KERO Sehemu ya Kuabudia Airport izingatie Dini zote

KERO Sehemu ya Kuabudia Airport izingatie Dini zote

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Tatizo kwa upande wa kikiristo mko tofauti katika ibada na siku za kuabudu,kwa waislamu ibada zao hazitofautiani,,kwa madhehebu yote ya kiislamu,na hata wakisafiri kwenda hija,waislsmu wote wanakwenda mji mmoja wa Saud Arabia.
Ibada za kikristo,wapo wanaolia wakati wa ibada,wapo wanaopiga makofi,wapo wanaopiga vinada,wapo wanaoweka picha ya Bikira Mariya,na kumuomba ndani ya kanisa,wapo ambao hawakubaliani na sanamu ya Bikira Mariya,au Sanamu ya Yesu au picha.Hata vitabu vitakatifu vya Biblia viko tofauti,kwa madhehebu tofauti.Kwa hiyo inqbidi kujengwe makanisa tofauti ya madhehebu tofauti.Hata muelekeo wa kufanya ibada,waislamu wote kuanzia mavazi mpaka kufanya ibada wanafanana.
Hiyo sio hoja kwa sababu serikali haina dini kikatiba hivyo hakuna sababu ya kuanza kuingiza matakwa ya dini fulani kwenye miradi ya umma ambayo ingharamiwa na wananchi wote , amma waachane na huo ujinga au waweke usawa kwa dini zote serikali iache kuwa wakala wa dini
 
Wacha kuiga Waislamu wanaoswali mara 5 kutwa lakini bado wanaua watu. Sisi Wakristu tuendelee kusali mara moja kwa wiki na kuwatendea binadamu mambo mema. Inatosha
Mgekuwa hamuui watu ilikuwaje mapadri wakakutwa kwenye matenki ya maji wamekufa na hakuna kesi
 
Hiyo sio hoja kwa sababu serikali haina dini kikatiba hivyo hakuna sababu ya kuanza kuingiza matakwa ya dini fulani kwenye miradi ya umma ambayo ingharamiwa na wananchi wote , amma waachane na huo ujinga au waweke usawa kwa dini zote serikali iache kuwa wakala wa dini
Kama mnataka usawa na ijumaa nayo iwe siku ya mapumziko
 
Jumapili watu hawasafiri Airport?
Utajenga makanisa mangapi,wakati kila dhehebu la kikristo lina ibada tofauti na mwenzake.Wako wanaomba kupitia Sanamu la Bikira Mariya,sanamu ya Yesu,picha ya Yesu,wengine wanaabudu kwa kulia,wengine wanaabudu kwa kupiga makofi,wengine wanaabudu kwa kulia.Wengine hawataki sanamu ya Bikira Mariya Kanisani,wala sanamu ya Yesu.
Hata kwenye lugha ya kuabudu mko tofauti,kanisa moja hilo hilo,wapo wanaobudu kiswahili,wapo wanaobudu,kiingereza,kijerumani,kihindi,kifaransa,kihispania, nk ,lakini katika uislamu ibada zao wanafanya kwa lugha moja tu,kiarabu,uwe mzungu awe mwafrika au murusi,uwe muhindi uwe mjerumani,wote wanapelekwa madrasa kujifunza ibada kwa lugha ya kiarabu,kwa hiyo makabila yote dunian,yakikutana katika msikiti mmoja kwa wakati mmoja,wanafanya ibada kwa lugha moja.Je Airport kujengwe makanisa mangapi yenye lugha ngapi tofauti au wa madhebebu mangapi tofauti.Uislamu uliliona hili la lugha ya ibada mapema,toka wakati wa Mtume Muhammad(SAW),katika ibada ni lugha ya moja na kitabu cha Qur'an ni lugha moja.Humo kanisani utaweka Biblia takatifu ya lugha za duniani,utabidi kanisa ijae Biblia takatifu ya lugha tofauti za dunia.Wakati Qur'an ni.lugha kiarabu,ikiwekwa Qur'an ya lugha hiyo,kila muislamu anaisoma ,muhimu awe amesoma madrasa,popote anakotoka duniani.
 
Kwakristo popote penye utulivu tunasali.Acheni hawa wenzetu wenye uhitaji wa kunawa na kutawaza wajengewe

Wakristo ni wavumilivu
Mngekuwa wavumilivu mapdri wasingeuawa mfululizo na maiti kukutwa kwenye matenki ya maji
 
Hao wengine wanajidai tu, wanaoswali kwa muda maalum ni Waislam peke yao.

