Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbagala mali wewe🤪.Mwendokasi+nyumba bora bri bora,barabara njia mbili,hakuna foleni,biashara inafanyika😁Mabibo, Manzese, Mburahati, Mbagala
Safi sana lo hongera!Mimi popote kambi...
UpoTandale.
Mbagala.
Buguruni.
Kigogo sijui mabibo.
Manzese
Kwaio mkuu Kama tumejenga huku pia tuhame😨 tukakae mbweni🤗
⁸Kinondoni, Sinza na Tabata
Kiga barabara mahandaki matupu,barabara zinaongezwa viraka zimekuwa kama kichwa cha mwendawazimu kilichokuwa darasa la kujifunzia🤪
NyauuuuuuuuuuuuuuuuPopote penye gharama kubwa kuliko ninachomudu au kwenye usalama mdogo kuliko ninachomiliki
Kinondoni kubwa mzeeKinondoni ,Magomeni,Tabata na Sinza.
Shadeeya swahiba umeadimika sana 🤔Wilaya ya temeke ina waswahili sana
Hayo maeneo kipindi cha mvua hayafai!Duh msakuzi mpiji kibamba goba
Mnaishiji 😄
Madale home napo kwa sasa ila nakuona shotii
Ova
Mbagala uwongo 😂😂😂😂Mabibo, Manzese, Mburahati, Mbagala
Kwanini☺️Mbagala uwongo 😂😂😂😂
Mbagala kupo poa sana...Kwanini☺️
Basi kila mtu aishi anapo patakaMbagala kupo poa sana...
Kuanzia mbagala kuu mpaka mwisho
Kuna sehemu sio...Basi kila mtu aishi anapo pataka
Kinondoni kuna KRA kila kona,Kinondoni Revenue Authority,yaani ukitoka unapigwa kirungu ukirudi kirungu utadhani umeenda kuishi ili uombwe hele,na kauli zao za nakuona tajiri,wakati wee.mwenyewe unaenda kuhenyeshwa kwa wahindi huko.