Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
,ππππ buana wee bado nasoma udom hapa...π₯π₯ Mbona uliniambia upo Tanesco lakini. Unavaa Yale maviatu makubwa
πππππ Mbaga ujawahi kuwa seriouslyNngekuleta kwenye kampuni yangu, ila bahati mbaya imefungwa kwa ukwepaji wa kodi π
Serikali wabaya sana hawa ππππππ Mbaga ujawahi kuwa seriously
Oyaa usipoangaliaa hapa sitoboi aiseeeSerikali wabaya sana hawa π
Daaha mkuuSerikali wabaya sana hawa π
Sijakuelewa etypambana na field ukipata fanya ukimaliza dogo kamata passport njoo 2nd world
Fanya sasa kunisanua vzri mkuupambana na field ukipata fanya ukimaliza dogo kamata passport njoo 2nd world
sijaweka punctuation marks πSijakuelewa ety
Nakumbuka nlvokuwa chuo udom wao wnyw ndio walitutafutia sehemu ya field, sasa cjui hapo kwenu imekuajeOyaa usipoangaliaa hapa sitoboi aiseee
Au sio nianue mkoba mkuu ππππsijaweka punctuation marks π
iko hivi nasema wewe pambana hapo jamhurini upate ma field. ukimaliza ma chuo..tafuta mkoba uanue. huko hakuna maisha.
Ulikua cive hapa au .Nakumbuka nlvokuwa chuo udom wao wnyw ndio walitutafutia sehemu ya field, sasa cjui hapo kwenu imekuaje
Mm nlkuwa social and humanities kule course za artsUlikua cive hapa au .
Hapa mwaka wa kwanza field unafnyia hapa hapa IPT ila mwaka wa pili na kuendelea inabidi ukapambane mkuu