Hao wengine wasali nini, uchafu mtupu, wakikojoa hawanawi, wakinya hawanawi, hata maji kutumia kwa kuchambia hawajui, wameganda nya makalioni mwao. Wanajidai tu.
Uchafu upo kwenye akili zenu mnao tumia mamilioni ya Shilingi kwenda busu kikoto Maka
 

Attachments

  • IMG_1879.jpeg
    IMG_1879.jpeg
    34.7 KB · Views: 1
  • IMG_1881.png
    IMG_1881.png
    115.7 KB · Views: 1
  • IMG_1880.jpeg
    IMG_1880.jpeg
    30.1 KB · Views: 1
Kama dini yenu inasema siku ya ijumaa mpumzike , pumzikeni tu hakuna anaye wakataza,
Muamuzi ni serikali, unadhani mtoto asipoenda shule ijumaa itakuwaje? Mfanyakazi asipoenda kazini je? Mnaiomba serikali iwawekee kanisa airport si mjiwekee wenyewe sasa
 
Mleta mada hivi umefikir kabla ya kuandika au kinyume chake. Ebu jibu maswali haya ili update majibu ya lawama zako.
1) Waislam hutumia dakika 10 -15 au pungufu ya hapo kuswali. Je Wakristu hutumia dk ngapi. ( Jibu lako lizingatie muda maana upo airports kwa ajili ya safari)

2) WAISLAM huswali siku zote za wiki (siku 7) na kila siku ni vipindi 5 kwa muda tofauti tofauti. Je Wakristu husali mara ngapi kwa wiki na muda gani.
3) Muislam anaswali hata akiwa peke yake hata bila kiongozi wake wa dini kuingiza swala ( Muislam hujiongoza ktk swala). Je Mkristu anaweza kufanya hivyo.
 
Jumapili watu hawasafiri Airport?
Wewe
نَبِىٍّ إِلَّآ إِذَا تَمَنَّىٰٓ أَلْقَى ٱلشَّيْطَـٰنُ فِىٓ أُمْنِيَّتِهِۦ فَيَنسَخُ ٱللَّهُ مَا يُلْقِى ٱلشَّيْطَـٰنُ ثُمَّ يُحْكِمُ ٱللَّهُ ءَايَـٰتِهِۦ ۗ وَٱللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيمٌۭ ٥٢
Whenever We sent a messenger or a prophet before you ˹O Prophet˺ and he recited ˹Our revelations˺, Satan would influence ˹people’s understanding of˺ his recitation. But ˹eventually˺ Allah would eliminate Satan’s influence. Then Allah would ˹firmly˺ establish His revelations. And Allah is All-Knowing, All-Wise.
Dini yenye haya za Majini ndani yake ya nini sie
Jinni yuko wapi hapo wewe poyoyo kwenye hayo maandiko uliyoweka, wewe huelewi tofauti ya shetani na jinni.

Shetani alimvaa Yesu kwa siku 40, umesahau? Jikumbushe biblia:


Mathayo 4; Ndipo shetani akampeleka Yesu mpaka mji mtakatifu wa Yerus alemu, akamweka juu ya mnara wa Hekalu,
 
Hao wengine wanajidai tu, wanaoswali kwa muda maalum ni Waislam peke yao.

Hao wengine wasali nini, uchafu mtupu, wakikojoa hawanawi, wakinya hawanawi, hata maji kutumia kwa kuchambia hawajui, wameganda nya makalioni mwao. Wanajidai tu.
Huyu alie letewa haya ya Kuoa mke wa mtoto wake ni msafii eee
وَأَنْعَمْتَ عَلَيْهِ أَمْسِكْ عَلَيْكَ زَوْجَكَ وَٱتَّقِ ٱللَّهَ وَتُخْفِى فِى نَفْسِكَ مَا ٱللَّهُ مُبْدِيهِ وَتَخْشَى ٱلنَّاسَ وَٱللَّهُ أَحَقُّ أَن تَخْشَىٰهُ ۖ فَلَمَّا قَضَىٰ زَيْدٌۭ مِّنْهَا وَطَرًۭا زَوَّجْنَـٰكَهَا لِكَىْ لَا يَكُونَ عَلَى ٱلْمُؤْمِنِينَ حَرَجٌۭ فِىٓ أَزْوَٰجِ أَدْعِيَآئِهِمْ إِذَا قَضَوْا۟ مِنْهُنَّ وَطَرًۭا ۚ وَكَانَ أَمْرُ ٱللَّهِ مَفْعُولًۭا ٣٧
And [remember, O Muḥammad], when you said to the one on whom Allāh bestowed favor and you bestowed favor,1 "Keep your wife and fear Allāh," while you concealed within yourself that which Allāh is to disclose.2 And you feared the people,3while Allāh has more right that you fear Him.4 So when Zayd had no longer any need for her, We married her to you in order that there not be upon the believers any discomfort [i.e., guilt] concerning the wives of their claimed [i.e., adopted] sons when they no longer have need of them. And ever is the command [i.e., decree] of Allāh accomplished.
 
