jlo father
Member
- Dec 11, 2024
- 13
- 5
Naomba kuuliza ndugu zangu ni sehemu gani nzuri ya kujenga Morogoro mjini kwa watu wenye vipato vya kati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo Dodoma,achana na Moro!naomba kuuliza ndugu zangu ni sehemu gani nzuri ya kujenga morogoro mjini kwa watu wenye vipato vya kati
Bigwanaomba kuuliza ndugu zangu ni sehemu gani nzuri ya kujenga morogoro mjini kwa watu wenye vipato vya kati
kiongozi dodoma sina interest nako
Kiegea Anaomba kuuliza ndugu zangu ni sehemu gani nzuri ya kujenga morogoro mjini kwa watu wenye vipato vya kati
Huko viwanja wvya 5mil napataNjoo Dodoma,achana na Moro!
Kiegea A, waone UTT kwa viwanja.Kiegea A
Utt kuwaona kivipi yani? SijaelewaKiegea A, waone UTT kwa viwanja.
Fanya kwanza utafiti kuhusu hitaji la maisha yako kuhusiana na makazi.Naomba kuuliza ndugu zangu ni sehemu gani nzuri ya kujenga Morogoro mjini kwa watu wenye vipato vya kati
Wanaviwanja ambavyo vimeshapimwa na miundo mbinu ipo tayari.Utt kuwaona kivipi yani? Sijaelewa
Hili nipe details maana nasaka kiwanja hayo maeneo. Hiyo barabara lazima itapigwa lami tuu. Naomba details pm plz.Wanaviwanja ambavyo vimeshapimwa na miundo mbinu ipo tayari.
Bong'ola hiyo tatizo bei ataiweza au zile squter kule juuuMaeneo ya Kilakala karibu na mlima, tafuta maeneo hayo utafurahi sana
bigwa ngja nichek maeneo hayoBigwa
mkuu kwa kawaida huko viwanja vinarange kweny ngapiBong'ola hiyo tatizo bei ataiweza au zile squter kule
me nahtaji sehemu yeyote isiokuwa na uswahili mkuu naomb msaada wakoFanya kwanza utafiti kuhusu hitaji la maisha yako kuhusiana na makazi.