Sehemu gani nzuri Kwa Dar es Salaam Ya kutoka na Mpenzi?

Sehemu gani nzuri Kwa Dar es Salaam Ya kutoka na Mpenzi?

Hujasema budget yako mkuu.!

Basi nimeona 100k 😹😹
Kumbe na wewe hauko serious mfyuu.!!

Ila kwa hizo comments za waungwana mbavu zinauma kwa kucheka…. Sema na wewe unawapatia majibu ya kuwapa basi uzi unachekesha balaa.!! 😹😹😹
Kalaki kanatuwasha..tulia
 
Back
Top Bottom