Sehemu ya field Bsc in Science in Information System

Sehemu ya field Bsc in Science in Information System

Hata na hvo voda kama semester ya kwanza huna GPA ya 3.5 hawakuchukui
Mybe kwa kipindi hicho ila voda na tccl plas TANESCO walishatoa nafasi mapema sana tuende ila sasa ishu zinakuja nafasi chache mno..

Mfano TANESCO walihitaji watu 10 tuu kwa dar ila mikoa mingine ilikua infinity..

Ukija voda nao the same kuna compitation kubwa kati ya wanafunzi wa telecom na sisi wa kada nyingine hv nao wanafanya selective.

Ukija ttcl wale wanabeba tuu yaani zoa zoa sasa mkuu ukiona sehemu ni zoa zoa jua kabisa huko unaenda kukutana na mambo ya ajabu

Mambo ya ajabu mfano
Mtu unaenda kufanya vitu tofauti na field yako adi unabaki unashangaa
 
Mybe kwa kipindi hicho ila voda na tccl plas TANESCO walishatoa nafasi mapema sana tuende ila sasa ishu zinakuja nafasi chache mno..

Mfano TANESCO walihitaji watu 10 tuu kwa dar ila mikoa mingine ilikua infinity..

Ukija voda nao the same kuna compitation kubwa kati ya wanafunzi wa telecom na sisi wa kada nyingine hv nao wanafanya selective.

Ukija ttcl wale wanabeba tuu yaani zoa zoa sasa mkuu ukiona sehemu ni zoa zoa jua kabisa huko unaenda kukutana na mambo ya ajabu

Mambo ya ajabu mfano
Mtu unaenda kufanya vitu tofauti na field yako adi unabaki unashangaa
Jaribu vyuo vya kati napo usikae kizembe master
 
Hee mbona mwandiko wa kiume🤣
Mwandiko wa kiume upo vipi mkuu..
Au kwa kuwa ni dry sana..

Atucheki na watoto, wasije waka tuomba maziwa.. 😂😂😂😂
 
Ukija ttcl wale wanabeba tuu yaani zoa zoa sasa mkuu ukiona sehemu ni zoa zoa jua kabisa huko unaenda kukutana na mambo ya ajabu
Naona bado haujapevuka vema kichwani, kwenye maisha si lazima ufanye kile ulichosomea.

Mimi binafsi namshukru Mungu nina ahueni na ninafanya vitu tofauti kabisa na kile nilichosomea.

Hata field nilifanya kitu tofauti na kile nilichokuwa nakisoma. Hivyo usiogope kwenda huko TTCL kama kuna nafasi, wakati mwingine ni mwanzo wa kupata fursa nyingine ya kukuwezesha kupata mkate wa kila siku.
 
Naona bado haujapevuka vema kichwani, kwenye maisha si lazima ufanye kile ulichosomea.

Mimi binafsi namshukru Mungu nina ahueni na ninafanya vitu tofauti kabisa na kile nilichosomea.

Hata field nilifanya kitu tofauti na kile nilichokuwa nakisoma. Hivyo usiogope kwenda huko TTCL kama kuna nafasi, wakati mwingine ni mwanzo wa kupata fursa nyingine ya kukuwezesha kupata mkate wa kila siku.
Sawa mkuu itoshe kusema ahsante sana kwa ushauri wako mzuri kabisa na ulio na ujumbe ndani yake.

Asante sana mkuu 🙏🙏🙏🙏🙏
 
  • Thanks
Reactions: K11
Wakuu kijana wenu hapa...
bado napuyanga tuu sehemu nilizoomba zote wamesema zimejaa sasa naimani hapa naweza pata connection..

Tena nipate huko dasalam wakuu 🙏 🙏 DR HAYA LAND
BICHWA KOMWE -
Mbaga Jr


Nikajua wewe Mwalimu , ili uje hapa diplomasia sec tupunguze zero


Mkuu kama UPO DSM nenda katika halmashauri hautikosa nafasi plus posho.

Kama tutapata namba ya DED tutampigia.
 
Back
Top Bottom