Mbagala mali wewe๐คช.Mwendokasi+nyumba bora bri bora,barabara njia mbili,hakuna foleni,biashara inafanyika๐Mabibo, Manzese, Mburahati, Mbagala
Safi sana lo hongera!Mimi popote kambi...
UpoTandale.
Mbagala.
Buguruni.
Kigogo sijui mabibo.
Manzese
Kwaio mkuu Kama tumejenga huku pia tuhame๐จ tukakae mbweni๐ค
โธKinondoni, Sinza na Tabata
Kiga barabara mahandaki matupu,barabara zinaongezwa viraka zimekuwa kama kichwa cha mwendawazimu kilichokuwa darasa la kujifunzia๐คช
NyauuuuuuuuuuuuuuuuPopote penye gharama kubwa kuliko ninachomudu au kwenye usalama mdogo kuliko ninachomiliki
Kinondoni kubwa mzeeKinondoni ,Magomeni,Tabata na Sinza.
Shadeeya swahiba umeadimika sana ๐คWilaya ya temeke ina waswahili sana
Hayo maeneo kipindi cha mvua hayafai!Duh msakuzi mpiji kibamba goba
Mnaishiji ๐
Madale home napo kwa sasa ila nakuona shotii
Ova
Mbagala uwongo ๐๐๐๐Mabibo, Manzese, Mburahati, Mbagala
Kwaniniโบ๏ธMbagala uwongo ๐๐๐๐
Mbagala kupo poa sana...Kwaniniโบ๏ธ
Basi kila mtu aishi anapo patakaMbagala kupo poa sana...
Kuanzia mbagala kuu mpaka mwisho
Kuna sehemu sio...Basi kila mtu aishi anapo pataka
Kinondoni kuna KRA kila kona,Kinondoni Revenue Authority,yaani ukitoka unapigwa kirungu ukirudi kirungu utadhani umeenda kuishi ili uombwe hele,na kauli zao za nakuona tajiri,wakati wee.mwenyewe unaenda kuhenyeshwa kwa wahindi huko.