Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Ngoja nikashangae ya Martha huko, ila jipange kwanzaBajeti yankutumia hiyo sehemu hiyo including usafiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikashangae ya Martha huko, ila jipange kwanzaBajeti yankutumia hiyo sehemu hiyo including usafiri.
😹😹😹Sisi tunawaza ada za shule yeye yupo busy na baby
basi tuingie barabarani tuandamaneWatu wana stress pesa hawana, mishahara hawajaingiziwa sasa ukiwauliza maswali km haya wanahisi unawakebehi 😹😹
Kuna save ya miguu ya kuku na utumbo unawafaa kabisaTANDALE KWA TUMBO AU KWA MTOGORE
Tena ajichanganyee aje aone hata mda wa kumpeleka mtu kulala miguu ya kuku kama atapataa😹😹😹
Naye anajiandaa kutafuta majukumu (Familia) soon mtaongea lugha moja
sisi wengine tupo single tunawaza hapa tunatoka na nani au unasemaje Bantu Lady 🙃Sisi tunawaza ada za shule yeye yupo busy na baby
Kalaki kanatuwasha..tuliaHujasema budget yako mkuu.!
Basi nimeona 100k 😹😹
Kumbe na wewe hauko serious mfyuu.!!
Ila kwa hizo comments za waungwana mbavu zinauma kwa kucheka…. Sema na wewe unawapatia majibu ya kuwapa basi uzi unachekesha balaa.!! 😹😹😹
mmh mwambie aende tu buza hapo masaki msosi tu elfu 80 na kuendelea hapo bado hajalipa kiingilio hiyo laki hamna kitu asiende masakiSalad for days masaki huko good food at affordable price
Maboss wa JF wanataka kupumzika na bebez kwa 100k 😹😹Kalaki kanatuwasha..tulia
Huko mbali, sema hata hiyo pesa ya kula ataipata wapi? 😹Tena ajichanganyee aje aone hata mda wa kumpeleka mtu kulala miguu ya kuku kama atapataa