Sehemu gani nzuri Kwa Dar es Salaam Ya kutoka na Mpenzi?

Sehemu gani nzuri Kwa Dar es Salaam Ya kutoka na Mpenzi?

Ngoja nijaribu kukuwekea maeneo ambayo yatakuwa ndani ya budget yako na pia nimezingatia utulivu..

1. Terrace Lounge Rooftop (Msasani Mall, karibu na Oysterbay Police)

2. G’eez Hangout - Restaurant & Pizza (Mbezi Beach karibu na kona ya kwenda Shoppers)

3. Trust The Kitchen Restaurant (Noble Center Victoria mataa ya kona ya kwenda Mwananyamala Hospitali, zamani Istana)

4. KingJada Hotels (Morocco mataa,hii bado ni mpya, upande wa restaurant pana upepo mzuri ukikaa outdoors ingawa wana indoor pia)

5. Jacques Salad and restaurant (Mikocheni mtaa wa Chato, barabara mpya ya zege inayounganisha ilipokuwepo AAR zamani na kijiwe maarufu cha msosi Container)

6. Salt Restaurant (Masaki jengo walipo Tembo Nickel )

LIst ni ndefu lakini jaribu hizi kwanza...
Hakika humu wewe ndo umemjibu vyema.....

Wengi waropokaji.. hongera mkuu
 
Kwhy unaamini kabisa mtu hawezi kutoka na mpenzi wake kwa bajeti ya 100K.

Hivi unahisi dunia hii inajzungusha kwenye kichwa chako?
Kwamba maisha fulani ndio standard.
Tafta hela acha makasiriko na kusumbua watu. Unaambiwa sehemu za kwenda huko Tandale hutaki... hiyo laki hata nauli tu haitoshi. Au una bodaboda wako?
 
Hapana, masaki hapo hapo atapata affordable price. Aende kwa hawa niliomwambia kuna wide range selection ya around 30k View attachment 3181042View attachment 3181043unapata msosi wako poa kabisa. Ningeweza kuweka menu zaidi ila huo ni mfano
We na we bana.. hii nayo ni sehemu ya kumpeleka mpenzi kweli😃😃.. labda mpenzi jini... hiyo ni sehemu yetu sisi wapagazi wa kwa wazungu hapa Masaki... Ndio maana bei
yake ni ya chama kwa ajili yetu...
 
Kanunue mashamba utakuja kuuza kwa Bei nzuri baadae. Akutembelee kwako akiridhika na hali yako huyo ndio wako
 
We na we bana.. hii nayo ni sehemu ya kumpeleka mpenzi kweli😃😃.. labda mpenzi jini... hiyo ni sehemu yetu sisi wapagazi wa kwa wazungu hapa Masaki... Ndio maana bei
yake ni ya chama kwa ajili yetu...
Una shida ya uelewa ama? Mtu ana laki moja unataka nimshauri juu ya uwezo wake? Tuliza akili usome kwa umakini bajeti yake na matakwa yake
 
Habari za jioni.

Mwisho wa wiki hii nataka kutoka na Mpenzi wangu.

Sehemu iwe imetulia(kusiwe na vurugu nyingi)
Chakula kizuri, Mziki kwa mbalii, Gharama isiwe kubwa sana( bajeti iwe <100K). Pia isiwe nje ya jiji sana.

Nilitaka kumpeleka kwa wahindi, skweez( tatizo hakuna mziki).

M.
Thread isindikizwe na wimbo wa Sea

Mad Max,
Labda mtoke nje mrudi ndani
 
Ngoja nijaribu kukuwekea maeneo ambayo yatakuwa ndani ya budget yako na pia nimezingatia utulivu..

1. Terrace Lounge Rooftop (Msasani Mall, karibu na Oysterbay Police)

2. G’eez Hangout - Restaurant & Pizza (Mbezi Beach karibu na kona ya kwenda Shoppers)

3. Trust The Kitchen Restaurant (Noble Center Victoria mataa ya kona ya kwenda Mwananyamala Hospitali, zamani Istana)

4. KingJada Hotels (Morocco mataa,hii bado ni mpya, upande wa restaurant pana upepo mzuri ukikaa outdoors ingawa wana indoor pia)

5. Jacques Salad and restaurant (Mikocheni mtaa wa Chato, barabara mpya ya zege inayounganisha ilipokuwepo AAR zamani na kijiwe maarufu cha msosi Container)

6. Salt Restaurant (Masaki jengo walipo Tembo Nickel )

LIst ni ndefu lakini jaribu hizi kwanza...
Restaurant ya Kingjada hotel si ndiyo inaitwa Hawakitchen, au ni biashara tofauti kwenye eneo moja?.
 
Back
Top Bottom