skewers
skewers ipo wapi?nenda skewers muziki kasikilize kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
skewers ipo wapi?nenda skewers muziki kasikilize kwako
mmh labda ikulu,pale magogoniHabari za jioni.
Mwisho wa wiki hii nataka kutoka na Mpenzi wangu.
Sehemu iwe imetulia(kusiwe na vurugu nyingi)
Chakula kizuri, Mziki kwa mbalii, Gharama isiwe kubwa sana( bajeti iwe <100K). Pia isiwe nje ya jiji sana.
Nilitaka kumpeleka kwa wahindi, skweez( tatizo hakuna mziki).
M.
Thread isindikizwe na wimbo wa Sea
Mad Max,
🤣🤣🤣Mtaachana tu....
Sikuiz ndio umenisusa kiasi?Nenda kalypso colosseum, bravo coco, akemi..👌
iko upangaskewers
skewers ipo wapi?
Ndio, kiasi kidogo tyuu😂😂😂Sikuiz ndio umenisusa kiasi?
Vibaya sijapnda kabisa kwhy umeunyanya moyo wangu makusudiNdio, kiasi kidogo tyuu😂😂😂
Nakuomba njoo pm kwazaNdio, kiasi kidogo tyuu😂😂😂
Itabidi next year niende hotel hizi za kawaida tuu, nioneinategemea mzee chakula ni gharama kubwa tofauti na kitu kingine hasa kwenye hotel labda aende kwa mama lishe ila hotelini laki ndogo
Sad people!Jamiiforums siku hizi imejaa watu wenye wivu na roho mbaya...
Jamani mnapania sana out! Fries au chips mayai bei gani? mocktail au juice je?Hapa chakula cha bei ya chini kinaanzia 35, acha kumuingiza king
Unaishi wapi kwanza, nendeni Delta hotel kwa dinner, and the ambiance.
Mimi mgeni mjini napaona fresh.Mbona pamechoka sana pale...
Mimi mgeni mjini napaona fresh.
Maana yake ndio hiyo.. budget…Delta ni ya zamani, kuna viota vingi vizuri tu, mchawi budget ya jamaa...