Tatizo la ukristo utajenga makanisa mangapi? Mana ukijenga la roma wafuasi wa mwamposa watakuja juu, ukijenga la mwamposa wafuasi wa kiboko ya wachawi nao watamaindi,, Uzuri wa uislam ibada ni moja na utaratibu ni huo huo dunia nzima so awe mchina, mndengereko, mzungu utaribu ni huo huo ndo mana inakuwa raisi kuweka msikiti kwa upande wa waislam, yani kwa faida yenu tu msiojua mnavyosikia Shia na sunni basi mjue ibada ni ile ile tu hakuna anaeswali nyakati kumi isipokuwa swala ni tano vipindi vile vile na utarabu ni ule ule dunia nzima,,, karibu ninapoishi kuna kanisa, ila rafiki yangu mkristo ye hasali apa anaenda mbali, nilipomuuliza akasema ye kaokoka lile kanisa la pale karibu hawajaokoka,, sasa hayo makanisa apo Airport utajenga mangapi,,,,