Sehemu gani ya Dar es Salaam huwezi kwenda kupanga nyumba ya kuishi?

Sehemu gani ya Dar es Salaam huwezi kwenda kupanga nyumba ya kuishi?

Nakuona tajiri
Kinondoni kuna KRA kila kona,Kinondoni Revenue Authority,yaani ukitoka unapigwa kirungu ukirudi kirungu utadhani umeenda kuishi ili uombwe hele,na kauli zao za nakuona tajiri,wakati wee.mwenyewe unaenda kuhenyeshwa kwa wahindi huko.
 
Back
Top Bottom