Nilikuwa natania Mkuu..uliowasaidia ni pamoja na Mimi.. ahsante sanaHapana mkuu nawasaidia wengine Kwa kuwapa experience niliyoipata kama nilivouliza swali kwenye heading ya Uzi huu. Hivyo Kwa kushiriki kuchangia experience yangu kutawasaidia wengine. Asante pia picha zote zimezingatia faragha yetu.
Rasta mtu hatar sana kwa hao kuku...mpe hi Rasta nammanya sana!!Nimecheka maana nipo hapa kwa rasta nangoja vichwa na miguu
Morogoro bado bush sana, hakuna sehemu unayoweza kupata hizo huduma.Wazee kibunda kipo na nishafika Moro,ntalala hapa Ili kesho mchana niondoke kuja dar sasa nawaza hiki kibunda changu nikitumie wapi?
Nipo na girlfriend wangu.
Nenda viwanja hivi: 1.Terminal pub, jirani na Msamvu Bus Terminal. 2. Samaki Samaki Kihonda...Budget yangu Leo ni 100k to 150k,hapo ni kula,kunywa na usafiri na mizunguko mingine. Sio kibunda kikubwa kawaida tu
Samaki Samaki, star Park, florida grill, black and white, majumba ya mawe, ipo ipo, tex PalaceWazee kibunda kipo na nishafika Moro,ntalala hapa Ili kesho mchana niondoke kuja dar sasa nawaza hiki kibunda changu nikitumie wapi?
Nipo na girlfriend wangu.
Nilienda mkuu,nikachukue kuku nusu. Kuku wakubwa na watamu si nikajikanyaga nikaweka pilipili nyingi(napenda sana pilipili) alooo kuku akazidi kua mtamu ila chamoti nimekiona.Nbona bill moja tu kibunda kinakata mkuu, subir kuku wa ndoo Luna urudi ugegede mzigo!!!
Hapo unampoteza [emoji1][emoji1]Cate Hotel,
Ndo vijana haoNdiyo mwanzo wa kutekwa,kupewa kipigo,kuporwa tuhela na kutupwa porini.Hamuwezi kumeza moto?
Wote washamba!Sote tumetokea mwanza
Ndiyo mwanzo wa kutekwa,kupewa kipigo,kuporwa tuhela na kutupwa porini.Hamuwezi kumeza moto?
Sikatai mkuu, generally ukiachana na Dar na mikoa ya pwani baadhi ila kwengine kote watanzania wengi washamba na kushamba hata mwanza pia.Wote washamba!
Mkuu usipende kula kuku broiler... Kula wa kienyeji tena wa kuchoma au nyama ya mbuzi ya kuchoma na ndizi ya kuchoma halafu ulete mrejesho..Nilienda mkuu,nikachukue kuku nusu. Kuku wakubwa na watamu si nikajikanyaga nikaweka pilipili nyingi(napenda sana pilipili) alooo kuku akazidi kua mtamu ila chamoti nimekiona. View attachment 2368062