KERO Sehemu ya Kuabudia Airport izingatie Dini zote

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mkristo wa ukweli mahali popote ulipo unaweza kufanya ibada, unatakasa eneo ili liwe madhabahu na kufanya ibada yako kimya kimya...
Ibada gani ya kikristu hufanyika kimyakimya?
 
Ndiyo akili zenu,kuabudu miujiza,mnauziwa chupi na mwamposa Ili mtibu ugumba
 
Hakuna muislam anayedeka wewe, watu wanaelewa uislam unataka nini na wanafata, eti huku tz kuna mgalatia anasema nchi haiendelei kwakuwa kuna msikiti airport, ni nani aliyewaroga?
Hata ingejaa nchi nzima.Kama watu wake asili yao ni upambaff na kushabikia upambaff nchi itasota hapohapo muda wote.
 
Porojo hizo, mbona hukuweka aya namba ngapi na mstari upi?


Imewauma sana Waislam kuwa na sehemu za kusalia.

Jifunze kuchamba tu, uwe unasali msikitini.
Wewe umejazwa ujinga na ujinga umekujaa huko unakotoa hayo mabandiko yanayowekwa chini juu.


Unachotakiwa ni kuuliza usichokijuwa.

Nimekwambia huelewi ni nini shetani na nini jinni. Uliza tukujuze kijana.

Nimekuonesha mpaka mstari wa biblia kuwa sshetani kamkumba Yesu, sasa wewe jiulize, hivi "mungu" wako kweli anaweza kukumbwa na shetani? Au huo mstari kwenye Mathayo 4 ulipachikwa ki makosa tu?
 
Hapa hajatatwa mwamposa , usitoke kwenye mada, hapa ni mtume vs yesu
Umeweka miujiza kama kigezo cha ukuu, Quran inasema mungu alimuwezesha yesu kufanya miujiza,hata bible inasema hivyo,na kea miujiza hakuwa nabii pekee aliyefanya,musa na ibrahim walifanya
 
Ndiyo akili zenu,kuabudu miujiza,mnauziwa chupi na mwamposa Ili mtibu ugumba
Hapa hajatatwa mwamposa , usitoke kwenye mada, hapa ni mtume vs yesu
Una sahau kwamba mohammad alirogwa tena na vichawi koko,hiyo inaonesha jinsi alivyo kuwa mweupe kiiman, si bora hiyo aliye jaribiwa na shetani lakini bado aliyashinda majaribu
 
Hapa hajatatwa mwamposa , usitoke kwenye mada, hapa ni mtume vs yesu

Una sahau kwamba mohammad alirogwa tena na vichawi koko,hiyo inaonesha jinsi alivyo kuwa mweupe kiiman, si bora hiyo aliye jaribiwa na shetani lakini bado aliyashinda majaribu
Huyo si mungu au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…