Sehemu gani nzuri Kwa Dar es Salaam Ya kutoka na Mpenzi?

Sehemu gani nzuri Kwa Dar es Salaam Ya kutoka na Mpenzi?

Tujue kwanza wewe na mpenzi wako mnatumia vileo?maana inabidi turned hiyo balance yako inabalance kiwanja gani?
 
Tuweni serious wakuu.....

Laki haitoshi kwa dinner?

Na ukizingatia sio pombe wanakunywa! zaidi sana chakula na smoothie au soda Incase

zioo sehemu kibao tuu sema kila mtu atataka uende karambezi, au johari, Serena

Hapo nimeona umesema upo ubungo...... Around hapo Kuna hotel nyingi mpk unafika magomeni za bei nafuu

Ipo moja manzese nilikula kuku na chipsi, karibu na mrina nadhani japo ilikuwa sehemu ya bar, walikuwa affordable

Kikubwa ni dinner iz it...... Jilipue Lamomy
inategemea mzee chakula ni gharama kubwa tofauti na kitu kingine hasa kwenye hotel labda aende kwa mama lishe ila hotelini laki ndogo
 
Habari za jioni.

Mwisho wa wiki hii nataka kutoka na Mpenzi wangu.

Sehemu iwe imetulia(kusiwe na vurugu nyingi)
Chakula kizuri, Mziki kwa mbalii, Gharama isiwe kubwa sana( bajeti iwe <100K). Pia isiwe nje ya jiji sana.

Nilitaka kumpeleka kwa wahindi, skweez( tatizo hakuna mziki).

M.
Thread isindikizwe na wimbo wa Sea

Mad Max,

Mtumie Mama hiyo hela, hawa wanawake hawana maana,
 
Kwhy unaamini kabisa mtu hawezi kutoka na mpenzi wake kwa bajeti ya 100K.

Hivi unahisi dunia hii inajzungusha kwenye kichwa chako?
Kwamba maisha fulani ndio standard.
Outing sio kwa ajili ya kwenda kufakamia chakula, hiyo 100,000 sio mbaya itawatosha kubadili mazingira na kuhave fun.
Nendeni Coral beach hotel - Masaki
Usafiri, Ubungo -Coral beach hotel 30,000/= go and return.

Juice, 7000@2 = 14,000
Food, 56,000/= (Mtapata chakula cha kuanzia 25,000, itategemea ni nini).

Mtapata na muziki laini mkipigwa na upepo wa Bahari.
 

Attachments

  • E460AFED-9383-48DC-AD35-692EE2977CB4.jpeg
    E460AFED-9383-48DC-AD35-692EE2977CB4.jpeg
    317.8 KB · Views: 5
Habari za jioni.

Mwisho wa wiki hii nataka kutoka na Mpenzi wangu.

Sehemu iwe imetulia(kusiwe na vurugu nyingi)
Chakula kizuri, Mziki kwa mbalii, Gharama isiwe kubwa sana( bajeti iwe <100K). Pia isiwe nje ya jiji sana.

Nilitaka kumpeleka kwa wahindi, skweez( tatizo hakuna mziki).

M.
Thread isindikizwe na wimbo wa Sea

Mad Max,
Dar Hyatt
 
Back
Top Bottom