Nani aingie msikitini? Yani Muhammad ambae ni muongo tu alieongea na mapepo na maiti kuliwa na mbwa ndio atusumbue? Takataka.
Aisee! Hizi ndiyo akili za wakristo hawa watu wana chuki sana ila tunaishi nao tu
 
Mleta mada hivi umefikir kabla ya kuandika au kinyume chake. Ebu jibu maswali haya ili update majibu ya lawama zako.
1) Waislam hutumia dakika 10 -15 au pungufu ya hapo kuswali. Je Wakristu hutumia dk ngapi. ( Jibu lako lizingatie muda maana upo airports kwa ajili ya safari)

2) WAISLAM huswali siku zote za wiki (siku 7) na kila siku ni vipindi 5 kwa muda tofauti tofauti. Je Wakristu husali mara ngapi kwa wiki na muda gani.
3) Muislam anaswali hata akiwa peke yake hata bila kiongozi wake wa dini kuingiza swala ( Muislam hujiongoza ktk swala). Je Mkristu anaweza kufanya hivyo.
Hii hoja no dhaifu. Mristo pia anahitaji faragha ya kufanya maombi. Si kila ibada zinaendeshwa na litrugia. Na sisi tupate mahali tutakua na faragha
 
Hata SGR imejengwa misikiti kila station. Angekuwepo Magufuli aisngeruhusu huu ujinga. Yanafanywa hivi kwa sababu ni Mzanzibari muislam
Ushawahi kusafiri na ndege ukatumia airports za dar? Msikiti airport upo toka magufuli ni raisi sasa unasemaje asingeruhusu?
 
Wewe

Jinni yuko wapi hapo wewe poyoyo kwenye hayo maandiko uliyoweka, wewe huelewi tofauti ya shetani na jinni.

Shetani alimvaa Yesu kwa siku 40, umesahau? Jikumbushe biblia:


Mathayo 4; Ndipo shetani akampeleka Yesu mpaka mji mtakatifu wa Yerus alemu, akamweka juu ya mnara wa Hekalu,
Jini Shetani ni kitu kimoja!! Na wamelaaniwa na MUNGU alie Hai. Anaeabudu na Majini nae ni Shetani kama mshiriki wake
 
Huyu alie letewa haya ya Kuoa mke wa mtoto wake ni msafii eee
وَأَنْعَمْتَ عَلَيْهِ أَمْسِكْ عَلَيْكَ زَوْجَكَ وَٱتَّقِ ٱللَّهَ وَتُخْفِى فِى نَفْسِكَ مَا ٱللَّهُ مُبْدِيهِ وَتَخْشَى ٱلنَّاسَ وَٱللَّهُ أَحَقُّ أَن تَخْشَىٰهُ ۖ فَلَمَّا قَضَىٰ زَيْدٌۭ مِّنْهَا وَطَرًۭا زَوَّجْنَـٰكَهَا لِكَىْ لَا يَكُونَ عَلَى ٱلْمُؤْمِنِينَ حَرَجٌۭ فِىٓ أَزْوَٰجِ أَدْعِيَآئِهِمْ إِذَا قَضَوْا۟ مِنْهُنَّ وَطَرًۭا ۚ وَكَانَ أَمْرُ ٱللَّهِ مَفْعُولًۭا ٣٧
And [remember, O Muḥammad], when you said to the one on whom Allāh bestowed favor and you bestowed favor,1 "Keep your wife and fear Allāh," while you concealed within yourself that which Allāh is to disclose.2 And you feared the people,3while Allāh has more right that you fear Him.4 So when Zayd had no longer any need for her, We married her to you in order that there not be upon the believers any discomfort [i.e., guilt] concerning the wives of their claimed [i.e., adopted] sons when they no longer have need of them. And ever is the command [i.e., decree] of Allāh accomplished.
Porojo hizo, mboina hukuweka aya namba ngapi na mstari upi?


Imewauma sana Waislam kuwa na sehemu za kusalia.

Jifunze kuchamba tu, uwe unasali msikitini.
 
Back
Top Bottom