu hizi kwanza...
Mtu kajielezea vzr tu watu mnampopoa ila waja mna shida jamani😂Laki moja ndio pesa ya kutoka na mpenzi?
Una akili nzuri kweli?
Restaurant ya Kingjada hotel si ndiyo inaitwa Hawakitchen, au ni biashara tofauti kwenye eneo moja?.