Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Natafuta sehem ya fildAbee!
Naam ππWeeeeh πππ
Daaah sawa mkuu ngoja tuone maana kwa sasa nipo dodoma siwezi chomoka bila statiment ya sehemu ya fieldNikajua wewe Mwalimu , ili uje hapa diplomasia sec tupunguze zero
Mkuu kama UPO DSM nenda katika halmashauri hautikosa nafasi plus posho.
Kama tutapata namba ya DED tutampigia.
Namjua ndio ni mwalimu wangu pia mkuuProf mselle unamjua?
Na mshangazi je?Natafuta sehem ya fild
Natafuta vyote...ππππNa mshangazi je?
Tulia totoo, utapata vyoteπ€£Natafuta vyote...ππππ
Daaah ila wee una amua tuu kunitoa kwenye reli
Daaah π π π Mungu anakuona lakini hayo mambo ya kuitana totoo mi sipendi ujueTulia totoo, utapata vyoteπ€£
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahNjoo tufunge ndoaa ya threesome na Mufti kuku The Infinity
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hutaki ndoa?Huyu bichwa tukemee hili pepo kwa kweli
Jaribu Wasafi na Clouds.Nilipoomba pamejaa niliomba azam media... Niliomba voda nk
Nipe muongozo mkuu nipo tayar πππNenda SGR